-
Mahakama ya UN yatoa waranti wa kukamatwa rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
May 01, 2024 10:52Mahakama Maalumu ya Jinai (CPS) inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imesema, imetoa hati ya kukamatwa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Francois Bozize kwa tuhuma za kuhusika na uhalifu dhidi ya binadamu unaodaiwa kufanywa na jeshi wakati wa uongozi wake.
-
Zaidi ya watu 50 wamepoteza maisha baada ya boti kupinduka Jamhuri ya Afrika ya Kati
Apr 21, 2024 07:57Takriban watu 58 waliokuwa wakienda mazishini wameaga dunia baada ya boti yao kupinduka majini katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui. Haya yalielezwa jana na mkuu wa ulinzi wa raia.
-
Jamhuri ya Afrika ya Kati yapinga azma ya Marekani ya kutuma silaha nchini humo
Dec 24, 2023 07:10Jamhuri ya Afrika ya Kati imelaani hatua ya Marekani ya kutaka kupeleka zana za kijeshi nchini humo.
-
Ukatili wa kingono CAR; UN kuwatimua askari 60 wa Tanzania
Jun 10, 2023 11:22Umoja wa Mataifa umesema utawafukuza makumi ya askari wa Tanzania, ambao ni sehemu ya Kikosi cha Kulinda Amani cha moja huo nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA) kwa kutuhumiwa kufanya unyanyasaji wa kingono.
-
Mahakama ya Jamhuri ya Afrika ya Kati yawahukumu kifungo wanamgambo 3 kwa jinai dhidi ya binadamu
Nov 02, 2022 02:47Mahakama Maalumu inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imewapata na hatia wanamgambo watatu kwa kutenda jinai dhidi ya binadamu na kuwahukumu vifungo vya jela kuanzia miaka 20 hadi vifungo vya maisha.
-
Mahakama Jamhuri ya Afrika ya Kati yaanza kusikiliza kesi ya kwanza ya jinai za kivita
May 17, 2022 07:36Mahakama Inayoendesha Kesi za Uhalifu wa Kivita nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imeanza kusikiliza kesi ya kwanza ya watu wanaotuhumiwa kuhusika na jinai za kivita katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo. Kikao cha kwanza cha Mahakama Kuu ya Uhalifu Afrika ya Kati kilifanyika kusikiliza kesi ya watuhumiwa wa uhalifu wa kivita katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
-
Mazungumzo ya amani ya CAR yamalizika pasina na matunda yoyote
Mar 29, 2022 01:30Mazungumzo ya amani katika nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati iliyoathiriwa na vita vya ndani vinavyoendelea tangu mwaka 2013 yamemalizika pasina na kuchukuliwa na maamuzi muhimu.
-
Kadhaa wauawa katika shambulio la waasi Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Mar 25, 2022 14:24Watu wasiopungua watano wameuawa baada ya genge moja la waasi kushambulia kambi ya jeshi huko mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Shambulio jipya la waasi laua watu 33 Jamhuri ya Afrika ya Kati
Dec 02, 2021 08:12Watu wapatao 33, wakiwemo wanajeshi wawili, wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa kwa wakati mmoja na watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa waasi wa kundi liitwalo 3R katika vijiji viwili vilivyoko kaskazini magharibi mwa mkoa wa Ouham-Pendé, nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Wakimbizi 15,000 kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamiminika Kongo DR
Nov 05, 2021 07:47Zaidi ya raia 15,000 wa Jamhuri ya Afrika ya Kati waliokimbia mapigano kati ya jeshi na waasi wamevuka mpaka na kuingia eneo la Bosobolo, Ubangi Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndani ya muda wa siku 17.