Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • CNN yamfuta kazi mwandishi wake kwa kukosoa siasa za kikatili za Israel

    CNN yamfuta kazi mwandishi wake kwa kukosoa siasa za kikatili za Israel

    Nov 30, 2018 11:39

    Televisheni ya CNN ya Marekani imemfuta kazi mwandishi na mchambuzi wake kwa sababu ya kukosoa siasa za kikatili za utawala haramu wa Israel na kutoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina.

  • Trump: Israel ni 'sababu moja' ya wanajeshi wa Marekani kuendelea kubaki Mashariki ya Kati

    Trump: Israel ni 'sababu moja' ya wanajeshi wa Marekani kuendelea kubaki Mashariki ya Kati

    Nov 28, 2018 23:36

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vitaendelea kuwepo katika eneo la Mashariki kuhakikisha usalama wa muitifaki wake mkuu na wa karibu, Israel.

  • Uungaji mkono wa Facebook kwa siasa za kigaidi za Israel

    Uungaji mkono wa Facebook kwa siasa za kigaidi za Israel

    Nov 27, 2018 04:43

    Mtandao wa kijami wa Facebook umepiga marufuku kusambazwa picha za kikosi maalumu cha ugaidi cha utawala wa Kizayuni katika oparesheni iliyofanywa hivi karibuni huko Ukanda wa Ghaza.

  • Jeshi la Israel: Kuuawa Nasrullah kutatoa pigo kubwa kwa Hizbullah

    Jeshi la Israel: Kuuawa Nasrullah kutatoa pigo kubwa kwa Hizbullah

    Nov 27, 2018 04:12

    Kamanda wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa mwito wa kuuawa Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah akisisitiza kuwa, kuuawa kwake kutatoa pigo kubwa kwa harakati hiyo ya muqawama.

  • Vitisho vya kigaidi vya Israel dhidi ya viongozi wa muqawama wa Palestina

    Vitisho vya kigaidi vya Israel dhidi ya viongozi wa muqawama wa Palestina

    Nov 23, 2018 12:26

    Yoav Galant, waziri wa nyumba na ujenzi wa vitongoji wa utawala wa Kizayuni ametishia kumuua kigaidi Yahya Sinwar mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) huko Ghaza. Naye Eli Cohen, waziri wa uchumi na viwanda wa utawala wa Kizayuni ametishia kuwaua kigaidi viongozi wote wa HAMAS na kuvunja nyumba zao.

  • Taasisi ya EU yapiga kura ya kutaka kususiwa Vyuo Vikuu vya Israel

    Taasisi ya EU yapiga kura ya kutaka kususiwa Vyuo Vikuu vya Israel

    Nov 23, 2018 04:32

    Taasisi moja ya akademia ya Umoja wa Ulaya imepasisha kwa wingi wa kura muswada wa kutaka kususiwa Vyuo Vikuu na taasisi nyingine za elimu ya juu za utawala haramu wa Israel ambazo ziko katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Ripoti: 70% ya kauli za viongozi wa Israel wakiongozwa na Netanyahu, ni porojo

    Ripoti: 70% ya kauli za viongozi wa Israel wakiongozwa na Netanyahu, ni porojo

    Nov 20, 2018 04:31

    Utafiti mpya umefichua kuwa, zaidi ya asilimia 70 ya matamshi yanayotolewa na wanasiasa wa utawala wa Kizayuni wa Israel ni urongo, porojo na propaganda, huku Waziri Mkuu wa utawala huo pandikizi, Benjamin Netanyahu akiongoza katika orodha hiyo.

  • Abdollahian: Muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni

    Abdollahian: Muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni

    Nov 19, 2018 00:45

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu yuko katika ncha ya kuanguka, na kwamba muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni.

  • Ayatullah Kashani: Wanaounga mkono jinai za Saudia na Wazayuni wana sura za kuogofya

    Ayatullah Kashani: Wanaounga mkono jinai za Saudia na Wazayuni wana sura za kuogofya

    Nov 16, 2018 11:27

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, nchi ambazo zinazipa himaya na kuunga mkono jinai zinazofanywa na Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo nchi zenye sura za kutisha zaidi duniani.

  • Duru za habari: Baada ya Lieberman, Waziri wa Uhajiri wa Israel naye pia amejiuzulu

    Duru za habari: Baada ya Lieberman, Waziri wa Uhajiri wa Israel naye pia amejiuzulu

    Nov 15, 2018 03:48

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa waziri mwengine katika serikali ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, amejiuzulu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS