Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Waarabu wazidi kujipendekeza kwa Israel; Waziri wa utawala huo kuelekea Imarati Oktoba

    Waarabu wazidi kujipendekeza kwa Israel; Waziri wa utawala huo kuelekea Imarati Oktoba

    May 17, 2018 23:29

    Waziri wa Mawasiliano wa Utawala Katili wa Israel amesema kuwa mwaka huu na kwa mara ya kwanza atashiriki mkutano nchini Imarati, katika safari ya kwanza rasmi kwa kiongozi wa ngazi ya juu wa Kizayuni katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Israel yakasirishwa na taarifa ya Baraza la Haki za Binadamu kuhusu mauaji ya raia Ghaza

    Israel yakasirishwa na taarifa ya Baraza la Haki za Binadamu kuhusu mauaji ya raia Ghaza

    May 17, 2018 09:35

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni ametaka Israel iondoke haraka katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kufuatia kulaaniwa utawala huo katika kikao cha baraza hilo.

  • Mtoto wa miezi 8 ni mmoja wa Wapalestina waliouawa na jeshi katili la Israel

    Mtoto wa miezi 8 ni mmoja wa Wapalestina waliouawa na jeshi katili la Israel

    May 16, 2018 03:21

    Mtoto mwenye umri wa miezi minane tu ni mmoja wa wahanga wa ukatili wa hivi punde wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Arab League yaitisha kikao cha dharura kujadili mauaji ya umati ya Wapalestina

    Arab League yaitisha kikao cha dharura kujadili mauaji ya umati ya Wapalestina

    May 16, 2018 03:00

    Huku nchi mbalimbali za dunia zikiendelea kulaani vikali mauaji ya umati yaliyofanywa na askari wa utawala bandia wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeaitisha kikao cha dharura kujadili ukatili huo.

  • Marekani yawalaumu Wapalestina kwa kuuawa na askari wa Israel, Gaza

    Marekani yawalaumu Wapalestina kwa kuuawa na askari wa Israel, Gaza

    May 15, 2018 22:11

    Ikulu ya Marekani White House imejitokeza kuutetea hadharani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaua shahidi Wapalestina wasiopungua 54 waliokuwa wakishiriki maandamano katika Ukanda wa Gaza siku ya Jumatatu.

  • Rais wa Uturuki: Israel inaisukuma Mashariki ya Kati kwenye lindi la vita

    Rais wa Uturuki: Israel inaisukuma Mashariki ya Kati kwenye lindi la vita

    May 13, 2018 22:36

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unapanda mbegu za hofu na kulisukuma eneo la Mashariki ya Kati kwenye lindi la vita.

  • Waisraeli wajiunga na Wapalestina katika maandamano dhidi ya US

    Waisraeli wajiunga na Wapalestina katika maandamano dhidi ya US

    May 13, 2018 03:16

    Mamia ya Waisraeli wamejiunga na Wapalestina katika maandamano ya kupinga hatua ya kiuhasama ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu, kutoka Tel Aviv.

  • Iran yaiandikia barua UN kuilaani Israel kwa kuunga mkono magaidi

    Iran yaiandikia barua UN kuilaani Israel kwa kuunga mkono magaidi

    May 12, 2018 00:08

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu wa umoja huo na kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaunga mkono magaidi katika nchi za eneo hili ikiwemo Syria.

  • Velayati: Iran itachukua hatua inayofaa endapo Marekani itajiondoa katika makubaliano ya JCPOA

    Velayati: Iran itachukua hatua inayofaa endapo Marekani itajiondoa katika makubaliano ya JCPOA

    May 06, 2018 22:28

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, endapo Marekani itajiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatoa jibu mwafaka kulingana na mazingira yalivyo.

  • Ukosoaji wa rais wa Romania kwa uamuzi wa kuhamishiwa ubalozi wa nchi hiyo Quds Tukufu

    Ukosoaji wa rais wa Romania kwa uamuzi wa kuhamishiwa ubalozi wa nchi hiyo Quds Tukufu

    May 06, 2018 22:26

    Rais Klaus Iohannis wa Romania amekosoa vikali uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kuhamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv, kwenda mji wa Quds (Jerusalem) na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kosa kubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS