Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Zarif: Marekani haihitaji adui ikiwa na rafiki kama Israel

    Zarif: Marekani haihitaji adui ikiwa na rafiki kama Israel

    Sep 13, 2019 23:11

    Huku kukiwa na ripoti kuwa utawala haramu wa Israel umeweka vifaa vya ujasusi karibu na Ikulu ya White House, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amewakejeli wakuu wa Washington na kusema, Marekani ikiwa na muitifaki ambaye anafanya ujasusi dhidi yake basi haihitaji maadui.

  • Israel yatuhumiwa kuweka vifaa vya ujasusi karibu na White House

    Israel yatuhumiwa kuweka vifaa vya ujasusi karibu na White House

    Sep 12, 2019 22:08

    Serikali ya Marekani inautuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa umefunga vifaa vidogo vya ujasusi karibu na Ikulu ya White House na maeneo mengine muhimu mjini Washington D.C.

  • Muhuri wa IAEA wa kuunga mkono makubaliano ya JCPOA na mchezo mpya wa maigizo wa Netanyahu

    Muhuri wa IAEA wa kuunga mkono makubaliano ya JCPOA na mchezo mpya wa maigizo wa Netanyahu

    Sep 10, 2019 06:09

    Baada ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomikia (IAEA) kutoa ripoti yake mpya inayotathmini hatua za Iran katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel ameibuka tena na kudai kuwa, miradi ya nyuklia ya Iran ni ya kijeshi na kwamba, eti taifa hili linataka kutengeza bomu la atomiki.

  • Zarif: Israel, mwana kilizi, ndiye mmiliki halisi wa silaha za nyuklia

    Zarif: Israel, mwana kilizi, ndiye mmiliki halisi wa silaha za nyuklia

    Sep 10, 2019 02:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu matamshi ya kijuba ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, aliyedai kuwa ana ushahidi mpya unaoonesha kuwa Tehran inaunda kwa siri silaha za nyuklia; ambapo amesema kauli hiyo ya kichochezi ya Benjamin Netanyahu inalenga kufanikisha ajenda ya vita ya utawala huo haramu.

  • Wazayuni wakiri: Askari watano wa Israel waliuawa ndani ya gari lililoripuliwa na Hizbullah

    Wazayuni wakiri: Askari watano wa Israel waliuawa ndani ya gari lililoripuliwa na Hizbullah

    Sep 03, 2019 22:11

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limekiri kuwa askari watano wa Israel walikuwemo ndani ya gari la kijeshi lililoripuliwa na wanamuqawama wa Hizbullah ya Lebanon.

  • Al Manar: Kamanda wa jeshi la utawala wa Kizayuni aangamizwa kwenye oparesheni ya Hizbullah ya Lebanon

    Al Manar: Kamanda wa jeshi la utawala wa Kizayuni aangamizwa kwenye oparesheni ya Hizbullah ya Lebanon

    Sep 01, 2019 12:46

    Televisheni ya al Manar imetangaza kuwa harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeangamiza moja ya zana za kijeshi za Israel katika barabara ya al Thakna katika mji wa mpakani wa Israel wa Avivim na kumuua kamanda wa kikosi kimoja wa jeshi la utawala wa Kizayuni huko kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu katika oparesheni iliyotekelezwa na harakati ya Hizbullah.

  • Muungano wa al Fat'h: Shambulizi la Israel dhidi ya vituo vya al Hashdu al Shaabi ni tangazo la vita dhidi ya Iraq

    Muungano wa al Fat'h: Shambulizi la Israel dhidi ya vituo vya al Hashdu al Shaabi ni tangazo la vita dhidi ya Iraq

    Aug 26, 2019 02:06

    Muungano wa al Fat'h katika Bunge la Iraq umetangaza kuwa, mashambulizi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya vituo na kambi za harakati ya al Hashdu al Shaabi ni sawa na tangazo la vita kwa Iraq na umetoa wito wa kukomeshwa udhibiti wa Marekani wa anga ya Iraq.

  • Tahadhari ya Batalioni za Hizbullah ya Iraq kwa Marekani

    Tahadhari ya Batalioni za Hizbullah ya Iraq kwa Marekani

    Aug 23, 2019 22:10

    Batalioni za Hizbullah ya Iraq zimetoa taarifa zikiitahadharisha Marekani kuhusiana na kuendeleza mashambulizi dhidi ya kambi na vituo vya harakati ya wananchi ya nchi hiyo ya al Hashdu al Shaabi.

  • Bashar al-Jaafari: Chimbuko la mizozo ya Mashariki ya Kati ni uvamizi wa Israel

    Bashar al-Jaafari: Chimbuko la mizozo ya Mashariki ya Kati ni uvamizi wa Israel

    Aug 21, 2019 03:19

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, chimbuko la mizozo na migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati ni hatua ya Israel ya kuvamia na kukalia kwa mabavu ardhi za Kiarabu ikiwemo miinuko ya Golan ya Syria.

  • Abdul-Malik al-Houthi: Baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu ni vibaraka wa Marekani na Israel

    Abdul-Malik al-Houthi: Baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu ni vibaraka wa Marekani na Israel

    Aug 20, 2019 22:05

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kutokuwa na itikadi na asili ya Wilaya (uongozi katika Uislamu) baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu kumewafanya wawe vibaraka wa Marekani na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS