-
Wafanyakazi wa Norway wasusia bidhaa za utawala wa Israel
May 13, 2017 09:05Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi Norway imetangaza kususia bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kulalamikia ukandamizaji unaofanya na utawala huo dhidi ya Wapalestina.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina bega kwa bega na Israel katika kuuhujumu Ukanda wa Gaza
May 12, 2017 22:02Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeifunga ofisi yake katika Ukanda wa Gaza na kukabidhi mamlaka ya uendeshaji wake kwa ofisi ya jumuiya hiyo iliyoko Ramallah, Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Mswada wa ubaguzi wa rangi wapasishwa katika bunge la Israel
May 11, 2017 21:57Bunge la utawala wa ubaguzi wa rangi wa Israel Knasset, limepasisha kwa haraka katika hatua ya kwanza, mswada wa kibaguzi unaojulikana kama 'Taifa la Kiyahudi.'
-
Kukiri Saudi Arabia kushirikiana na Israel katika mauaji ya watu wa Yemen
May 09, 2017 01:56Duru za habari zinadokeza kuwa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeshirikiana wazi wazi na jeshi la Saudia katika kuhujumu eneo la Ta'izz nchini Yemen jambo linaloashiria kukiri wazi wazi Saudi kuwa inahitaji msaada wa utawala huo haramu katika kuwakandamiza wanamapinduzi wa Yemen.
-
Saudia yakiri kushirikiana na Israel katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Yemen
May 08, 2017 10:51Vyombo mbalimbali vya habari sambamba na kuripoti ushiriki wa wazi wa jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika vita vya Saudia dhidi ya Yemen ikiwemo hujuma za ndege za utawala huo katika mkoa wa Taiz, vimetangaza habari ya kukiri serikali ya Riyadh kuwa inahitaji msaada wa Tel-Aviv katika vita hivyo.
-
Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel
May 07, 2017 08:52Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Kuongezeka ushirikiano wa kijeshi wa Marekani na Israel wakati wa Donald Trump
May 06, 2017 01:55Takwimu zinaonesha kuwa, ushirikiano wa kijeshi baina ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel umeongezeka katika kipindi hiki ambapo Donald Trump anatarajiwa kutembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni. Rais Donald Trump wa Marekani anatarajiwa kutembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel mwisho mwa mwezi huu wa Mei.
-
UNESCO yakosoa sera za Israel za kukalia kwa mabavu Palestina
May 03, 2017 07:10Kamati ya Utendaji ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Utamaduni na Sayansi UNESCO Jumanne ilipitisha azimio ambalo liliulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kukiuka sheria za kimataifa katika mji wa Quds (Jerusalem) na Ukanda wa Ghaza.
-
Kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu vya Israel katika kivuli cha himaya ya Marekani
May 02, 2017 08:23Ripoti kutoka Palestina zinaonyesha juu ya kuchukua wigo mpana zaidi vitendo vilivyo dhidi ya ubinadamu vinavyofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Israel yaanza tena ujenzi wa ukuta wa kibaguzi Ukingo wa Magharibi
Apr 30, 2017 03:08Utawala haramu wa Israel umeanza tena ujenzi tata wa ukuta wa kibaguzi unaotenganisha Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Beit Lahm.