-
Watu 20 wauawa katika shambulio la magaidi wa Daesh (ISIS) huko Kongo
Apr 09, 2023 04:46Viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametangaza kuuliwa watu 20 katika shambulio lililofanywa na magaidi wa kundi la Daesh (ISIS) nchini humo.
-
Maporomoko ya udongo yauwa watu wasiopungua 21 mashariki mwa Kongo
Apr 04, 2023 03:37Watu wasiopungua 21 wamepoteza maisha na wengine kadhaa hawajulikani walipo hadi sasa siku mbili baada ya maporomoko ya udongo kutokea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Makumi ya wanaharakati wa kisiasa wauawa Kongo DR
Mar 30, 2023 22:40Zaidi ya wanaharakati 20 wa kisiasa wameuawa na watu wasiojulikana katika jiji la Lubumbashi, kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Waasi wa CODECO waua mateka 17 mashariki mwa Kongo
Mar 27, 2023 04:33Wanamgambo wenye sifa mbaya huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana waliwaua watu 17 ambao waliwateka nyara siku moja kabla ya kutekeleza mauaji hayo.
-
Uganda kutuma askari 1,000 nchini DRC mwezi huu
Mar 24, 2023 03:52Uganda imetangaza kuwa itapeleka wanajeshi elfu moja huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi huu, kama sehemu ya kikosi cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
-
Angola kutuma wanajeshi wake DRC kukabiliana na waasi wa M23
Mar 12, 2023 04:01Angola imesema itatuma kikosi cha wanajeshi wake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, siku chache baada ya makubaliano ya kusitisha vita baina ya pande hasimu nchini humo kugonga mwamba.
-
Vijana waandamana dhidi ya safari ya Macron mjini Kinshasa
Mar 02, 2023 00:53Makumi ya vijana katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa jana waliandamana wakipinga ziara ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa nchini humo.
-
Waasi 8 wa ADF wauawa, 9 wakamatwa mashariki mwa DRC
Mar 01, 2023 03:37Kwa akali wanamgambo wanane wa kundi la ADF wameuawa huku wengine tisa wakitiwa mbaroni katika operesheni ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa nchi.
-
UN yasimamisha ndege zake kuruka Kivu Kaskazini, DRC
Feb 27, 2023 07:09Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) kimetangaza habari ya kusimamisha ndege zake kuruka katika anga ya mkoa wa Kivu Kaskazini, baada ya helikopta yake kushambuliwa katika eneo hilo Ijumaa iliyopita.
-
Upinzani DRC: Usajili wa wapigakura umefanyika kwa maslahi ya muungano tawala
Feb 21, 2023 04:18Vyama vya upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimekosoa mchakato wa kusajili mapema wapiga kura nchini humo kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Disemba mwaka huu.