-
Alkhamisi 16 Machi, 2017
Mar 16, 2017 00:26Leo ni Alkhamisi tarehe 17 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na Machi 16, 2017.
-
Jeshi la Iraq lawazingira kikamilifu magaidi wa genge la Daesh mjini Mosul
Mar 13, 2017 12:47Jeshi la Iraq limetangaza kuwa linawazingira kikamilifu wanachama wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) mjini Mosul, kaskazini mwa nchi hiyo, baada ya njia zote za kuingia na kutoka mji huo kudhibitiwa na jeshi hilo.
-
Wanachama wa Daesh waliohusika na mauaji ya umati jela ya Badush watiwa nguvuni
Mar 11, 2017 23:30Makundi ya kujitolewa na wananchi yanayopigana katika mji wa Mosul huko kaskazini mwa Iran dhidi ya kundi la kitakfiri na kiwahabi la Daesh wamewatia nguvuni makumi ya wanachama wa kundi hilo waliofanya mauaji ya wafungwa wasiongua 500 katika jela ya Badush baada tu ya kukalia kwa mabavu mji wa Mosil mwaka 2014.
-
Radiamali ya viongozi wa Iraq kwa vikao vyenye kutia shaka kuhusu mustakbali wa kisiasa wa nchi hiyo
Mar 11, 2017 09:11Spika wa bunge la Iraq amesisitiza kuwa wanapinga mfumo wowote ule wa kuiweka Iraq chini ya Himaya ya ndani au nje ya nchi na pia kila mikutano na vikao vya nje ya nchi vinavyofanyika kwa lengo la kuigawa nchi hiyo.
-
Mwanachama wa Daesh ajilipua katika sherehe za harusi Iraq na kuua watu 26
Mar 09, 2017 04:34Kwa akali watu 26 wameuawa papo hapo katika mripuko wa bomu uliotokea katikati ya sherehe za harusi, karibu na mji wa Tikrit, kaskazini magharibi mwa mji mkuu Baghdad.
-
Wasiwasi wa kutumia ISIS silaha zaidi za kemikali nchini Iraq
Mar 06, 2017 00:28Shirika la Msalaba Mwekundu limetoa taarifa ya kulaani mashambulizi ya silaha za kemikali ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) dhidi ya raia wasio na ulinzi wa mji wa Mosul huko Iraq.
-
Wamarekani wakiri kuua mamia ya raia Syria, Iraq
Mar 05, 2017 04:05Jeshi la Marekani jana lilikiri kuwa limeua raia wa Iraq na Syria katika kampeni inayodaiwa ni ya kupambana na kundi la Daesh kwenye nchi hizo mbili za Kiarabu na Kiislamu.
-
Daesh latumia gesi ya sumu kujaribu kulizuia jeshi la Iraq kuyakomboa maeneo yaliyosalia Mosul
Mar 03, 2017 00:49Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) limetumia silaha zenye gesi ya sumu katika kulizuia jeshi la Iraq kusonga mbele katika maeneo yaliyosalia.
-
Iraq: Tumeazimia kuliangamiza kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh
Mar 02, 2017 04:44Serikali ya Iraq imetangaza kuwa, imeazimia kuliangamiza kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh na kwamba, vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vinaendelea vizuri na operesheni zake dhidi ya wanamgambo hao wa kigaidi.
-
Hatimaye kinara wa Daesh akiri kushindwa nchini Iraq, awataka wafuasi wake kukimbilia milimani
Mar 01, 2017 01:10Kinara wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) Abubakar al-Baghdadi ametoa hotuba ya mwisho akikiri kushindwa kundi hilo nchini Iraq na amewataka wafuafi wake kukimbilia maeneo ya milimani kwa usalama wao au kujiripua.