-
Brigedia Jenerali Nilforooshan: Israel imezungukwa na Iran kila upande
Sep 28, 2019 08:53Kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umezingirwa kila upande na Iran na kuuonya utawala huo haramu dhidi ya kuchukua hatua yoyote ya kichokozi dhidi ya taifa hili.
-
Polisi ya Israel yamtia mbaroni Waziri wa Masuala ya Quds wa Palestina
Sep 26, 2019 00:44Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemtia mbaroni Waziri wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
-
Wamorocco wakasirishwa na kupeperushwa bendera ya Israel nchini kwao
Sep 24, 2019 08:42Safari ya ujumbe wa utawala haramu wa Israel ukiongozwa na mmoja wa viongozi wa chama cha Likud nchini Morocco na kupeperushwa bendera ya utawala huo kusini mashariki mwa nchi hiyo, kumezua malalamiko ya Wamorocco.
-
Netanyahu akaribia zaidi mlango wa jela baada ya Waarabu wa Israel kumuunga mkono Benny Gantz
Sep 23, 2019 10:00Tangazo la uungaji mkono wa mrengo wa Orodha ya Pamoja ya Muungano wa Kiarabu kwa Benny Gantz kwa ajili ya kuunda serikali ya utawala haramu wa Kizayuni, limemkurubisha zaidi Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala huo kwenye hatua nyingine ya kuingia milango ya jela za Israel.
-
Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kwa uchaguzi wa Israel na mashambulio dhidi ya Aramco
Sep 21, 2019 22:59Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah alasiri juzi Ijumaa Septemba 20 alitoa radiamali yake kwa uchaguzi wa bunge wa Israel na mashambulizi dhidi ya vituo vya mafuta vya Aramco vya Saudia.
-
Benjamin Netanyahu katika ukingo wa kuporomoka
Sep 19, 2019 21:55Zaidi ya asilimia 90 ya kura zilizohesabiwa katika uchaguzi wa bunge la utawala haramu wa Israel, inaeleza kuwa Benjamin Netanyahu yuko katika ukingo wa kutupwa kando, na kuna uwezekano wa kuingia madarakani waziri mkuu mpya.
-
Netanyahu katika njiapanda baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi
Sep 19, 2019 09:31Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ameingiwa na kiwewe baada ya kubwagwa katika uchaguzi wa Bunge la Israel (Knesset).
-
Iran: Uchu wa madaraka wa 'Hitler mdogo' chachu ya kuangamizwa mapema Israel
Sep 15, 2019 03:19Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amemtaja Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, kama 'Hitler mdogo' na kusisitiza kuwa uchu wa madaraka wa Benjamin Netanyahu utakuwa mwanzo wa kuporomoka na kusambaratika utawala huo haramu.
-
Wanamuqawama wa Palestina watungua drone ya Israel Ukanda wa Gaza
Sep 14, 2019 23:06Vikosi vya muqawama vya Palestina vimefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Jasusi wa Israel, "Chinjachinja wa Gereza ya al Khiyam", atiwa nguvuni Lebanon
Sep 13, 2019 22:38Jasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel maarufu kwa jina la Chinjachinja wa gereza ya al Khiyam aliyekuwa ametorokea Marekani, ametiwa nguvuni baada ya kurejea nchini Lebanon.