-
Wanajeshi wa Israel wampiga risasi na kumuua shahidi kijana wa Kipalestina
Mar 10, 2019 10:45Kijana wa Kipalestina ameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Afrika Kusini kupunguza uhusiano wake na Israel, yawaunga mkono Wapalestina
Mar 09, 2019 11:45Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema kuwa nchi yake inapanga kupunguza hadhi ya ubalozi wake katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina kutokana na ukiukaji wa haki za Wapalestina unaofanywa na utawala haramu wa Israel.
-
UN yaiokosoa Israel kwa kupinga ripoti ya mauaji ya Wapalestina Gaza
Mar 06, 2019 23:23Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Israel kupinga ripoti ya wataalamu wa umoja huo kuhusu mauaji ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza yaliyofanywa na askari katili wa utawala huo haramu.
-
Palestina yapuuza agizo la mahakama ya Israel la kufunga lango la Msikiti wa al-Aqsa
Mar 06, 2019 10:25Mamlaka ya Wakfu wa Kidini ya Palestina imepuuzilia mbali agizo lililotolewa na mahakama ya utawala wa Kizayuni wa Israel la kuitaka ifunge moja ya malango muhimu ya Msikiti Mtukufu wa al-Aqsa.
-
Corbyn: Uingereza iache kuiuzia silaha Israel, inaua raia Palestina
Mar 03, 2019 12:02Kiongozi wa chama Leba nchini Uingereza amekosoa vikali mauaji yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina na ameitaka serikali ya nchi hiyo kusitisha uuzaji wa silaha kwa utawala wa Kizayuni.
-
Ilhan Omar: Misimamo yangu dhidi ya Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi
Mar 02, 2019 12:29Mbunge Muislamu katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, anasikitika kuona misimamo yake dhidi ya utawala wa Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi.
-
Middle East Eye: Salah Gosh amefanya mazungumzo ya siri na Israel
Mar 02, 2019 04:36Idara ya Ujasusi ya Sudan imekanusha habari iliyotangazwa na Middle East Eye kwamba mkuu wa idara hiyo, Salah Abdallah Gosh amekutana kwa siri na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Israel MOSSAD, Yossi Cohen.
-
Alkhamisi, 28 Februari, 2019
Feb 27, 2019 23:03Leo ni Alkhamisi tarehe 22 Jumadithani 1440 Hijria sawa na 28 Februari 2019.
-
Ripoti: Israel imeficha nyaraka laki 3 kuhusu mauaji ya kinyama dhidi ya Wapalestina
Feb 26, 2019 04:29Mwandishi wa habari wa Kiyahudi anayeishi jimboni California nchini Marekani amefichua kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeficha nyaraka laki tatu zinazohusu jinai za kutisha za utawala huo haramu yakiwemo mauaji ya Wapalestina.
-
Kushadidi ukatili wa utawala haramu wa Israel dhidi ya maandamano ya 'Haki ya Kurejea'
Feb 25, 2019 04:13Jumapili usiku kituo cha haki za binaadamu cha 'Al-Mizan' cha Palestina kilitangaza kwamba tangu yalipoanza maandamano ya 'Haki ya Kurejea' katika Ukanda wa Gaza, hadi sasa jumla ya Wapalestina 267 wameuawa shahidi na askari wa utawala haramu wa Israel.