-
Viongozi wa Afrika Mashariki wako Burundi kujadili machafuko ya Congo DR
Feb 04, 2023 09:53Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki wamewasili nchini Burundi leo Jumamosi kwa mkutano wa kanda kujadili mzozo unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokfrasia ya Congo.
-
Watu 15 wauawa katika shambulizi la ADF mashariki mwa DRC
Jan 30, 2023 08:16Kwa akali watu 15 wameuawa katika wimbi jipya la mashambulizi yaliyofanywa na genge la wanamgambo wa ADF mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Rwanda yashambulia ndege ya kivita ya DRC kwa 'kukiuka' anga yake
Jan 25, 2023 08:22Serikali ya Kigali imesema imechukua 'hatua za kujilinda' baada ya ndege ya kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kukiuka anga ya Rwanda.
-
Magaidi wa ADF waua watu 24 mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jan 24, 2023 03:48Shambulio la silaha lililofanywa na kundi la kigaidi la ADF limeua watu 24 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Umoja wa Mataifa walaani mlipuko wa bomu DRC, wataka waliohusika wawajibishwe
Jan 16, 2023 07:17Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulio lililotokea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wakati wa ibada ya Jumapili katika kanisa moja huko Kasindi, jimboni Kivu Kaskazini na kusisitiza haja ya kuwawajibisha wahusika wa shambulio hilo.
-
Genge la kigaidi la Daesh/ISIS latangaza kuhusika na mripuko wa jana DRC
Jan 16, 2023 03:36Genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) limetangaza kuhusika na shambulio la bomu lililotokea jana Jumapili wenye kanisa moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Usajili wa mapema wa wapiga kura nchini DRC wakumbwa na uhaba wa vifaa
Dec 26, 2022 23:02Uandikishaji wa mapema wa wapiga kura nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeanza kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Disemba mwakani huku uhaba wa vifaa na vitendea kazi ukiripotiwa.
-
Waasi wa M23 wateka nyara raia 52 mashariki mwa DRC
Dec 25, 2022 07:08Waasi wa M23 wameripotiwa kuwateka nyara raia 52 katika kijiji cha Rusekera kilichoko katika jimbo la Kivu Kaskazini huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Waasi wa M23 huko DRC kuondoka mji wa kistratajia wa Kibumba
Dec 24, 2022 02:31Kundi la waasi wa M23 limeahidi kuondoka katika mji wa kistratajia wa Kibumba karibu na jiji la Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Wapiganaji 15 wa ADF wauawa na jeshi la Uganda mpakani na DRC
Dec 14, 2022 07:57Askari wa Jeshi la Uganda wamefanikiwa kuwaangamiza wanamgambo 15 wa kundi la waasi la ADF katika mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.