Radiamali ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati baada ya uchaguzi
Feb 24, 2016 07:18 UTC
Uchaguzi katika nchi iliyokumbwa na machafuko ya Jamhuri ya Afrika ya Kati umemalizika huku kukiwa na hisia tofauti kuhusu uchaguzi huo.
Kumeripotiwa kuweko ukosefu wa usalama katika maeneo tofauti ya nchi hiyo mara baada ya kutangazwa matokeo ya mwisho ya uchaguzi huo.
Tumezungumza na mwandishi wetu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Mossi Mwasi, ili kupata maelezo zaidi.
Tags