-
Kongamano la kimataifa la Palestina lafanyika Rome Italia
May 17, 2023 02:57Kongamano la kimataifa la Palestina katika sheria za kimataifa limefanyika katika ubalozi wa Palestina mjini Rome mji mkuu wa Italia.
-
Raia wa Italia akataa kumfanyia Netanyahu kazi ya ukalimani
Mar 10, 2023 03:43Mkalimani wa Kitaliano amekataa katakata kumfanyia kazi ya tarjumu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, na kumtaja mwanasiasa huyo kama mtu hatari.
-
Watunisia wapatwa na wasiwasi kuhusu mpango wa kusafirisha gesi wa Algeria na Italia
Jan 30, 2023 22:53Taarifa ya karibuni ya serikali ya Algeria kuhusu mpango wake kujenga bomba la pili la kusafirisha gesi ya nchi hiyo hadi Italia bila kupitia Tunisia imesababisha wasiwasi kkwa wananchi wa Tunisia.
-
Jumapili, 08 Januari, 2023
Jan 07, 2023 22:52Leo ni Jumapili tarehe 15 Mfunguo Tisa Jamaduthani 1444 Hijria sawa na tarehe 8 Januari 2023 Miladia.
-
Abdollahian: Siasa za Iran za kukomeshwa vita vya Ukraine hazibadiliki
Nov 10, 2022 04:16Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, siasa za kimsingi na zisizobadilika za Jamhuri ya Kiislamu ni kuhitimishwa vita vya Ukraine.
-
Maelfu waandamana Italia kuishinikiza Rome isiunge mkono vita vya Ukraine
Nov 06, 2022 03:48Maelfu ya wananchi wa Italia wamefanya maandamano katika mji mkuu Rome, kulalamikia hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kuunga mkono vita vinavyoendelea Ukraine.
-
Italia yatangaza kusitisha kuipelekea silaha Ukraine
Nov 03, 2022 03:27Serikali ya Italia imetangaza kuwa imesitisha kuipelekea silaha Ukraine ambazo ilikuwa ikizipeleka huko kwa kisingizio cha kupambana na Russia na kutekeleza maazimio ya Jeshi la Nchi za Magharibi NATO.
-
Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Italia, mabadiliko katika siasa za ndani na nje
Oct 24, 2022 00:30Giorgia Meloni amepewa rasmi jukumu la uwaziri mkuu wa Italia kutoka chama chenye misimamo mikali ya kulia cha Brothers of Italy. Hayo yamekuja baada ya kufanyika mazungumzo ya pande kadhaa na hatimaye Rais wa Italia amempa jukumu Meloni la kuunda serikali mpya akiwa ni Waziri Mkuu wa kwanza kabisa mwanamke katika historia ya Italia.
-
Berlusconi amlaumu Rais Zelensky kwa vita vya Ukraine
Oct 21, 2022 00:42Waziri Mkuu wa zamani wa Italia, Silvio Berlusconi amesema Rais Volodymyr Zelenskiy wa Ukraine ndiye aliyemsukuma kwenye vita Rais Vladimir Putin wa Russia.
-
Wataliano waandamana dhidi ya serikali; wataka kutatuliwa mgogoro wa nishati
Oct 16, 2022 07:14Wananchi wa Italia wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo, kulalamikia hatua ya serikali ya nchi hiyo kushindwa kutafutia ufumbuzi mgogoro wa nishati unaowakabili.