Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Iraq: Hatuna haja na wageni katika kupambana na magaidi wa ISIS

    Iraq: Hatuna haja na wageni katika kupambana na magaidi wa ISIS

    May 28, 2020 02:23

    Msemaji wa vikosi vya ulinzi vya Iraq amesema, nchi yake ina uwezo wa kutosha wa kupambana na kuwamaliza magaidi wa Daesh (ISIS) hivyo haina haja na msaada wa wanajeshi kutoka nje.

  • Kiongozi wa ISIS nchini Iraq auawa katika shambulizi la anga

    Kiongozi wa ISIS nchini Iraq auawa katika shambulizi la anga

    May 27, 2020 03:44

    Kikosi cha Kupambana na Ugaidi cha Jeshi la Iraq kimetangaza habari ya kuangamizwa kinara wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nchini humo, Mu'taz al-Jubouri katika shambulizi la anga.

  • Kufichuliwa kashfa ya Saudia ya kutuma maelfu ya magaidi nchini Iraq

    Kufichuliwa kashfa ya Saudia ya kutuma maelfu ya magaidi nchini Iraq

    May 25, 2020 04:32

    Kusambazwa faili la sauti katika mitandao ya kijamii kumepelekea kufichuliwa kashfa ya Saudi Arabia kutuma maelfu ya magaidi wa nchi hiyo kwenda Iraq katika miaka ya hivi karibuni.

  • Bunge la Iraq lataka kanali ya televisheni ya MBC mali ya Saudi Arabia ipigwe kufuli kwa kuwadhalilisha shakhsia wa nchi hiyo

    Bunge la Iraq lataka kanali ya televisheni ya MBC mali ya Saudi Arabia ipigwe kufuli kwa kuwadhalilisha shakhsia wa nchi hiyo

    May 16, 2020 02:28

    Kamisheni ya Mahusiano na Vyombo vya Habari ya Bunge la Iraq imetaka kufungwa kanali ya televisheni ya Saudi Arabia ya MBC, kufuatia kanali hiyo kumvunjia heshima Naibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya nchi hiyo.

  • Harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq ya Iraq: Tunafuatilia kwa umakini harakati zote za Marekani

    Harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq ya Iraq: Tunafuatilia kwa umakini harakati zote za Marekani

    May 14, 2020 03:53

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama ya Asa'ib Ahl al-Haq ya nchini Iraq amesisitiza kwamba Wamarekani na vibaraka wao wanatakiwa kufahamu kwamba macho ya muqawama daima yanafuatilia harakati zao kwa umakini mkubwa.

  • Waziri Mkuu wa Iraq apongeza uungaji mkono wa Iran katika vita dhidi ya ISIS

    Waziri Mkuu wa Iraq apongeza uungaji mkono wa Iran katika vita dhidi ya ISIS

    May 11, 2020 00:23

    Waziri Mkuu mpya wa Iraq ameipongeza na kuishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa msaada na uungaji mkono wake katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Kupata ridhaa ya Bunge serikali mpya ya Iraq; mwisho wa mkwamo wa kisiasa wa miezi mitano

    Kupata ridhaa ya Bunge serikali mpya ya Iraq; mwisho wa mkwamo wa kisiasa wa miezi mitano

    May 07, 2020 11:34

    Baada ya miezi mitano ya mkwamo wa kisiasa nchini Iraq, hatimaye Bunge la nchi hiyo limeidhinisha Baraza la Mawaziri la Waziri Mkuu Mustafa al-Kadhimi.

  • Operesheni kali dhidi ya mabaki ya wanachama wa Daesh (ISIS) yaanza nchini Iraq

    Operesheni kali dhidi ya mabaki ya wanachama wa Daesh (ISIS) yaanza nchini Iraq

    May 05, 2020 11:20

    Msemaji wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Iraq ameelezea amri ya Adil Abdul-Mahdi, Waziri Mkuu wa Iraq ya kuanzishwa operesheni kali dhidi ya mabaki ya wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nchini humo.

  • Marekani yawaliwaza kwa medali askari wake waliojeruhiwa katika shambulizi la Iran

    Marekani yawaliwaza kwa medali askari wake waliojeruhiwa katika shambulizi la Iran

    May 05, 2020 08:04

    Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani imewatunuku medali za heshima makumi ya askari wake waliojeruhiwa katika shambulizi kali la Iran la mapema mwaka huu nchini Iraq.

  • Sababu za kudhihiri tena Daesh nchini Iraq

    Sababu za kudhihiri tena Daesh nchini Iraq

    May 04, 2020 09:54

    Magaidi wa kundi la Daesh wameshambulia Harakati ya Wananchi wa Iraq Hashdu Sha'bi, na kuua pamoja na kujeruhi makumi ya wanaharakati wa kundi hilo la mapambano ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS