Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Italia

  • Italia yasema haiwezi kujiunga na 'Bodi ya Amani' ya Trump, sababu ni kukinzana na katiba yake

    Italia yasema haiwezi kujiunga na 'Bodi ya Amani' ya Trump, sababu ni kukinzana na katiba yake

    Feb 08, 2026 06:18

    Italia imesema haiwezi kujiunga na kinachoitwa "Bodi ya Amani" ya Rais wa Marekani Donald Trump kutokana na "mpaka wa kikatiba" ukiwa ni mkwamo mpya na wa karibuni zaidi kukikabili "chombo hicho cha kimataifa cha kujenga amani", alichojibunia rais wa Marekani.

  • Mradi wa Mauaji ya Kimbari wa Italia nchini Libya

    Mradi wa Mauaji ya Kimbari wa Italia nchini Libya

    Feb 07, 2026 02:37

    Karne ya ishirini Miladia haikushuhudia tu matukio ya kushangaza ya binadamu, bali pia ilibeba baadhi ya kurasa zenye giza kuu katika historia ya mwanadamu. Katika moyo wa bara la Afrika, nchini Libya, dola moja ya kikoloni kutoka Ulaya ilitekeleza mpango wa kishetani na uliopangwa kwa umakini kwa lengo la kuangamiza taifa zima.

  • Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania

    Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania

    Oct 20, 2025 10:17

    Walinzi wa Pwani ya Italia wamewaokoa wahajiri 91 na kuopoa miili ya watu wengine wawili kutoka kwenye mashua iliyokuwa hatarini kupeperushwa kwenye pwani ya Kisiwa cha Lampedusa katika Bahari ya Mediterania.

  • Chama tawala Italia kuwasilisha muswada wa kupiga marufuku uvaaji burqa na niqabu maeneo ya umma

    Chama tawala Italia kuwasilisha muswada wa kupiga marufuku uvaaji burqa na niqabu maeneo ya umma

    Oct 09, 2025 10:33

    Gazeti la Politico la nchini Italia limeripoti kuwa chama tawala nchini humo cha Brothers of Italy kimesema, kinapanga kuwasilisha mswada bungeni wa kupiga marufuku wanawake wa Kiislamu kuvaa vazi la burqa na niqabu katika maeneo ya umma, kikitaja sababu ya kufanya hivyo kuwa ni kupinga ilichokiita "utengano wa Kiislamu".

  • Ripoti: Mossad ilihusika katika kutekwa nyara na kuuawa aliyekuwa waziri mkuu wa Italia Aldo Moro

    Ripoti: Mossad ilihusika katika kutekwa nyara na kuuawa aliyekuwa waziri mkuu wa Italia Aldo Moro

    Oct 06, 2025 02:23

    Ripoti mpya ya uchunguzi iliyotolewa inaonyesha kuwa shirika la ujasusi la utawala wa kizayuni wa Israel, Mossad ilihusika katika kutekwa nyara na kuuawa Waziri Mkuu wa zamani wa Italia Aldo Moro mwaka 1978, na hivyo kudhihirisha ushawishi mkubwa iliokuwa nao Israel wakati katika uga wa siasa za Italia, ikiwa ni pamoja na kufuatia uhusiano wa Moro na makundi ya Muqawama ya Palestina.

  • Italia yaijia juu Israel kwa kushambulia kwa mabomu kanisa Gaza

    Italia yaijia juu Israel kwa kushambulia kwa mabomu kanisa Gaza

    Jul 17, 2025 15:13

    Waziri Mkuu wa Italia, Giorga Meloni jana Alkhamisi alikosoa vikali shambulio baya la Israel dhidi ya Kanisa la Kikatoliki katika Ukanda wa Gaza.

  • Ripoti: Italia haitanunua silaha za Marekani kwa ajili ya Ukraine

    Ripoti: Italia haitanunua silaha za Marekani kwa ajili ya Ukraine

    Jul 16, 2025 13:00

    Bajeti ya Italia hairuhusu kushiriki katika mpango wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kusambaza silaha za Marekani kwa Ukraine, gazeti la Italia La Stampa limeripoti, likinukuu vyanzo vya habari ambavyo havikutajwa majina.

  • Araqchi: Tunachotegemea kwa Ulaya ni kulaani mashambulizi ya Israel

    Araqchi: Tunachotegemea kwa Ulaya ni kulaani mashambulizi ya Israel

    Jun 14, 2025 02:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Serikali na wananchi wa Iran wanataraji kuiona jamii ya kimataifa hususan Umoja wa Ulaya unalaani shambulio hilo la kijinai la Israel dhidi ya nchi yao.

  • Wafanyakazi wa bandari Ufaransa, Italia wazuia kupelekwa silaha Israel

    Wafanyakazi wa bandari Ufaransa, Italia wazuia kupelekwa silaha Israel

    Jun 07, 2025 06:58

    Wafanyakazi wa bandari za Ufaransa na Italia wameendelea kufanya mgomo wao na kukataa kupakia shehena za silaha na zana za kijeshi zinazopelekwa Israel, wakisema kuwa hawatahusika katika "mauaji ya halaiki" yanayoendelea Gaza.

  • Jumatatu, Juni 2, 2025

    Jumatatu, Juni 2, 2025

    Jun 02, 2025 02:13

    Leo ni Jumatatu tarehe 06 Mfunguo Tatu Dhulhija 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe Pili Juni mwaka 2025 Milaadia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS