Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • DRC: Kwa akali watu 120 wameaga dunia katika janga la mafuriko Kinshasa

    DRC: Kwa akali watu 120 wameaga dunia katika janga la mafuriko Kinshasa

    Dec 14, 2022 00:02

    Kwa akali watu 120 wamefariki dunia huko Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia janga la mafuriko makubwa yaliyoukumba mji huo hapo jana.

  • Wakimbizi wa DRC nchini Rwanda wakosoa kimya cha jamii ya kimataifa

    Wakimbizi wa DRC nchini Rwanda wakosoa kimya cha jamii ya kimataifa

    Dec 13, 2022 03:46

    Maelfu ya wakimbizi raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wameikosoa jamii ya kimataifa kwa kufumbia macho mauaji yanayoendelea kufanywa na magenge ya waasi mashariki mwa DRC.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu mauaji ya raia Congo DR

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu mauaji ya raia Congo DR

    Dec 10, 2022 04:43

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema mauaji ya raia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanatia wasiwasi.

  • UN: Kwa muda wa siku mbili, waasi wa M23 wameua zaidi ya raia 130 Kongo DR

    UN: Kwa muda wa siku mbili, waasi wa M23 wameua zaidi ya raia 130 Kongo DR

    Dec 08, 2022 09:00

    Uchunguzi uliofanywa na ofisi ya uwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umegundua kuwa takriban raia 131 waliuawa katika mashambulio yaliyofanywa Novemba 29 na 30 na kundi la waasi la M23.

  • Viongozi wa kidini wakutana mashariki mwa Kongo kujadili hali ya mambo

    Viongozi wa kidini wakutana mashariki mwa Kongo kujadili hali ya mambo

    Dec 04, 2022 08:13

    Viongozi wa kidini wamekutana katika mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia machafuko yaliyosababisha vifo vya watu 50 mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Kongo lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuuwa raia 50

    Jeshi la Kongo lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuuwa raia 50

    Dec 02, 2022 07:35

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limelituhumu kundi la waasi la M23 na waitifaki wake kwamba wawaua raia 50 katika mji wa Kishishe mashariki mwa nchi hiyo.

  • Waasi 40 wa Burundi wauawa mashariki mwa Kongo DR

    Waasi 40 wa Burundi wauawa mashariki mwa Kongo DR

    Nov 28, 2022 03:46

    Makumi ya waasi raia wa Burundi wameuawa katika operesheni ya pamoja ya wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Burundi mashariki mwa DRC.

  • Uganda kutuma askari 1,000 DRC kuwa sehemu ya kikosi cha kieneo

    Uganda kutuma askari 1,000 DRC kuwa sehemu ya kikosi cha kieneo

    Nov 22, 2022 00:01

    Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) limesema litatuma mamia ya askari wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na kikosi cha kieneo kinachopambana na magenge ya waasi na wabeba silaha mashariki mwa DRC.

  • Watu 20 wauawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mapigano ya kikabilla

    Watu 20 wauawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mapigano ya kikabilla

    Nov 10, 2022 00:44

    Kwa akali watu 20 wameuawa wiki hii katika shambulio lililotokea magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Wakongo wafanya mandamano makubwa dhidi ya waasi wa M23 mjini Bukavu

    Wakongo wafanya mandamano makubwa dhidi ya waasi wa M23 mjini Bukavu

    Nov 04, 2022 07:55

    Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wenye hasira wamechoma moto bendera ya Umoja wa Ulaya katika mji wa Bukavu mashariki mwa nchi hiyo, huku mamia ya wakiandamana dhidi ya waasi wa M23. Wananchi hao wameeleza kutoridhishwa kwao na uingiliaji wa mataifa makubwa kama vile Marekani, Uingereza na Ufaransa katika masuala ya ndani ya nchi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS