Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Kurejea Blackwater kwa jina jingine nchini Iraq;  uwekezaji hatari mno wa Marekani

    Kurejea Blackwater kwa jina jingine nchini Iraq; uwekezaji hatari mno wa Marekani

    Jun 16, 2017 23:05

    Hivi sasa kumeenea habari za uwezekano wa kurejea nchini Iraq shirika la kihalifu la Blackwater la Marekani kwa jina jingine, suala ambalo limewakasirisha wananchi wa matabaka mbalimbali ya Iraq.

  • Syria: Sababu ya kutokea mashambulio ya kigaidi mjini Tehran hii hapa

    Syria: Sababu ya kutokea mashambulio ya kigaidi mjini Tehran hii hapa

    Jun 14, 2017 11:06

    Balozi wa Syria nchini Iraq amesema kuwa, sababu kuu ya kutokea mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran, ni kutokana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi pekee iliyosimama kikweli na wananchi na serikali za Iraq na Syria kupambana na magenge ya kigaidi yaliyozivamia nchini hizo.

  • Watu 39 wauawa katika mashambulio ya mabomu ya magaidi wa Daesh Iraq

    Watu 39 wauawa katika mashambulio ya mabomu ya magaidi wa Daesh Iraq

    Jun 09, 2017 10:52

    Kwa akali watu 39 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya mabomu yaliyofanywa hii leo na kundi la kigaidi la Daesh katika miji ya Babil na Karbala nchini Iraq.

  • UN: wapiganaji wa Daesh wanawauwa watoto wanaokimbia vita Mosul

    UN: wapiganaji wa Daesh wanawauwa watoto wanaokimbia vita Mosul

    Jun 08, 2017 22:55

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wanawapiga risasi watoto wanaokimbia vita na mapigano katika mji wa Mosul huko kaskazini mwa Iraq.

  • Al-Hashdu-Sha'abi: Eneo la magharibi mwa Mosul litakombolewa kikamilifu hivi karibuni

    Al-Hashdu-Sha'abi: Eneo la magharibi mwa Mosul litakombolewa kikamilifu hivi karibuni

    Jun 07, 2017 21:56

    Mkuu wa vikosi vya wananchi vya Al-Hashdu-Sha'abi vya Iraq amesisitiza kuwa mnamo siku mbili zijazo takribani maeneo yote ya magharibi mwa mji wa Mosul yatakuwa yamekombolewa kutoka kwenye makucha ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).

  • UN: Daesh imeua raia 163 waliokuwa wakikimbia Mosul, Iraq

    UN: Daesh imeua raia 163 waliokuwa wakikimbia Mosul, Iraq

    Jun 06, 2017 23:18

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeua raia 163 waliokuwa wakiukimbia mji wa Mosul nchini Iraq ndani ya wiki moja pekee.

  • Marekani yakiri kuua mamia ya raia katika hujuma zake za anga Iraq, Syria

    Marekani yakiri kuua mamia ya raia katika hujuma zake za anga Iraq, Syria

    Jun 03, 2017 03:27

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imekiri kuwa raia zaidi ya 484 wa Iraq na Syria wameuawa katika mashambulizi yake ya anga tokea katikati ya mwaka 2014 hadi sasa.

  • Kaburi la umati lenye miili 60 lagunduliwa magharibi mwa Mosul, Iraq

    Kaburi la umati lenye miili 60 lagunduliwa magharibi mwa Mosul, Iraq

    Jun 01, 2017 09:24

    Vikosi vya serikali ya Iraq vimegundua kaburi la umati lenye miili 60 ya raia waliouliwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) magharibi mwa mji wa Mosul.

  • Maneva ya Hashdu sh-Sha'abi ya kupambana na ugaidi katika mpaka wa Iraq na Syria

    Maneva ya Hashdu sh-Sha'abi ya kupambana na ugaidi katika mpaka wa Iraq na Syria

    Jun 01, 2017 05:37

    Hivi karibuni Msemaji wa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq, alinukuliwa akielezea utayarifu wa wapiganaji wa harakati hiyo kwa ajili ya kupambana na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh katika ardhi ya Syria kupitia ushirikiano na serikali ya Damascus.

  • Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115

    Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115

    May 30, 2017 11:10

    Polisi ya Iraq imetangaza kuwa idadi ya watu waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililofanywa usiku wa kuamkia leo kwenye eneo la Al-Karrada katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad imeongezeka na kufikia 115.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS