Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Meja Jenerali Safavi: Zama za kusambaratika nguvu za Marekani zimewadia

    Meja Jenerali Safavi: Zama za kusambaratika nguvu za Marekani zimewadia

    Apr 02, 2020 07:12

    Msaidizi na Mshauri wa ngazi za juu wa Amirijeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Iran amesema kuwa, zama za kusambaratika nguvu za kisiasa na kijeshi za Marekani katika Mashariki ya Kati na ulimwenguni kwa ujumla zimewadia.

  • Malengo ya kuhamishwa wanajeshi wa Marekani nchini Iraq

    Malengo ya kuhamishwa wanajeshi wa Marekani nchini Iraq

    Apr 01, 2020 06:44

    Katika siku chache za hivi karibuni kuwekuwepo operesheni kabambe ya kuhamishwa wanajeshi wa Marekani kutoka sehemu moja ya kupelekwa jingine ndani ya ardhi ya Iraq.

  • Harakati ya Al-Nujaba ya Iraq yaitahadharisha Marekani juu ya hatua yoyote ya uvamizi nchini humo

    Harakati ya Al-Nujaba ya Iraq yaitahadharisha Marekani juu ya hatua yoyote ya uvamizi nchini humo

    Mar 31, 2020 06:16

    Harakati ya Al-Nujabaa ya nchini Iraq, imeitahadharisha Marekani kuhusu uvamizi wowote tarajiwa ndani ya ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kuondoka askari wa Marekani katika kambi tatu za jeshi nchini Iraq, ni stratijia au taktiki?

    Kuondoka askari wa Marekani katika kambi tatu za jeshi nchini Iraq, ni stratijia au taktiki?

    Mar 31, 2020 03:46

    Wanajeshi wa Marekani wameondoka katika kambi ya K1 huko kaskazini mwa Iraq. Maudhui ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Iraq imekuwa suala na mjadala muhimu katika kipindi cha miezi mitatu ya mwaka huu wa 2020.

  • Sisitizo la Marekani kuendeleza operesheni za kijeshi nje ya nchi licha ya maambukizi ya Corona

    Sisitizo la Marekani kuendeleza operesheni za kijeshi nje ya nchi licha ya maambukizi ya Corona

    Mar 30, 2020 02:29

    Kuenea kusiko kwa kawaida kwa virusi angamizi vya Corona duniani, kumezifanya nchi nyingi za dunia kukumbwa na hali ngumu na matatizo.

  • Harakati ya Hizbullah: Njama za Marekani hazitopunguza muqawama wa Wairaki

    Harakati ya Hizbullah: Njama za Marekani hazitopunguza muqawama wa Wairaki

    Mar 28, 2020 12:40

    Harakati ya Hizbullah ya Iraq imesema kuwa, hatua chafu za Marekani dhidi ya nchi hiyo, hazitakuwa na taathira yoyote kwenye muqawama wa Wairaki.

  • Adnan al Zurfi aunga mkono harakati ya al Hashd al Sha'abi

    Adnan al Zurfi aunga mkono harakati ya al Hashd al Sha'abi

    Mar 27, 2020 02:36

    Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Iraq ameiunga mkono harakati ya kujitolea ya wananchi wa Iraq ya al Hashd al Sha'abi.

  • Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo

    Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo

    Mar 17, 2020 15:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imeishtaki Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya jeshi la nchi hiyo kushambulia kambi za jeshi na askari polisi wa Iran.

  • Iraq katika kuihami na kuitetea Al-Hashdu-Sha'abi sambamba na kukabiliana na kupambana na Marekani

    Iraq katika kuihami na kuitetea Al-Hashdu-Sha'abi sambamba na kukabiliana na kupambana na Marekani

    Mar 17, 2020 01:40

    Katika muda wa siku chache zilizopita ndege za kivita za Marekani zilishambulia mara kadhaa kwa makombora ngome za Al-Hashdu-Sha'abi na Muqawama wa Iraq; mashambulio ambayo yamekosolewa vikali na Wairaqi wengi.

  • Iran yaionya Marekani kwa kutoa madai 'hatari' dhidi yake

    Iran yaionya Marekani kwa kutoa madai 'hatari' dhidi yake

    Mar 13, 2020 12:52

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani inapaswa kuangali upya uwepo wa vikosi vyake vamizi katika eneo la Asia Magharibi badala ya kuibua tuhuma zisizo na msingi wowote dhidi ya mataifa mengine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS