Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Sisitizo la Mogherini la kupinga EU umiliki wa Israel wa milima ya Golan ya Syria

    Sisitizo la Mogherini la kupinga EU umiliki wa Israel wa milima ya Golan ya Syria

    Mar 31, 2019 22:21

    Ikiwa ni katika kuendelea kujikomba kwa lobi za Kizayuni, rais wa Marekani Donald Trump, tarehe 25 Machi, 2019 alitambua rasmi kumilikiwa na Israel milima ya Golan ya Syria.

  • Msemaji wa Netanyahu ashambuliwa vikali kwa kuwaita waandamanaji wa Kipalestina 'wake za ISIS'

    Msemaji wa Netanyahu ashambuliwa vikali kwa kuwaita waandamanaji wa Kipalestina 'wake za ISIS'

    Mar 31, 2019 03:19

    Msemaji wa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu amejiwa juu na watumiaji wa mtandao wa kijamii wa Twitter kwa kuwaita wanawake wa Kipalestina walioshiriki maandamano ya 'Haki ya Kurejea' huku wakiwa wamevalia vazi la stara la niqabu kuwa eti ni wake za wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ISIS (Daesh).

  • Mamia waandamana London, Uingereza dhidi ya utawala haramu wa Israel

    Mamia waandamana London, Uingereza dhidi ya utawala haramu wa Israel

    Mar 30, 2019 22:42

    Mamia ya watu wamejitokeza katika barabara za London, mji mkuu wa Uingereza kushiriki maandamano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Askari wa Israel waua shahidi Wapalestina wawili katika maandamano Ghaza

    Askari wa Israel waua shahidi Wapalestina wawili katika maandamano Ghaza

    Mar 30, 2019 11:20

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua shahidi Wapalestina wawili na kuwajeruhi wengine kadhaa katika Ukanda wa Ghaza wakati wa maandamano ya amani yaliyoitishwa kwa lengo la kuadhimisha kuanza 'Maandamano Makubwa ya Kurejea' na 'Siku ya Ardhi ya Palestina.'

  •  Iran yatahadharisha: Israel inaunda muungano na magaidi

    Iran yatahadharisha: Israel inaunda muungano na magaidi

    Mar 29, 2019 11:31

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetahadharisha kuwa, utawala ghasibu wa Israel, ambao unatoa uungaji mkono kwa magaidi nchini Syria, unaweza kuunda muungano na magaidi hao iwapo tishio lao halitashughulikiwa ipasavyo.

  • Mkuu wa zamani wa jeshi la utawala wa Kizayuni: Ni aibu kwa Israel kushindwa kukabiliana na HAMAS

    Mkuu wa zamani wa jeshi la utawala wa Kizayuni: Ni aibu kwa Israel kushindwa kukabiliana na HAMAS

    Mar 29, 2019 00:08

    Mkuu wa zamani wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kuwa, dalili za wazi za ushindi wa Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimeonekana baada ya Hania kujitokeza mbele ya ofisi yake mjini Ghaza licha ya Israel kuishambulia ofisi hiyo na kwamba hiyo ni aibu kwa utawala wa Kizayuni.

  • Imarati yazitaka nchi za Kiarabu ziboreshe uhusiano na utawala katili wa Israel

    Imarati yazitaka nchi za Kiarabu ziboreshe uhusiano na utawala katili wa Israel

    Mar 29, 2019 00:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Imarati ameziasa nchi za Kiarabu ziimarishe uhusiano wao na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Syria yalitaka Baraza la Usalama la UN liitishe mkutano wa dharura kuhusu Golan

    Syria yalitaka Baraza la Usalama la UN liitishe mkutano wa dharura kuhusu Golan

    Mar 27, 2019 11:38

    Serikali ya Syria imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liitishe kikao cha dharura cha kujadili hali ya hivi sasa ya Miinuko ya Golan, kufuatia hatua ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua rasmi miinuko hiyo kuwa ni mali na miliki ya utawala haramu wa Israel.

  • Nia ovu ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwasha moto wa vita Asia Magharibi

    Nia ovu ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwasha moto wa vita Asia Magharibi

    Mar 27, 2019 08:11

    Katika kukaribia uchaguzi wa mapema wa bunge katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, kwa mara nyingine Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala Haramu wa Kizayuni, Israel ameanza kupiga ngoma ya vita katika eneo la Mashari ya Kati (Asia Magharibi).

  • Syria: Tangazo la Trump kuhusu Golan haliwezi kubadilisha chochote

    Syria: Tangazo la Trump kuhusu Golan haliwezi kubadilisha chochote

    Mar 26, 2019 03:02

    Syria imesema hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani kutambua rasmi Miinuko ya Golan kuwa milki ya utawala haramu wa Israel katu haiwezi kubadilisha ukweli kwamba miinuko hiyo ni mali halali ya Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS