-
CNN yamfuta kazi mwandishi wake kwa kukosoa siasa za kikatili za Israel
Nov 30, 2018 11:39Televisheni ya CNN ya Marekani imemfuta kazi mwandishi na mchambuzi wake kwa sababu ya kukosoa siasa za kikatili za utawala haramu wa Israel na kutoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Trump: Israel ni 'sababu moja' ya wanajeshi wa Marekani kuendelea kubaki Mashariki ya Kati
Nov 28, 2018 23:36Rais Donald Trump wa Marekani amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vitaendelea kuwepo katika eneo la Mashariki kuhakikisha usalama wa muitifaki wake mkuu na wa karibu, Israel.
-
Uungaji mkono wa Facebook kwa siasa za kigaidi za Israel
Nov 27, 2018 04:43Mtandao wa kijami wa Facebook umepiga marufuku kusambazwa picha za kikosi maalumu cha ugaidi cha utawala wa Kizayuni katika oparesheni iliyofanywa hivi karibuni huko Ukanda wa Ghaza.
-
Jeshi la Israel: Kuuawa Nasrullah kutatoa pigo kubwa kwa Hizbullah
Nov 27, 2018 04:12Kamanda wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa mwito wa kuuawa Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah akisisitiza kuwa, kuuawa kwake kutatoa pigo kubwa kwa harakati hiyo ya muqawama.
-
Vitisho vya kigaidi vya Israel dhidi ya viongozi wa muqawama wa Palestina
Nov 23, 2018 12:26Yoav Galant, waziri wa nyumba na ujenzi wa vitongoji wa utawala wa Kizayuni ametishia kumuua kigaidi Yahya Sinwar mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) huko Ghaza. Naye Eli Cohen, waziri wa uchumi na viwanda wa utawala wa Kizayuni ametishia kuwaua kigaidi viongozi wote wa HAMAS na kuvunja nyumba zao.
-
Taasisi ya EU yapiga kura ya kutaka kususiwa Vyuo Vikuu vya Israel
Nov 23, 2018 04:32Taasisi moja ya akademia ya Umoja wa Ulaya imepasisha kwa wingi wa kura muswada wa kutaka kususiwa Vyuo Vikuu na taasisi nyingine za elimu ya juu za utawala haramu wa Israel ambazo ziko katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Ripoti: 70% ya kauli za viongozi wa Israel wakiongozwa na Netanyahu, ni porojo
Nov 20, 2018 04:31Utafiti mpya umefichua kuwa, zaidi ya asilimia 70 ya matamshi yanayotolewa na wanasiasa wa utawala wa Kizayuni wa Israel ni urongo, porojo na propaganda, huku Waziri Mkuu wa utawala huo pandikizi, Benjamin Netanyahu akiongoza katika orodha hiyo.
-
Abdollahian: Muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni
Nov 19, 2018 00:45Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu yuko katika ncha ya kuanguka, na kwamba muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni.
-
Ayatullah Kashani: Wanaounga mkono jinai za Saudia na Wazayuni wana sura za kuogofya
Nov 16, 2018 11:27Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, nchi ambazo zinazipa himaya na kuunga mkono jinai zinazofanywa na Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo nchi zenye sura za kutisha zaidi duniani.
-
Duru za habari: Baada ya Lieberman, Waziri wa Uhajiri wa Israel naye pia amejiuzulu
Nov 15, 2018 03:48Vyombo vya habari vimeripoti kuwa waziri mwengine katika serikali ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, amejiuzulu.