Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Waasi wa CODECO waua mateka 17 mashariki mwa Kongo

    Waasi wa CODECO waua mateka 17 mashariki mwa Kongo

    Mar 27, 2023 04:33

    Wanamgambo wenye sifa mbaya huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana waliwaua watu 17 ambao waliwateka nyara siku moja kabla ya kutekeleza mauaji hayo.

  • Uganda kutuma askari 1,000 nchini DRC mwezi huu

    Uganda kutuma askari 1,000 nchini DRC mwezi huu

    Mar 24, 2023 03:52

    Uganda imetangaza kuwa itapeleka wanajeshi elfu moja huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi huu, kama sehemu ya kikosi cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

  • Angola kutuma wanajeshi wake DRC kukabiliana na waasi wa M23

    Angola kutuma wanajeshi wake DRC kukabiliana na waasi wa M23

    Mar 12, 2023 04:01

    Angola imesema itatuma kikosi cha wanajeshi wake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, siku chache baada ya makubaliano ya kusitisha vita baina ya pande hasimu nchini humo kugonga mwamba.

  • Vijana waandamana dhidi ya safari ya Macron mjini Kinshasa

    Vijana waandamana dhidi ya safari ya Macron mjini Kinshasa

    Mar 02, 2023 00:53

    Makumi ya vijana katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa jana waliandamana wakipinga ziara ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa nchini humo.

  • Waasi 8 wa ADF wauawa, 9 wakamatwa mashariki mwa DRC

    Waasi 8 wa ADF wauawa, 9 wakamatwa mashariki mwa DRC

    Mar 01, 2023 03:37

    Kwa akali wanamgambo wanane wa kundi la ADF wameuawa huku wengine tisa wakitiwa mbaroni katika operesheni ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa nchi.

  • UN yasimamisha ndege zake kuruka Kivu Kaskazini, DRC

    UN yasimamisha ndege zake kuruka Kivu Kaskazini, DRC

    Feb 27, 2023 07:09

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) kimetangaza habari ya kusimamisha ndege zake kuruka katika anga ya mkoa wa Kivu Kaskazini, baada ya helikopta yake kushambuliwa katika eneo hilo Ijumaa iliyopita.

  • Upinzani DRC: Usajili wa wapigakura umefanyika kwa maslahi ya muungano tawala

    Upinzani DRC: Usajili wa wapigakura umefanyika kwa maslahi ya muungano tawala

    Feb 21, 2023 04:18

    Vyama vya upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimekosoa mchakato wa kusajili mapema wapiga kura nchini humo kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Disemba mwaka huu.

  • UN: Zaidi ya watu 20 wauawa katika shambulio la wanamgambo kaskazini mashariki mwa Kongo

    UN: Zaidi ya watu 20 wauawa katika shambulio la wanamgambo kaskazini mashariki mwa Kongo

    Feb 14, 2023 08:31

    Raia zaidi ya 20 waliuliwa juzi Jumapili katika mashambulizi ya wanamgambo wenye silaha katika jimbo tajiri kwa madini ya dhahabu la Ituri kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Hii ni kwa mujibu wa taarifa za awali zilizokusanywa Jumatatu na Umoja wa Mataifa na mashirika ya kiraia.

  • Askari 7 wa DRC wahukumiwa kifo kwa 'woga' mkabala wa M23

    Askari 7 wa DRC wahukumiwa kifo kwa 'woga' mkabala wa M23

    Feb 12, 2023 23:04

    Mahakama moja huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewahukumu kifo wanajeshi saba wa nchi hiyo, baada ya kupatikana na hatia ya kukimbia medani ya vita na kufanya mauaji.

  • Askari wa Kulinda amani wa UN auawa nchini DRC, Guterres alaani hujuma

    Askari wa Kulinda amani wa UN auawa nchini DRC, Guterres alaani hujuma

    Feb 06, 2023 04:11

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani vikali shambulio lililofanywa Jumapili huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC dhidi ya helikopta ya ujumbe wa umoja huo wa kulinda amani nchini DRC, MONUSCO, shambulio ambalo limesababisha kifo cha mlinda amani mmoja wa UN kutoka Afrika Kusini na mwingine kujeruhiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS