-
WFP yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya Iraq
Feb 27, 2017 23:15Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu inayozikabili familia za Wairaqi magharibi mwa mji wa Mosul nchini humo.
-
Wairaq: Ni kosa kubwa kuwaamini watawala wa kigaidi wa Saudia
Feb 27, 2017 10:53Sambamba na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia, Adel al-Jubeir kufanya safari nchini Iraq na kukutana na viongozi wa nchi hiyo ambapo ametaka kuimarishwa mahusiano ya pande mbili, Wairaq wameitaja safari ya waziri huyo wa Saudia kuwa ni njama chafu dhidi ya nchi yao.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia nchini Iraq
Feb 26, 2017 04:54Jumamosi ya jana Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia aliwasili mjini Baghdad kwa ajili ya kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa Iraq.
-
Syria: Tunashirikiana kwa karibu na Iraq katika kupambana na genge la Daesh
Feb 25, 2017 10:56Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitizia uepo wa ushirikiano baina ya nchi yake na serikali ya Iraq katika kupambana na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).
-
Jumatano, 22 Februari, 2017
Feb 23, 2017 01:05Leo ni Jumatano tarehe 24 Jamadil Awwal 1438 Hijria sawa na tarehe 22 Februari, 2017
-
HRW: Wanawake ni wahanga wa vitendo vya ubakaji vya kundi la Daesh nchini Iraq
Feb 20, 2017 12:30Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, wanawake nchini Iraq ni wahanga wa vitendo vya ubakaji vinavyofanywa na kundi la kigaidi la Daesh.
-
51 wauawa na wengine kujeruhiwa katika mlipuko wa kigaidi Baghdad
Feb 16, 2017 12:22Gari lililokuwa limetegwa bomu limeripuka katika kitongoji kimoja kusini mwa Baghdad mji mkuu wa Iraq na kuuwa makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.
-
Alkhamisi 16 Februari, 2017
Feb 16, 2017 00:38Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Jamadil Awwal 1438 sawa na tarehe 16 Februari 2017.
-
Makamanda 13 wa Daesh (ISIS) waangamizwa katika shambulio la jeshi la anga la Iraq
Feb 14, 2017 04:13Jeshi la anga la Iraq limefanya shambulio katika nyumba inayodhaniwa kuwemo ndani yake kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) Abubakar al-Baghdadi pamoja na makamanda wengine waandamizi wa kundi hilo.
-
Araqchi: Iran iko mstari wa mbele kupambana na silaha za mauaji ya umati
Feb 13, 2017 13:49Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, historia ya mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Baath wa Saddam, dhidi ya wananchi na raia wasio na ulinzi wa Iran ni jambo lisiloweza kusahaulika.