-
Rwanda yachapisha orodha ya mwisho ya wagombea 3 wa urais na zaidi ya wagombea 500 wa ubunge
Jun 16, 2024 06:11Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda imetangtaza orodha ya mwisho ya wagombeaji wa uchaguzi wa rais na wabunge uliopangwa kufanyika mwezi ujao.
-
Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura
Oct 26, 2018 14:33Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Kinshasa na miji mingine mikuu ya nchi hiyo wakitaka kutotumika mashine za kupiga kura kwa njia ya kielektroniki, huku wakisisitiza kuwa mashine hizo huenda zikapelekea kuibiwa kura.
-
Wagombea wenye chuki na Uislamu wameongezeka sana wakati wa urais wa Trump
Oct 23, 2018 03:01Uchunguzi mpya ambao ripoti yake imetolewa hivi karibuni unaonesha kuwa, kadiri muda wa uchaguzi mdogo wa bunge la Marekani unavyokaribia ndivyo wagombea wenye chuki na Uislamu wanavyozidi kujitokeza.
-
Matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Cameroon kutangazwa leo
Oct 21, 2018 23:19Matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais uliofanyika Oktoba 7 nchini Cameroon yanatazamiwa kutolewa leo Jumatatu.
-
Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China
Oct 16, 2018 07:28Uhusiano wa Marekani na China umekumbwa na misukosuko na panda shuka mbalimbali baada ya kuingia madarakani Donald Trump huko Marekani. Washington na Beijing zinahitilafiana katika masuala mengi ya kisiasa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kiistratijia.
-
Qassemi: Iran na Afghanistan zina historia kongwe katika uhusiano wa pande mbili
Oct 15, 2018 14:12Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Afghanistan ni jirani muhimu wa Iran na kwamba, historia kongwe iliyoko katika uhusiano wa pande mbili inalazimu nchi hizo kuwa na ushirikiano zaidi katika nyuga mbalimbali.
-
Cameroon kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais
Oct 15, 2018 13:54Tume ya Uchaguzi Cameroon Elecam imesema kesho Jumanne ndiyo siku ya kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni.
-
AU yawataka Wacameroon kuwa watulivu wakisubiri matokeo ya urais
Oct 10, 2018 14:22Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amewataka wanasiasa wa Cameroon kuwa watulivu na kujizuia kutoa matamshi ambayo yanaweza kushadidisha taharuki katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.
-
Mgombea wa upinzani ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Cameroon
Oct 09, 2018 02:43Mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha Movement for the Rebirth of Cameroon (MRC), Maurice Kamto amejitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili tarehe 7 Oktoba.
-
Wananchi wa Cameroon wapiga kura, Rais Biya (85) awania muhula wa 7
Oct 07, 2018 07:46Wananchi wa Cameroon waliotimiza masharti ya kupiga kura mapema leo wameelekea katika masanduku ya kupigia kura katika uchaguzi mkuu wa rais, huku kinara wa chama cha PURS, Serge Espoir Matomba akikanusha taarifa kuwa amejiunga na muungano wa upinzani unaochuana na Rais Paul Biya.