Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Italia

  • Jumapili, 08 Januari, 2023

    Jumapili, 08 Januari, 2023

    Jan 08, 2023 02:22

    Leo ni Jumapili tarehe 15 Mfunguo Tisa Jamaduthani 1444 Hijria sawa na tarehe 8 Januari 2023 Miladia.

  • Abdollahian: Siasa za Iran za kukomeshwa vita vya Ukraine hazibadiliki

    Abdollahian: Siasa za Iran za kukomeshwa vita vya Ukraine hazibadiliki

    Nov 10, 2022 07:46

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, siasa za kimsingi na zisizobadilika za Jamhuri ya Kiislamu ni kuhitimishwa vita vya Ukraine.

  • Maelfu waandamana Italia kuishinikiza Rome isiunge mkono vita vya Ukraine

    Maelfu waandamana Italia kuishinikiza Rome isiunge mkono vita vya Ukraine

    Nov 06, 2022 07:18

    Maelfu ya wananchi wa Italia wamefanya maandamano katika mji mkuu Rome, kulalamikia hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kuunga mkono vita vinavyoendelea Ukraine.

  • Italia yatangaza kusitisha kuipelekea silaha Ukraine

    Italia yatangaza kusitisha kuipelekea silaha Ukraine

    Nov 03, 2022 06:57

    Serikali ya Italia imetangaza kuwa imesitisha kuipelekea silaha Ukraine ambazo ilikuwa ikizipeleka huko kwa kisingizio cha kupambana na Russia na kutekeleza maazimio ya Jeshi la Nchi za Magharibi NATO.

  • Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Italia, mabadiliko katika siasa za ndani na nje

    Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Italia, mabadiliko katika siasa za ndani na nje

    Oct 24, 2022 04:00

    Giorgia Meloni amepewa rasmi jukumu la uwaziri mkuu wa Italia kutoka chama chenye misimamo mikali ya kulia cha Brothers of Italy. Hayo yamekuja baada ya kufanyika mazungumzo ya pande kadhaa na hatimaye Rais wa Italia amempa jukumu Meloni la kuunda serikali mpya akiwa ni Waziri Mkuu wa kwanza kabisa mwanamke katika historia ya Italia.

  • Berlusconi amlaumu Rais Zelensky kwa vita vya Ukraine

    Berlusconi amlaumu Rais Zelensky kwa vita vya Ukraine

    Oct 21, 2022 04:12

    Waziri Mkuu wa zamani wa Italia, Silvio Berlusconi amesema Rais Volodymyr Zelenskiy wa Ukraine ndiye aliyemsukuma kwenye vita Rais Vladimir Putin wa Russia.

  • Wataliano waandamana dhidi ya serikali; wataka kutatuliwa mgogoro wa nishati

    Wataliano waandamana dhidi ya serikali; wataka kutatuliwa mgogoro wa nishati

    Oct 16, 2022 10:44

    Wananchi wa Italia wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo, kulalamikia hatua ya serikali ya nchi hiyo kushindwa kutafutia ufumbuzi mgogoro wa nishati unaowakabili.

  • Alkhamisi, 02 Juni, 2022

    Alkhamisi, 02 Juni, 2022

    Jun 02, 2022 11:40

    Leo ni Alkhamisi tarehe Pili Mfunguo Pili Dhul Qaadah 1443 Hijria, sawa na tarehe Pili Juni 2022 Miladia

  • Iran yakosoa mitazamo ya upande mmoja na taathira zake hasi kwa utulivu wa eneo na usalama wa kimataifa

    Iran yakosoa mitazamo ya upande mmoja na taathira zake hasi kwa utulivu wa eneo na usalama wa kimataifa

    May 27, 2022 02:23

    Awamu ya tatu ya mazungumzo ya kisiasa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Italia ilifanyika siku ya Jumanne mjini Tehran, chini ya uenyekiti wa Ali Bagheri, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisiasa na Ettore Plato, Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia.

  • Wataliano waandamana kulaani mashambulizi dhidi ya Wapalestina al-Aqsa

    Wataliano waandamana kulaani mashambulizi dhidi ya Wapalestina al-Aqsa

    Apr 19, 2022 07:25

    Maandamano makubwa yamefanyika katika mji mkuu wa Italia, Rome ya kulaani mashambulio ya wanajeshi makatili wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Msikiti wa al-Aqsa ulioko katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS