Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Upinzani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati: Hatutashiriki uchaguzi mkuu wa Desemba 28

    Upinzani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati: Hatutashiriki uchaguzi mkuu wa Desemba 28

    Oct 09, 2025 10:37

    Upinzani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati umetangaza kuwa utasusia uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwezi Disemba ambapo Rais Faustin-Archange Touadera atawania tena urais kwa muhula wa tatu.

  • Uganda kutoa mafunzo ya kijeshi ya miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Uganda kutoa mafunzo ya kijeshi ya miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Sep 06, 2025 03:04

    Jeshi la Uganda UPDF litatoa mafunzo ya kijeshi ya muda wa miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika Kati katika hatua ya kuisadia nchi hiyo kujenga upya jeshi lake baada ya miaka ya mingi ya kuvurugika kwa amani na utulivu nchini humo.

  • Jamhuri ya Afrika ya Kati kufanya uchaguzi mkuu Disemba 28

    Jamhuri ya Afrika ya Kati kufanya uchaguzi mkuu Disemba 28

    Aug 20, 2025 06:27

    Jamhuri ya Afrika ya Kati itaendesha uchaguzi mkuu Disemba 28 mwaka huu baada ya kuakhrishwa mara kadhaa. Hii ni kwa mujibu wa taarifa ya serikali ya jana Jumanne.

  • AU yaeleza kuridhishwa na usitishaji mapigano, kuvunjwa makundi yenye silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati

    AU yaeleza kuridhishwa na usitishaji mapigano, kuvunjwa makundi yenye silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jul 19, 2025 03:59

    Umoja wa Afrika, AU umeeleza kuridhishwa na usitishaji mapigano unaotekelezwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na kuvunjwa kwa makundi mawili ya wabeba silaha nchini humo, na unetoa wito kwa makundi mengine pia kukabidhi silaha zao.

  • Mahakama ya UN yatoa waranti wa kukamatwa rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mahakama ya UN yatoa waranti wa kukamatwa rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 01, 2024 10:52

    Mahakama Maalumu ya Jinai (CPS) inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imesema, imetoa hati ya kukamatwa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Francois Bozize kwa tuhuma za kuhusika na uhalifu dhidi ya binadamu unaodaiwa kufanywa na jeshi wakati wa uongozi wake.

  • Zaidi ya watu 50 wamepoteza maisha baada ya boti kupinduka Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Zaidi ya watu 50 wamepoteza maisha baada ya boti kupinduka Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 21, 2024 07:57

    Takriban watu 58 waliokuwa wakienda mazishini wameaga dunia baada ya boti yao kupinduka majini katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui. Haya yalielezwa jana na mkuu wa ulinzi wa raia.

  • Jamhuri ya Afrika ya Kati yapinga azma ya Marekani ya kutuma silaha nchini humo

    Jamhuri ya Afrika ya Kati yapinga azma ya Marekani ya kutuma silaha nchini humo

    Dec 24, 2023 07:10

    Jamhuri ya Afrika ya Kati imelaani hatua ya Marekani ya kutaka kupeleka zana za kijeshi nchini humo.

  • Ukatili wa kingono CAR; UN kuwatimua askari 60 wa Tanzania

    Ukatili wa kingono CAR; UN kuwatimua askari 60 wa Tanzania

    Jun 10, 2023 11:22

    Umoja wa Mataifa umesema utawafukuza makumi ya askari wa Tanzania, ambao ni sehemu ya Kikosi cha Kulinda Amani cha moja huo nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA) kwa kutuhumiwa kufanya unyanyasaji wa kingono.

  • Mahakama ya Jamhuri ya Afrika ya Kati yawahukumu kifungo wanamgambo 3 kwa jinai dhidi ya binadamu

    Mahakama ya Jamhuri ya Afrika ya Kati yawahukumu kifungo wanamgambo 3 kwa jinai dhidi ya binadamu

    Nov 02, 2022 02:47

    Mahakama Maalumu inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imewapata na hatia wanamgambo watatu kwa kutenda jinai dhidi ya binadamu na kuwahukumu vifungo vya jela kuanzia miaka 20 hadi vifungo vya maisha.

  •  Mahakama Jamhuri ya Afrika ya Kati yaanza kusikiliza kesi ya kwanza ya jinai za kivita

    Mahakama Jamhuri ya Afrika ya Kati yaanza kusikiliza kesi ya kwanza ya jinai za kivita

    May 17, 2022 07:36

    Mahakama Inayoendesha Kesi za Uhalifu wa Kivita nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imeanza kusikiliza kesi ya kwanza ya watu wanaotuhumiwa kuhusika na jinai za kivita katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo. Kikao cha kwanza cha Mahakama Kuu ya Uhalifu Afrika ya Kati kilifanyika kusikiliza kesi ya watuhumiwa wa uhalifu wa kivita katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS