-
Uchaguzi mkuu Ethiopia; Abiy Ahmed anatarajiwa kushinda tena kiti cha Waziri Mkuu
Jun 01, 2026 02:42Uchaguzi mkuu wa Ethiopia unatarajiwa kufanyika Jumatatu hii huku migogoro ikiendelea katika baadhi ya maeneo ya nchi, ikimaanisha kuwa watu wengi hawataweza kupiga kura.
-
Rwanda yachapisha orodha ya mwisho ya wagombea 3 wa urais na zaidi ya wagombea 500 wa ubunge
Jun 16, 2024 02:41Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda imetangtaza orodha ya mwisho ya wagombeaji wa uchaguzi wa rais na wabunge uliopangwa kufanyika mwezi ujao.
-
Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura
Oct 26, 2018 11:03Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Kinshasa na miji mingine mikuu ya nchi hiyo wakitaka kutotumika mashine za kupiga kura kwa njia ya kielektroniki, huku wakisisitiza kuwa mashine hizo huenda zikapelekea kuibiwa kura.
-
Wagombea wenye chuki na Uislamu wameongezeka sana wakati wa urais wa Trump
Oct 22, 2018 23:31Uchunguzi mpya ambao ripoti yake imetolewa hivi karibuni unaonesha kuwa, kadiri muda wa uchaguzi mdogo wa bunge la Marekani unavyokaribia ndivyo wagombea wenye chuki na Uislamu wanavyozidi kujitokeza.
-
Matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Cameroon kutangazwa leo
Oct 21, 2018 19:49Matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais uliofanyika Oktoba 7 nchini Cameroon yanatazamiwa kutolewa leo Jumatatu.
-
Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China
Oct 16, 2018 03:58Uhusiano wa Marekani na China umekumbwa na misukosuko na panda shuka mbalimbali baada ya kuingia madarakani Donald Trump huko Marekani. Washington na Beijing zinahitilafiana katika masuala mengi ya kisiasa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kiistratijia.
-
Qassemi: Iran na Afghanistan zina historia kongwe katika uhusiano wa pande mbili
Oct 15, 2018 10:42Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Afghanistan ni jirani muhimu wa Iran na kwamba, historia kongwe iliyoko katika uhusiano wa pande mbili inalazimu nchi hizo kuwa na ushirikiano zaidi katika nyuga mbalimbali.
-
Cameroon kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais
Oct 15, 2018 10:24Tume ya Uchaguzi Cameroon Elecam imesema kesho Jumanne ndiyo siku ya kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni.
-
AU yawataka Wacameroon kuwa watulivu wakisubiri matokeo ya urais
Oct 10, 2018 10:52Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amewataka wanasiasa wa Cameroon kuwa watulivu na kujizuia kutoa matamshi ambayo yanaweza kushadidisha taharuki katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.
-
Mgombea wa upinzani ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Cameroon
Oct 08, 2018 23:13Mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha Movement for the Rebirth of Cameroon (MRC), Maurice Kamto amejitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili tarehe 7 Oktoba.