Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Waziri Mkuu wa Israel ajaribu kukwamisha kufufuliwa JCPOA

    Waziri Mkuu wa Israel ajaribu kukwamisha kufufuliwa JCPOA

    Aug 24, 2022 06:20

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameingiwa na kiwewe kutokana na uwezekano mkubwa wa kufikiwa makubaliano ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ndani ya siku chache zijazo.

  • Iran: Israel inapaswa kuharibu silaha zake za nyuklia na ijiunge na NPT

    Iran: Israel inapaswa kuharibu silaha zake za nyuklia na ijiunge na NPT

    Aug 23, 2022 23:50

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uharibu silaha zake za nyuklia na ujiunge haraka na Mkataba za Kuzuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT).

  • Wafungwa wa Palestina waanza mgomo wa kula

    Wafungwa wa Palestina waanza mgomo wa kula

    Aug 22, 2022 06:37

    Mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel wameanzisha mgomo usio na kikomo wa kula chakula.

  • Kuanzisha uchunguzi Polisi ya Ujerumani dhidi ya Rais wa Palestina kuhusiana na Holocaust; undumakuwili mwingine wa Magharibi

    Kuanzisha uchunguzi Polisi ya Ujerumani dhidi ya Rais wa Palestina kuhusiana na Holocaust; undumakuwili mwingine wa Magharibi

    Aug 21, 2022 03:50

    Polisi ya Ujerumani imesema, imeanzisha uchunguzi dhidi ya Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa sababu ya kauli aliyotoa kuhusu Holocaust, yaani mauaji ya halaiki ya Wayahudi yanayodaiwa kufanywa na utawala wa Kinazi wa Ujerumani chini ya uongozi wa Adolf Hitler.

  • Kani: Israel inakoseshwa usingizi na kizazi kipya cha Wapalestina

    Kani: Israel inakoseshwa usingizi na kizazi kipya cha Wapalestina

    Aug 14, 2022 03:00

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema kuwaua watoto wa Kipalestina kumegeuka na kuwa jambo la kawaida kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, na umwagaji damu huo unadhihirisha wazi kuwa Wazayuni wanakiogopa kizazi kipya cha Wapalestina.

  • Wairani waandamana kulaani ukatili wa Israel dhidi ya wakazi wa Gaza

    Wairani waandamana kulaani ukatili wa Israel dhidi ya wakazi wa Gaza

    Aug 10, 2022 06:54

    Wananchi wa Iran jana Jumanne walifanya maandamano katika mji mkuu Tehran kulaani jinai za utawala wa Kizayuni za kuwaua shahidi wanawake na watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Abdollahian awapongeza wanamuqwama kwa kukabiliana na wanajeshi wa Kizayuni

    Abdollahian awapongeza wanamuqwama kwa kukabiliana na wanajeshi wa Kizayuni

    Aug 09, 2022 20:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwa mara nyingine tena wanajihadi za harakati za muqawama wa Palestina wameweza kusimama kidete mkabala wa nguvu kubwa za kijeshi za utawala wa Kizayuni, na hatimaye wakawalazimisha maadui kusalimu amri na kuafiki kusitisha vita.

  • AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

    AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

    Aug 08, 2022 02:58

    Umoja wa Afrika (AU) umeungana na jamii ya kimataifa kulaani jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

  • Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri

    Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri

    Aug 08, 2022 02:54

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema maadui Wazayuni wametangaza kuwa wako tayari kufikia makubaliano ya usitishaji vita baada ya makombora na maroketi ya wanamuqawama wa Ukanda wa Gaza kuutiwa kiwewe na wahakama utawala huo wa Kizayuni.

  • Jinai ya utawala wa Kizayuni katika kuishambulia Jihad Islami ya Palestina

    Jinai ya utawala wa Kizayuni katika kuishambulia Jihad Islami ya Palestina

    Aug 07, 2022 01:25

    Ijumaa alasiri, jeshil la utawala wa kigaidi wa Israel lilitekeleza jinai kubwa dhidi ya Wapalestina kupitia mashambulizi yaliyopewa jina la "Operesheni ya Alfajiri", katika maeneo yanayodhibitiwa na harakati ya Palestina ya Jihad Islami katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS