Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Umuhimu wa mkutano wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni

    Umuhimu wa mkutano wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni

    Dec 06, 2018 02:39

    Mkutano wa 92 wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni umefanyika katika makao makuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu mjini Cairo Misri na kushirikishwa wawakilishi kutoka nchi za Kiarabu na wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC.

  • Lieberman akiri, maandamano ya Haki ya Kurejea yametoa pigo kwa Israel

    Lieberman akiri, maandamano ya Haki ya Kurejea yametoa pigo kwa Israel

    Dec 05, 2018 03:41

    Waziri wa Vita aliyejiuzulu wa Israel amekiri kwamba, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa mashinikizo makubwa kwa utawala huo kupitia maandamano yanayofanywa kila siku ya Ijumaa na raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Wanawake wa Israel waandamana kulalamikia ukatili wa kingono

    Wanawake wa Israel waandamana kulalamikia ukatili wa kingono

    Dec 04, 2018 21:38

    Maelfu ya wanawake wa Israel walifanya maandamano jana Jumanne katika kila kona ya utawala huo haramu, wakilalamikia unyanyasaji wa kingono, mateso dhidi yao na udhalilishaji wa kijinsia.

  • Hamas yaiomba Afrika Kusini kusadia mapambano ya ukombozi ya Wapalestina

    Hamas yaiomba Afrika Kusini kusadia mapambano ya ukombozi ya Wapalestina

    Dec 04, 2018 11:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeiomba Afrika Kusini izidishe uungaji mkono na misaada yake kwa taifa la Palestina katika mapambano yake ya ukombozi dhidi ya utawala haramu wa Israel.

  • Israel ilitoa msaada wa kijasusi kwa Saudia katika mauaji ya Khashoggi

    Israel ilitoa msaada wa kijasusi kwa Saudia katika mauaji ya Khashoggi

    Dec 03, 2018 03:19

    Imebainika kuwa shirika moja la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel lilitoa msaada mkubwa kwa ufalme Saudi Arabia ili kufanikisha mauaji ya mwandishi habari Jamal Khashoggi ambaye alikuwa mkosoaji mkubwa wa ufalme huo wa kiimla.

  • Maazimio 15 dhidi ya Israel katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika kipindi cha wiki mbili

    Maazimio 15 dhidi ya Israel katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika kipindi cha wiki mbili

    Dec 02, 2018 04:07

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mnamo Novemba 30 lilipitisha maazimio 6 dhidi ya utawala wa Israel kwa lengo la kuunga mkono Palestine.

  • Hizbullah: Israel itajuta iwapo itaivamia tena Lebanon

    Hizbullah: Israel itajuta iwapo itaivamia tena Lebanon

    Dec 02, 2018 00:11

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeonesha mkanda wa video ikiutahadharisha utawala haramu wa Israel kwamba, utajuta iwapo utaivamia ardhi ya Lebanon.

  • HAMAS: Kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel ni jinai na uhaini

    HAMAS: Kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel ni jinai na uhaini

    Dec 01, 2018 04:42

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kutaka kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel ni jinai.

  • UN yaitaka Israel iondoke kwenye Miinuko ya Golan ya Syria

    UN yaitaka Israel iondoke kwenye Miinuko ya Golan ya Syria

    Dec 01, 2018 04:35

    Kwa mara nyingine tena Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa wingi wa kura azimio la kuutaka utawala ghasibu wa Israel kuondoka katika eneo la Miinuko ya Golan la Syria ambalo umelikalia kwa mabavu kwa karibu nusu karne sasa.

  • 'Bin Salman, El Sisi wanawashawishi viongozi wa nchi za Kiarabu waanzishe uhusiano na Israel'

    'Bin Salman, El Sisi wanawashawishi viongozi wa nchi za Kiarabu waanzishe uhusiano na Israel'

    Nov 30, 2018 23:10

    Gazeti la Al-Araby Al-Jadeed linalochapishwa nchini Uingereza limeripoti kuwa Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia Muhammad bin Salman na Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri wamekuwa wakiendesha kampeni ya pamoja ya kuwashawishi viongozi wa nchi zingine za Kiarabu waanzishe uhusiano wa karibu na Israel, huku wakiendelea kutatua tofauti za kisiasa na utawala huo haramu wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS