Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Allawi atahadharisha kuhusu njama za Marekani dhidi ya Iraq

    Allawi atahadharisha kuhusu njama za Marekani dhidi ya Iraq

    Aug 24, 2020 02:28

    Mkuu wa Muungano wa al Wataniya wa Iraq amesema kuwa Marekani ikishirikiana na Uingereza na Ufaransa, inaongoza njama dhidi ya Iraq kwa kisingizio cha muungano wa kimataifa dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.

  • Watu 6 wauawa na kujeruhiwa katika miripuko miwili ya mabomu nchini Iraq

    Watu 6 wauawa na kujeruhiwa katika miripuko miwili ya mabomu nchini Iraq

    Aug 22, 2020 07:42

    Miripuko miwili ya mabomu iliyotokea mashariki na kaskazini mwa Iraq imepelekea askari sita wa kikosi cha kupambana na ugaidi kuuawa na kujeruhiwa.

  • Migawanyiko ya kisiasa yazidi Iraq baada ya safari ya Waziri Mkuu Al Kadhimi nchini Marekani

    Migawanyiko ya kisiasa yazidi Iraq baada ya safari ya Waziri Mkuu Al Kadhimi nchini Marekani

    Aug 22, 2020 07:32

    Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq Mustafa al Kadhimi nchini Marekani na mkutano wake na Rais Donald Trump wa nchi hiyo huku kukiwa na mgongano wa wazi baina ya "yale yanayosemwa" na "uhalisia wa mambo."

  • Al Kadhimi: Wanajeshi wa Marekani wataondoka Iraq katika kipindi cha miaka mitatu

    Al Kadhimi: Wanajeshi wa Marekani wataondoka Iraq katika kipindi cha miaka mitatu

    Aug 22, 2020 02:58

    Waziri Mkuu wa Iraq ameeleza yaliyojiri katika mazungumzo yake na viongozi wa Marekani katika safari yake nchini humo akisema kwamba: Trump amesisitiza kuwa wanajeshi wa Marekani wataondoka Iraq katika muda wa miaka mitatu ijayo.

  • Makundi ya Muqawama Iraq: Wamarekani wasipoondoka, hawatosalimika na mashambulio yetu

    Makundi ya Muqawama Iraq: Wamarekani wasipoondoka, hawatosalimika na mashambulio yetu

    Aug 21, 2020 08:14

    Makundi ya muqawama ya Iraq yamesisitiza ulazima wa wanajeshi wa Marekani kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo na kuonya kuwa, ikiwa hilo halitofanyika, yataanzisha makabiliano ya kijeshi dhidi yao.

  • Malengo ya safari ya Mustafa al Kadhimi nchini Marekani

    Malengo ya safari ya Mustafa al Kadhimi nchini Marekani

    Aug 20, 2020 08:00

    Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al Kadhimi amewasili Washington kwa safari ya kikazi ya siku mbili na leo Alkhamisi tarehe 20 Agosti alitazamiwa kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Msafara wa silaha na zana za kijeshi za Marekani kutoka Kuwait waingia Basra, Iraq

    Msafara wa silaha na zana za kijeshi za Marekani kutoka Kuwait waingia Basra, Iraq

    Aug 17, 2020 13:14

    Duru moja ya masuala ya usalama ya Iraq imeripoti kuwa, msafara wa malori ya kijeshi ya Marekani yaliyosheheni silaha na zana nyingi za kijeshi umeingia katika ardhi ya nchi hiyo kwa lengo la kuhamishia silaha na zana hizo katika kituo cha kijeshi cha Ainul-Asad.

  • Mufti Mkuu wa Iraq atoa wito wa kuanzishwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani

    Mufti Mkuu wa Iraq atoa wito wa kuanzishwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani

    Aug 16, 2020 11:29

    Mufti Mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Kisuni nchini Iraq ametoa wtito kwa vijana kujiandaa kwa ajili ya kuanzisha mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Bunge la Iraq kufungua faili la vibaraka za Saudia wenye mfungamano na Marekani

    Bunge la Iraq kufungua faili la vibaraka za Saudia wenye mfungamano na Marekani

    Aug 10, 2020 04:25

    Mjumbe wa Kamati ya Uhusiano wa Kigeni ya Bunge la Iraq amesema kuwa bunge hilo na jumuiya za wananchi zinafanya jitihada za kufungua faili la vibaraka wa Saudi Arabia wenye mfungamano na Marekani nchini Iraq.

  • Rais wa Iraq aunga mkono kufanyika uchaguzi wa mapema nchini humo

    Rais wa Iraq aunga mkono kufanyika uchaguzi wa mapema nchini humo

    Aug 04, 2020 11:16

    Rais wa Iraq amekaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mustafa al Kadhimi kuhusu kufanyika mapema uchaguzi wa bunge.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS