-
Waasi wa CODECO waua mateka 17 mashariki mwa Kongo
Mar 27, 2023 04:33Wanamgambo wenye sifa mbaya huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana waliwaua watu 17 ambao waliwateka nyara siku moja kabla ya kutekeleza mauaji hayo.
-
Uganda kutuma askari 1,000 nchini DRC mwezi huu
Mar 24, 2023 03:52Uganda imetangaza kuwa itapeleka wanajeshi elfu moja huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi huu, kama sehemu ya kikosi cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
-
Angola kutuma wanajeshi wake DRC kukabiliana na waasi wa M23
Mar 12, 2023 04:01Angola imesema itatuma kikosi cha wanajeshi wake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, siku chache baada ya makubaliano ya kusitisha vita baina ya pande hasimu nchini humo kugonga mwamba.
-
Vijana waandamana dhidi ya safari ya Macron mjini Kinshasa
Mar 02, 2023 00:53Makumi ya vijana katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa jana waliandamana wakipinga ziara ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa nchini humo.
-
Waasi 8 wa ADF wauawa, 9 wakamatwa mashariki mwa DRC
Mar 01, 2023 03:37Kwa akali wanamgambo wanane wa kundi la ADF wameuawa huku wengine tisa wakitiwa mbaroni katika operesheni ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa nchi.
-
UN yasimamisha ndege zake kuruka Kivu Kaskazini, DRC
Feb 27, 2023 07:09Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) kimetangaza habari ya kusimamisha ndege zake kuruka katika anga ya mkoa wa Kivu Kaskazini, baada ya helikopta yake kushambuliwa katika eneo hilo Ijumaa iliyopita.
-
Upinzani DRC: Usajili wa wapigakura umefanyika kwa maslahi ya muungano tawala
Feb 21, 2023 04:18Vyama vya upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimekosoa mchakato wa kusajili mapema wapiga kura nchini humo kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Disemba mwaka huu.
-
UN: Zaidi ya watu 20 wauawa katika shambulio la wanamgambo kaskazini mashariki mwa Kongo
Feb 14, 2023 08:31Raia zaidi ya 20 waliuliwa juzi Jumapili katika mashambulizi ya wanamgambo wenye silaha katika jimbo tajiri kwa madini ya dhahabu la Ituri kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Hii ni kwa mujibu wa taarifa za awali zilizokusanywa Jumatatu na Umoja wa Mataifa na mashirika ya kiraia.
-
Askari 7 wa DRC wahukumiwa kifo kwa 'woga' mkabala wa M23
Feb 12, 2023 23:04Mahakama moja huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewahukumu kifo wanajeshi saba wa nchi hiyo, baada ya kupatikana na hatia ya kukimbia medani ya vita na kufanya mauaji.
-
Askari wa Kulinda amani wa UN auawa nchini DRC, Guterres alaani hujuma
Feb 06, 2023 04:11Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani vikali shambulio lililofanywa Jumapili huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC dhidi ya helikopta ya ujumbe wa umoja huo wa kulinda amani nchini DRC, MONUSCO, shambulio ambalo limesababisha kifo cha mlinda amani mmoja wa UN kutoka Afrika Kusini na mwingine kujeruhiwa.