Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Ghadhabu ya Wapalestina kufuatia uchozezi wa Israel katika Quds Tukufu

    Ghadhabu ya Wapalestina kufuatia uchozezi wa Israel katika Quds Tukufu

    May 30, 2017 03:17

    Wapalestina wameendelea kuonyesha ghadhabu zao kufuatia kitendo cha kichochezi cha utawala haramu wa Israel katika mji wa Quds Tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.

  • Israel yafaidika na mkataba wa silaha wa Saudia, Marekani

    Israel yafaidika na mkataba wa silaha wa Saudia, Marekani

    May 29, 2017 03:16

    Gazeti moja la Kizayuni, limefichua kuwa, katika mkataba wa mabilioni ya dola wa ununuzi silaha baina ya Marekani na Saudia, mashirika ya Israel yatapata faida kubwa sana.

  • Mayahudi waandamana kuunga mkono taifa la Palestina

    Mayahudi waandamana kuunga mkono taifa la Palestina

    May 28, 2017 09:09

    Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano mjini Tel Aviv kuunga mkono kuundwa taifa huru la Palestina sambamba na kulaani miaka 50 ya utawala haramu wa Israel kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

  • Israel: Hatuhitaji baraka za Marekani kughusubu ardhi zaidi za Palestina

    Israel: Hatuhitaji baraka za Marekani kughusubu ardhi zaidi za Palestina

    May 25, 2017 09:39

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Tel Aviv haihitaji baraka wala ruhusu ya Marekani ili kuendeleza ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Saudia mnunuzi mkubwa zaidi wa silaha za Marekani, Israel mpokezi mkubwa zaidi wa misaada ya kijeshi ya Marekani

    Saudia mnunuzi mkubwa zaidi wa silaha za Marekani, Israel mpokezi mkubwa zaidi wa misaada ya kijeshi ya Marekani

    May 23, 2017 02:33

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umebainisha wasiwasi wake kuhusu Marekani kuiuzia Saudi Arabia silaha zenye kugharimu mabilioni ya dola katika hali ambayo Israel yenyewe inapokea misaada ya silaha za kisasa zaidi kutoka Marekani.

  • Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji kwa kuipatia Mamlaka ya Ndani ya Palestina motisha za kiuchumi

    Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji kwa kuipatia Mamlaka ya Ndani ya Palestina motisha za kiuchumi

    May 18, 2017 10:35

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unapanga kuipatia motisha za kiuchumi Mamlaka ya Ndani ya Palestina ili uweze kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi bila ya malalamiko na upinzani wa mamlaka hiyo.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel yawekwa katika 'orodha nyeusi' na Sweden

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel yawekwa katika 'orodha nyeusi' na Sweden

    May 17, 2017 23:14

    Sweden imeiweka Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika orodha yake nyeusi ya mtandao wa kijamii.

  • Israel: Wakati umefika wa kumuua Rais Assad wa Syria

    Israel: Wakati umefika wa kumuua Rais Assad wa Syria

    May 17, 2017 09:32

    Waziri wa Nyumba na Ujenzi wa utawala haramu wa Israel amesema wakati umefika Rais Bashar al-Assad wa Syria auawe kutokana na eti jinai anazowafanyia wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • US: Lengo la safari ya Trump Mashariki ya Kati ni dhidi ya Iran

    US: Lengo la safari ya Trump Mashariki ya Kati ni dhidi ya Iran

    May 15, 2017 03:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema lengo kuu la safari ya wiki ijayo ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika eneo la Mashariki ya Kati ni kwa ajili ya kuunda 'umoja' dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Wapalestina waadhimisha Siku ya Nakaba chini ya anga ya mgomo wa kula

    Wapalestina waadhimisha Siku ya Nakaba chini ya anga ya mgomo wa kula

    May 14, 2017 02:44

    Wapalestina kote duniani wanaadhimisha Siku ya Nakba hii leo, kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 69 tangu ulipoundwa utawala bandia na haramu wa Israel mwaka 1948.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS