-
Katibu Mkuu wa UN ashtushwa na madai mapya ya unyanyasaji wa kingono Jamhuri ya Afrika ya Kati
Mar 31, 2016 23:48Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema ameshtushwa na ripoti za matukio mapya ya kashfa za unyanyasaji wa kingono uliofanywa na askari wa kulinda amani wa umoja huo nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Rais mpya wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) aapishwa
Mar 31, 2016 04:29Rais mpya wa Jamhuri ya Afrika ya Kati aliapishwa rasmi jana katika sherehe zilizofanyika katika uwanja mkuu wa michezo mjini Bangui.
-
UN yaanzisha uchunguzi wa kesi za ubakaji wa askari wake CAR
Mar 29, 2016 02:28Umoja wa Mataifa umeanzisha uchunguzi wa kesi za ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia, zinazowakabili askari wa kofia ya buluu wa umoja huo ambao wanahudumu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Mtaalamu wa UN atoa indhari kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati
Mar 13, 2016 00:00Marie-Thérèse Keita-Bocoum, mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu amesema hali ya haki za binadamu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi.
-
12 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati
Mar 06, 2016 12:59Watu 12 wameuliwa na watu wenye silaha katika vijiji vya Jamhuri ya Afrika ya Kati, katika mapigano ya kwanza tangu Faustin-Archange Touadera kuidhinishwa kuwa rais wa nchi hiyo, Jumanne iliyopita.
-
Mahkama ya Katiba nchini CAR yaidhinisha ushindi wa Faustin
Mar 01, 2016 23:18Mahkama ya katiba nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imeidhinisha ushindi wa rais mpya wa nchi hiyo Faustin-Archange Touadéra.
-
Ufaransa yatuhumiwa kuwa na nafasi katika machafuko ya Jamhuri ya Afrika ya Kati
Feb 28, 2016 13:02Wanasiasa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wameituhumu Ufaransa kuwa ina nafasi kuu katika kuzusha machafuko nchini humo.
-
Radiamali ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati baada ya uchaguzi
Feb 24, 2016 07:18Uchaguzi katika nchi iliyokumbwa na machafuko ya Jamhuri ya Afrika ya Kati umemalizika huku kukiwa na hisia tofauti kuhusu uchaguzi huo.
-
Touadera apata ushindi wa mapema katika uchaguzi wa rais CAR
Feb 19, 2016 23:37Faustin Archange Touadera, Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amepata ushindi wa mapema katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili iliyopita ya Februari 14.
-
Askari wa UN waliwanajisi watoto CAR
Feb 17, 2016 03:36Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekuwa wakiwadhalilisha kijinsia watoto wanne wanaoishi katika kambi ya wakimbizi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.