Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Misri yapinga pendekezo la Israel la kutaka Gaza isimamiwe na Cairo

    Misri yapinga pendekezo la Israel la kutaka Gaza isimamiwe na Cairo

    Feb 27, 2025 07:31

    Misri imepinga pendekezo lililotolewa na kiongozi wa upinzani wa Israel, Yair Lapid kwamba Cairo, badala ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas, iendeshe na kuusimamia kwa muda Ukanda wa Gaza; na kusisitiza kuwa mipango ya aina hiyo "haikubaliki."

  • UN: Israel inakanyaga haki za binadamu Gaza, Ukingo wa Magharibi

    UN: Israel inakanyaga haki za binadamu Gaza, Ukingo wa Magharibi

    Feb 27, 2025 07:31

    Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Israel umekuwa ukipuuza usio na kifani haki za binadamu" katika Ukanda wa Gaza, na kuitaja hali ya kibinadamu katika eneo hilo lililozingirwa kuwa "janga."

  • Mashtaka dhidi ya utawala wa Biden katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu

    Mashtaka dhidi ya utawala wa Biden katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu

    Feb 26, 2025 23:06

    Taasisi ya "Demokrasia kwa ajili ya Ulimwengu wa Kiarabu Sasa" (DAWN), imefungua mashtaka dhidi ya Rais wa zamani wa Marekani, Joe Biden na mawaziri wake wawili yaani waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani, Anthony Blinken na waziri wa zamani wa ulinzi wa nchi hiyo Lloyd Austin katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ikiitaka ianzishe uchunguzi dhidi ya viongozi hao kutokana na kusaidia uhalifu wa kivita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kufichuka nia halisi ya utawala wa Kizayuni nchini Syria

    Kufichuka nia halisi ya utawala wa Kizayuni nchini Syria

    Feb 22, 2025 23:11

    Kimya na kutochukua hatua yoyote watawala wapya wa Syria vimeufanya utawala wa Kizayuni wa Israel ufikirie kuyatwaa kabisa maeneo mapya yaliyokaliwa kwa mabavu nchini Syria.

  • Wafanyakazi wa EU walalamikia Brussels kuiunga mkono Israel

    Wafanyakazi wa EU walalamikia Brussels kuiunga mkono Israel

    Feb 22, 2025 08:17

    Makumi ya wafanyakazi wa Umoja wa Ulaya wamekusanyika Brussels, mji mkuu wa Ubelgiji, kulalamikia uungaji mkono wa jumuiya hiyo kwa utawala wa Israel.

  • Matakwa ya mashirika ya haki za binadamu ya kutopatiwa Israel vipuri vya ndege za kivita za F-35

    Matakwa ya mashirika ya haki za binadamu ya kutopatiwa Israel vipuri vya ndege za kivita za F-35

    Feb 20, 2025 22:53

    Muungano wa Kimataifa wa mashirika 232 ya kutetea haki za binadamu umezitaka nchi mbalimbali zinazohusika katika uundaji za ndege za kivita aina ya F-35 kuacha kuipatia Israel vipuri vya ndege hizo.

  • Israel kuunda 'wakala wa kuwafukuza' Wapalestina Gaza

    Israel kuunda 'wakala wa kuwafukuza' Wapalestina Gaza

    Feb 18, 2025 04:00

    Wizara ya Vita ya Israel imesema ipo mbioni kuunda chombo mahsusi cha utawala huo wa Kizayuni cha kushughulikia eti "kuondoka kwa khiari" raia wa Palestina kutoka Gaza.

  • Netanyahu: Mpango wa Trump wa

    Netanyahu: Mpango wa Trump wa "kuitwaa Ghaza" ni "fursa ya kihistoria" ya kudhamini mustakabali wa Israel

    Feb 17, 2025 03:15

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ameliita pendekezo la Rais wa Marekani Donald Trump la "kuitwaa" Ghaza "fursa ya kihistoria" ya kudhamini mustakabali wa utawala huo bandia na kudai kwamba kuwaondoa Wapalestina wa Ghaza ndilo "suluhisho pekee linalowezekana."

  • Israel inaendelea kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano Lebanon

    Israel inaendelea kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano Lebanon

    Feb 16, 2025 10:30

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeshambulia kusini mwa Lebanon na kudai kuwa umemuua mmoja wa makamanda wa kikosi cha anga cha Hizbullah.

  • Iran yaonya baada ya Israel kutishia kushambulia ndege yake ya abiria

    Iran yaonya baada ya Israel kutishia kushambulia ndege yake ya abiria

    Feb 15, 2025 03:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei ameukosoa vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutishia kushambulia ndege ya abiria ya Iran iliyokuwa imebeba raia wa Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS