-
Syria: Tunashirikiana kwa karibu na Iraq katika kupambana na genge la Daesh
Feb 25, 2017 10:56Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitizia uepo wa ushirikiano baina ya nchi yake na serikali ya Iraq katika kupambana na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).
-
Jumatano, 22 Februari, 2017
Feb 23, 2017 01:05Leo ni Jumatano tarehe 24 Jamadil Awwal 1438 Hijria sawa na tarehe 22 Februari, 2017
-
HRW: Wanawake ni wahanga wa vitendo vya ubakaji vya kundi la Daesh nchini Iraq
Feb 20, 2017 12:30Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, wanawake nchini Iraq ni wahanga wa vitendo vya ubakaji vinavyofanywa na kundi la kigaidi la Daesh.
-
51 wauawa na wengine kujeruhiwa katika mlipuko wa kigaidi Baghdad
Feb 16, 2017 12:22Gari lililokuwa limetegwa bomu limeripuka katika kitongoji kimoja kusini mwa Baghdad mji mkuu wa Iraq na kuuwa makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.
-
Alkhamisi 16 Februari, 2017
Feb 16, 2017 00:38Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Jamadil Awwal 1438 sawa na tarehe 16 Februari 2017.
-
Makamanda 13 wa Daesh (ISIS) waangamizwa katika shambulio la jeshi la anga la Iraq
Feb 14, 2017 04:13Jeshi la anga la Iraq limefanya shambulio katika nyumba inayodhaniwa kuwemo ndani yake kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) Abubakar al-Baghdadi pamoja na makamanda wengine waandamizi wa kundi hilo.
-
Araqchi: Iran iko mstari wa mbele kupambana na silaha za mauaji ya umati
Feb 13, 2017 13:49Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, historia ya mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Baath wa Saddam, dhidi ya wananchi na raia wasio na ulinzi wa Iran ni jambo lisiloweza kusahaulika.
-
Iraq: Abubakar al-Baghdad amekimbilia Syria baada ya kuzidiwa
Feb 08, 2017 04:22Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi amesema kuwa, kinara wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) Abubakar al-Baghdad amekimbilia nchini Syria.
-
Mafanikio ya awamu ya pili ya operesheni ya ukombozi wa Tikrit-Mosul
Feb 06, 2017 04:37Awamu ya pili ya operesheni ya kukomboa eneo la Tikrit mpaka Mosul nchini Iraq inaendelea kwa mafanikio ya kikosi cha wapiganaji wa kujitolea cha al Nujabaa.
-
Velayati: Marekani inafaa kuilipa fidia Iraq kwa kuivamia 2003
Feb 06, 2017 04:34Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema serikali ya Iraq inapaswa kupigania haki ya kufidiwa na Marekani katika vyombo vya kimataifa, kutokana na uvamizi wa utawala wa Washington dhidi yake mwaka 2003.