Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Viongozi wa Afrika Mashariki wako Burundi kujadili machafuko ya Congo DR

    Viongozi wa Afrika Mashariki wako Burundi kujadili machafuko ya Congo DR

    Feb 04, 2023 09:53

    Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki wamewasili nchini Burundi leo Jumamosi kwa mkutano wa kanda kujadili mzozo unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokfrasia ya Congo.

  • Watu 15 wauawa katika shambulizi la ADF mashariki mwa DRC

    Watu 15 wauawa katika shambulizi la ADF mashariki mwa DRC

    Jan 30, 2023 08:16

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika wimbi jipya la mashambulizi yaliyofanywa na genge la wanamgambo wa ADF mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Rwanda yashambulia ndege ya kivita ya DRC kwa 'kukiuka' anga yake

    Rwanda yashambulia ndege ya kivita ya DRC kwa 'kukiuka' anga yake

    Jan 25, 2023 08:22

    Serikali ya Kigali imesema imechukua 'hatua za kujilinda' baada ya ndege ya kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kukiuka anga ya Rwanda.

  • Magaidi wa ADF waua watu 24 mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Magaidi wa ADF waua watu 24 mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jan 24, 2023 03:48

    Shambulio la silaha lililofanywa na kundi la kigaidi la ADF limeua watu 24 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Umoja wa Mataifa walaani mlipuko wa bomu DRC, wataka waliohusika wawajibishwe

    Umoja wa Mataifa walaani mlipuko wa bomu DRC, wataka waliohusika wawajibishwe

    Jan 16, 2023 07:17

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulio lililotokea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wakati wa ibada ya Jumapili katika kanisa moja huko Kasindi, jimboni Kivu Kaskazini na kusisitiza haja ya kuwawajibisha wahusika wa shambulio hilo.

  • Genge la kigaidi la Daesh/ISIS latangaza kuhusika na mripuko wa jana DRC

    Genge la kigaidi la Daesh/ISIS latangaza kuhusika na mripuko wa jana DRC

    Jan 16, 2023 03:36

    Genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) limetangaza kuhusika na shambulio la bomu lililotokea jana Jumapili wenye kanisa moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Usajili wa mapema wa wapiga kura nchini DRC wakumbwa na uhaba wa vifaa

    Usajili wa mapema wa wapiga kura nchini DRC wakumbwa na uhaba wa vifaa

    Dec 26, 2022 23:02

    Uandikishaji wa mapema wa wapiga kura nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeanza kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Disemba mwakani huku uhaba wa vifaa na vitendea kazi ukiripotiwa.

  • Waasi wa M23 wateka nyara raia 52 mashariki mwa DRC

    Waasi wa M23 wateka nyara raia 52 mashariki mwa DRC

    Dec 25, 2022 07:08

    Waasi wa M23 wameripotiwa kuwateka nyara raia 52 katika kijiji cha Rusekera kilichoko katika jimbo la Kivu Kaskazini huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Waasi wa M23 huko DRC kuondoka mji wa kistratajia wa Kibumba

    Waasi wa M23 huko DRC kuondoka mji wa kistratajia wa Kibumba

    Dec 24, 2022 02:31

    Kundi la waasi wa M23 limeahidi kuondoka katika mji wa kistratajia wa Kibumba karibu na jiji la Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wapiganaji 15 wa ADF wauawa na jeshi la Uganda mpakani na DRC

    Wapiganaji 15 wa ADF wauawa na jeshi la Uganda mpakani na DRC

    Dec 14, 2022 07:57

    Askari wa Jeshi la Uganda wamefanikiwa kuwaangamiza wanamgambo 15 wa kundi la waasi la ADF katika mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS