Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Uganda kutuma askari 1,000 DRC kuwa sehemu ya kikosi cha kieneo

    Uganda kutuma askari 1,000 DRC kuwa sehemu ya kikosi cha kieneo

    Nov 22, 2022 00:01

    Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) limesema litatuma mamia ya askari wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga na kikosi cha kieneo kinachopambana na magenge ya waasi na wabeba silaha mashariki mwa DRC.

  • Watu 20 wauawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mapigano ya kikabilla

    Watu 20 wauawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mapigano ya kikabilla

    Nov 10, 2022 00:44

    Kwa akali watu 20 wameuawa wiki hii katika shambulio lililotokea magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Wakongo wafanya mandamano makubwa dhidi ya waasi wa M23 mjini Bukavu

    Wakongo wafanya mandamano makubwa dhidi ya waasi wa M23 mjini Bukavu

    Nov 04, 2022 07:55

    Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wenye hasira wamechoma moto bendera ya Umoja wa Ulaya katika mji wa Bukavu mashariki mwa nchi hiyo, huku mamia ya wakiandamana dhidi ya waasi wa M23. Wananchi hao wameeleza kutoridhishwa kwao na uingiliaji wa mataifa makubwa kama vile Marekani, Uingereza na Ufaransa katika masuala ya ndani ya nchi yao.

  • Rais wa Kenya atangaza vita dhidi ya waasi wa M23 wa DRC

    Rais wa Kenya atangaza vita dhidi ya waasi wa M23 wa DRC

    Nov 02, 2022 23:00

    Rais William Ruto wa Kenya ametangaza habari ya kutumwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanajeshi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki, kwenda kukabiliana na magenge ya wanamgambo likiwemo kundi la waasi la M23.

  • Wananchi wenye hasira wa DRC wachoma moto magari ya UN

    Wananchi wenye hasira wa DRC wachoma moto magari ya UN

    Nov 02, 2022 09:40

    Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokuwa na ghadhabu wamechoma moto magari ya askari walinda amani wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa unaojulikana kwa jina la MONUSCO, wakisisitiza kuwa kikosi hicho cha UN kimeshindwa kukabiliana na harakati na mashambulizi ya kundi la waasi la M23.

  • Maelfu ya watu washiriki maandamano dhidi ya Rwanda mjini Goma Kongo DR

    Maelfu ya watu washiriki maandamano dhidi ya Rwanda mjini Goma Kongo DR

    Nov 01, 2022 03:37

    Maelfu ya watu wameandamana katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) dhidi Rwanda inayodaiwa kuwaunga mkono waasi wa M23, huku uhusiano baina ya nchi hizo mbili ukizidi kuharibika baada ya Kinshasa kumuita nyumbani kaimu balozi wake wa muda aliyeko Kigali.

  • Wanamgambo wa ADF washambulia vituo vya afya na kuua watu 7 DRC

    Wanamgambo wa ADF washambulia vituo vya afya na kuua watu 7 DRC

    Oct 21, 2022 07:58

    Watu wasiopungua saba wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha katika eneo moja la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Ajali ya boti yaua watu 27 Kongo DR, 32 wametoweka

    Ajali ya boti yaua watu 27 Kongo DR, 32 wametoweka

    Oct 13, 2022 07:26

    Kwa akali watu 27 wameaga dunia baada ya boti iliyokuwa imewabeba kuzama katika Mto Congo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wanamgambo wa ADF waua watu 10 karibu na Uganda

    Wanamgambo wa ADF waua watu 10 karibu na Uganda

    Oct 05, 2022 23:53

    Kwa akali watu 10 wameuawa katika shambulizi jipya la waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, karibu na mpaka wa Uganda.

  • DRC yatangaza kumalizika mripuko wa sasa wa Ebola

    DRC yatangaza kumalizika mripuko wa sasa wa Ebola

    Sep 28, 2022 04:39

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kutokomezwa ugonjwa wa Ebola mashariki mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS