Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Rais wa Kenya atangaza vita dhidi ya waasi wa M23 wa DRC

    Rais wa Kenya atangaza vita dhidi ya waasi wa M23 wa DRC

    Nov 02, 2022 23:00

    Rais William Ruto wa Kenya ametangaza habari ya kutumwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanajeshi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki, kwenda kukabiliana na magenge ya wanamgambo likiwemo kundi la waasi la M23.

  • Wananchi wenye hasira wa DRC wachoma moto magari ya UN

    Wananchi wenye hasira wa DRC wachoma moto magari ya UN

    Nov 02, 2022 09:40

    Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokuwa na ghadhabu wamechoma moto magari ya askari walinda amani wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa unaojulikana kwa jina la MONUSCO, wakisisitiza kuwa kikosi hicho cha UN kimeshindwa kukabiliana na harakati na mashambulizi ya kundi la waasi la M23.

  • Maelfu ya watu washiriki maandamano dhidi ya Rwanda mjini Goma Kongo DR

    Maelfu ya watu washiriki maandamano dhidi ya Rwanda mjini Goma Kongo DR

    Nov 01, 2022 03:37

    Maelfu ya watu wameandamana katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) dhidi Rwanda inayodaiwa kuwaunga mkono waasi wa M23, huku uhusiano baina ya nchi hizo mbili ukizidi kuharibika baada ya Kinshasa kumuita nyumbani kaimu balozi wake wa muda aliyeko Kigali.

  • Wanamgambo wa ADF washambulia vituo vya afya na kuua watu 7 DRC

    Wanamgambo wa ADF washambulia vituo vya afya na kuua watu 7 DRC

    Oct 21, 2022 07:58

    Watu wasiopungua saba wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha katika eneo moja la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Ajali ya boti yaua watu 27 Kongo DR, 32 wametoweka

    Ajali ya boti yaua watu 27 Kongo DR, 32 wametoweka

    Oct 13, 2022 07:26

    Kwa akali watu 27 wameaga dunia baada ya boti iliyokuwa imewabeba kuzama katika Mto Congo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wanamgambo wa ADF waua watu 10 karibu na Uganda

    Wanamgambo wa ADF waua watu 10 karibu na Uganda

    Oct 05, 2022 23:53

    Kwa akali watu 10 wameuawa katika shambulizi jipya la waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, karibu na mpaka wa Uganda.

  • DRC yatangaza kumalizika mripuko wa sasa wa Ebola

    DRC yatangaza kumalizika mripuko wa sasa wa Ebola

    Sep 28, 2022 04:39

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kutokomezwa ugonjwa wa Ebola mashariki mwa nchi.

  • Viwavi jeshi vyavamia mashamba ya mahindi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Viwavi jeshi vyavamia mashamba ya mahindi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Sep 27, 2022 01:07

    Wakulima wa zao la mahindi wanalia katika eneo la Nyiragongo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya viwavi jeshi kuvamia mashamba yao.

  • Hali ya mchafukoge yashuhudiwa Congo DR kutokana na uhaba wa mafuta

    Hali ya mchafukoge yashuhudiwa Congo DR kutokana na uhaba wa mafuta

    Sep 09, 2022 05:45

    Wizara ya Nishati ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo imetangaza kuwa, uhaba wa mafuta umezusha hali ya mchafukoge na ukosefu wa nidhamu katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa.

  • Mripuko wa kipindupindu waua makumi ya watu Kongo DR

    Mripuko wa kipindupindu waua makumi ya watu Kongo DR

    Sep 01, 2022 03:04

    Mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu umepelekea watu wasiopungua 48 kupoteza maisha katika mkoa wa Sankuru, katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS