Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Vyombo vya habari vya Kizayuni: Jina la Netanyahu ni

    Vyombo vya habari vya Kizayuni: Jina la Netanyahu ni "Shetani" kwa wengi duniani

    Apr 30, 2026 10:14

    Chombo cha habari cha Kizayuni kimechambua kuporomoka kwa nafasi ya utawala wa Israel duniani na kubadilika fikra za umma kuhusu utawala huo.

  • Afisa wa Hizbullah: Mapambano yataendelea hadi ukombozi kamili wa ardhi ya Lebanon

    Afisa wa Hizbullah: Mapambano yataendelea hadi ukombozi kamili wa ardhi ya Lebanon

    Apr 30, 2026 07:42

    Makamu wa Mwenyekiti wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza msimamo wa msingi wa harakati hiyo kuhusu uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa Muqawama na mapambano yataendelea hadi ardhi yote ya nchi hiyo itakapokombolewa kikamilifu.

  • Kwa Nini Chuki Dhidi ya Israel Zinaendelea Kuongezeka Ndani ya Marekani?

    Kwa Nini Chuki Dhidi ya Israel Zinaendelea Kuongezeka Ndani ya Marekani?

    Apr 26, 2026 08:52

    Chama cha Democrat nchini Marekani hivi sasa kinazihama enzi za uungaji mkono wake wa jadi kwa utawala bandia wa Israel na kuhamia kwenye zama za kupingana vikali na utawala huo.

  • Hamas: Uhalifu Mpya Kaskazini mwa Gaza Unaonyesha Kutokuwa na Uwezo wa Bodi ya Amani

    Hamas: Uhalifu Mpya Kaskazini mwa Gaza Unaonyesha Kutokuwa na Uwezo wa Bodi ya Amani

    Apr 25, 2026 04:52

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kwamba mauaji ya kutisha yaliyofanywa na jeshi utawala vamizi la Israel huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, ambayo yamewalenga moja kwa moja watoto, ni kielelezo kipya cha kuendelea vita vya mauaji ya kimbari na maangamizi ya kizazi katika maeneo mbalimbali ya Ukanda huo.

  • Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

    Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

    Apr 23, 2026 09:59

    Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.

  • Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui

    Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui

    Apr 23, 2026 09:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza utayari wa Tehran kujilinda dhidi ya mashambulizi na vitisho vya aina yoyote vya adui.

  • Somalia yazuia meli za Israel kupita Bab al-Mandab

    Somalia yazuia meli za Israel kupita Bab al-Mandab

    Apr 23, 2026 09:47

    Somalia imepiga marufuku meli za utawala wa Israel kupita katika mlango‑bahari wa kimkakati wa Bab al‑Mandab kama jibu kwa hatua ya utawala huo ya kulitambua rasmi eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la “Somaliland”.

  • Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani

    Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani

    Apr 22, 2026 04:55

    Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Kituo cha Utafiti wa Maoni ya Umma cha Pew, yanaonyesha kuwa umaarufu wa Israel mbele ya tabaka la vijana wa chama cha Democrat nchini Marekani umepungua kwa asilimia 31 na mbele ya vijana wa Republican kwa asilimia 22 kulinganisha na ilivyokuwa miaka minne iliyopita.

  • Ansarullah Yemen: Lobi ya Wazayuni imezuia makubaliano kati ya Marekani na Iran

    Ansarullah Yemen: Lobi ya Wazayuni imezuia makubaliano kati ya Marekani na Iran

    Apr 12, 2026 09:15

    Mjumbe wa Idara ya Siasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa lobi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Marekani imezuia kufikiwa makubaliano katika mazungumzo kati ya Marekani na Iran.

  • Umeme wakatwa kaskazini mwa Tel Aviv kufuatia mashambulizi ya makombora ya Iran

    Umeme wakatwa kaskazini mwa Tel Aviv kufuatia mashambulizi ya makombora ya Iran

    Mar 25, 2026 07:39

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimeripoti kuwa huduma ya umeme imekatwa katika moja ya miji ya kistratejia ya kaskazini mwa Israel kufuatia mashambulizi ya makombora ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS