Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Kilio cha vyombo vya habari na duru za kisiasa za Israel kwa makubaliano ya usitishaji vita; HAMAS inasalia Ghaza na imeshinda

    Kilio cha vyombo vya habari na duru za kisiasa za Israel kwa makubaliano ya usitishaji vita; HAMAS inasalia Ghaza na imeshinda

    Oct 10, 2025 07:28

    Baada ya kutangazwa makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Ghaza na ya kubadilishana mateka kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, vyombo vya habari na duru za kisiasa za ndani ya utawala wa kizayuni zimetoa lawama kwa kuashiria matokeo ya vita na kuendelea kubaki thabiti miundo na mihimili ya Muqawama ndani ya Ghaza.

  • Iran: Maadui wanajua watalazimika ‘kuomba usitishaji vita’ iwapo watatushambulia tena

    Iran: Maadui wanajua watalazimika ‘kuomba usitishaji vita’ iwapo watatushambulia tena

    Oct 10, 2025 06:59

    Makamu wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref amesema matukio ya hivi karibuni yameonyesha nguvu ya Jamhuri ya Kiislamu na kutangaza kwamba, maadui sasa wanatambua shambulio lolote dhidi ya taifa hili litawalazimu "kuomba kusitishwa kwa mapigano."

  • Putin: Israel imeniomba niipe Iran ujumbe kwamba haitaki vita

    Putin: Israel imeniomba niipe Iran ujumbe kwamba haitaki vita

    Oct 10, 2025 06:14

    Rais wa Russia, Vladmir Putin amesema viongozi wa Israel wamemtaka aieleze Iran kwamba, utawala huo haufuatilii vita na makabiliano zaidi na Iran, na una hamu ya kupunguza mvutano.

  • Viongozi duniani wakaribisha makubaliano ya kusimamishwa vita Ghaza yaliyofikiwa kati ya Hamas na Israel

    Viongozi duniani wakaribisha makubaliano ya kusimamishwa vita Ghaza yaliyofikiwa kati ya Hamas na Israel

    Oct 09, 2025 11:25

    Viongozi mbalimbali duniani wamekaribisha tangazo la kusitishwa vita Ghaza kufuatia siku tatu za mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya harakati ya ukombozi wa Palestina ya Hamas na utawala wa kizayuni Israel nchini Misri kulingana na mpango uliopendekezwa na Rais wa Marekani Donald Trump.

  • Bunge la Uhispania laidhinisha marufuku ya kuuuzia silaha utawala wa kizayuni wa Israel

    Bunge la Uhispania laidhinisha marufuku ya kuuuzia silaha utawala wa kizayuni wa Israel

    Oct 09, 2025 10:38

    Bunge la Uhispania limeidhinisha vikwazo vya silaha vilivyopendekezwa na Waziri Mkuu Pedro Sanchez dhidi ya utawala wa kizayunii wa Israel.

  • Misri na vita vya Gaza; Kujaribu kufuata mkakati wa uwastani

    Misri na vita vya Gaza; Kujaribu kufuata mkakati wa uwastani

    Oct 09, 2025 03:10

    Kuanza vita vya Gaza baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa mnamo Oktoba 7, 2023 ulikuwa mwanzo wa mabadiliko katika sera za ndani na za kigeni za Misri.

  • Araghchi: Wamarekani wataabani kuingia vitani kupigana kwa ajili ya

    Araghchi: Wamarekani wataabani kuingia vitani kupigana kwa ajili ya "vita visivyo na mwisho" vya Israel

    Oct 08, 2025 03:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mjibizo kwa kauli ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu na kueleza kwamba: Wamarekani wataabani kuingia vitani kupigana kwa ajili ya "vita visivyo na mwisho" vya Israel.

  • Kuanguka kizoro katika uso wa Israel - Mwaka wa Pili wa Kimbunga cha al Aqsa

    Kuanguka kizoro katika uso wa Israel - Mwaka wa Pili wa Kimbunga cha al Aqsa

    Oct 07, 2025 10:35

    Historia muda wote imethibitisha kwamba, msimamo imara na kutotetereka mataifa ya dunia katika kupigania ukombozi, siku zote hushinda utumiaji mabavu, vita, njama na mauaji ya umati. Hiyo ni ahadi ya Qur'ani Tukufu ambapo katika Surat Muhammad, aya ya 7 tunasoma: "Mkimnusuru Mwenyezi Mungu basi na Yeye atakunusuruni."

  • Araghchi: Israel inatumia mamilioni ya dola kulipa watu waongope mitandaoni

    Araghchi: Israel inatumia mamilioni ya dola kulipa watu waongope mitandaoni

    Oct 07, 2025 07:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameshutumu kampeni ya propaganda iliyofichuliwa hivi karibuni ya Israel, yenye lengo la kuhamasisha uungwaji mkono kwa utawala huo kwenye mitandao ya kijamii.

  • Iran yataka OIC kuchukua hatua ya kuipiga marufuku Israel katika michezo ya dunia

    Iran yataka OIC kuchukua hatua ya kuipiga marufuku Israel katika michezo ya dunia

    Oct 05, 2025 10:42

    Waziri wa Michezo na Vijana wa Iran, Ahmad Donyamali amewataka mawaziri wenzake katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuunda muungano wa pamoja dhidi ya utawala wa Israel ambao utasaidia kuupiga marufuku utawala huo wa Kizayuni kwenye michezo ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS