-
Wakimbizi wa ndani 60 wakiwemo watoto 33 wafa njaa DRC
Sep 23, 2023 04:13Wakimbizi wa ndani zaidi ya 60 wakiwemo watoto wadogo 33 wamepoteza maisha kutokana na njaa katika mkoa wa Kwilu, katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Netanyahu: DRC itahamishia ubalozi wake Quds kutoka Tel Aviv
Sep 23, 2023 00:35Waziri wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo karibuni itauhamishia ubalozi wake mjini Quds (Jerusalem) kutoka Tel Aviv.
-
Kikosi cha EAC nchini Kongo DR chaongezwa muda wa kuhudumu
Sep 06, 2023 07:04Jumuiya ya Afrika Mashariki imekiongeza muda wa kuhudumu kikosi cha kikanda cha jumuiya hiyo (EACRF), chenye jukumu la kukomesha mapigano na kuzima uasi huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Human Rights Watch yalaani mauaji ya jeshi dhidi ya makumi ya raia Congo DR
Sep 01, 2023 07:55Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limelikosoa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kuua makumi ya raia waliokuwa wakiandamana dhidi ya vikosi vya Umoja wa Mataifa.
-
12 wauawa katika vita vya kugombania ardhi Kongo DR
Aug 24, 2023 03:54Watu wasiopungua 12 wameuawa katika mapigano baina ya jamii mbili zinazozozania kipande cha ardhi huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Jeshi: Waasi 500 wa ADF tangu kuanza 'Operesheni ya Shujaa'
Aug 19, 2023 00:23Mamia ya waasi wa kundi linalojiita Allied Democratic Forces (ADF) wameuawa tangu vikosi vya Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vianzishe Operesheni ya Shujaa dhidi ya genge hilo mashariki ya Kongo.
-
Waasi wa ADF wameua watu 55 DRC ndani ya wiki 2
Aug 15, 2023 04:10Waasi wa kundi linalojiita Allied Democratic Forces (ADF) wamewaua makumi ya wanavijiji huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita.
-
Ijumaa, Juni 30, 2023
Jun 29, 2023 23:58Leo ni Ijumaa tarehe 11 Mfunguo Tatu Dhulhija 1444 Hijria, sawa na tarehe 30 Juni 2023 Milaadia.
-
Afisa wa UN: Watu 600 wameuawa DRC ndani ya miezi 3
Jun 27, 2023 03:26Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa barani Afrika amesema kwa akali watu 600 wameuawa katika mashambulizi ya magenge yanayobeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
-
Raia karibu 3,000 wameuawa mashariki mwa DRC 2023
Jun 23, 2023 06:24Watu karibu 3,000 wameuawa huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa.