Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Magaidi wa ADF waua wanavijiji 40 mashariki ya DRC

    Magaidi wa ADF waua wanavijiji 40 mashariki ya DRC

    Aug 31, 2022 02:57

    Raia wasiopungua 40 wameuawa katika wimbi la mashambulzi yaliyofanywa na kundi moja la kigaidi mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • DRC yafanya kampeni ya chanjo baada ya Ebola kuripotiwa Beni

    DRC yafanya kampeni ya chanjo baada ya Ebola kuripotiwa Beni

    Aug 25, 2022 07:34

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Alkhamisi imezindua kampeni ya kutoa chanjo katika mji Beni, mashariki mwa nchi, baada ya kesi ya virusi hivyo kuthibitishwa katika mji huo.

  • Burundi yatuma wanajeshi DRC kufuatia uamuzi wa EAC

    Burundi yatuma wanajeshi DRC kufuatia uamuzi wa EAC

    Aug 17, 2022 07:43

    Burundi imekuwa nchi ya kwanza kutuma wanajeshi wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kufuatia uamuzi wa karibuni hivi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wa kutuma kikosi cha pamoja cha kieneo katika nchi hiyo ili kwenda kupambana na magenge ya waasi na wanamgambo.

  • Watu 8 wauawa, wafungwa 800 watoroka jela DRC

    Watu 8 wauawa, wafungwa 800 watoroka jela DRC

    Aug 11, 2022 03:13

    Watu wanane wakiwemo askari polisi wawili na raia mmoja wameuawa katika shambulio la kigaidi la wapiganaji wa ADF kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Magaidi wavamia vijiji na kuua watu 20 mashariki ya DRC

    Magaidi wavamia vijiji na kuua watu 20 mashariki ya DRC

    Aug 08, 2022 02:50

    Makumi ya watu wameuawa katika mashambulio yaliyofanywa na genge moja la kigaidi huko mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Upinzani DRC wakosoa vikali mikakati ya Rais Tshisekedi ya kukabiliana na Rwanda

    Upinzani DRC wakosoa vikali mikakati ya Rais Tshisekedi ya kukabiliana na Rwanda

    Aug 06, 2022 22:29

    Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamemlaumu vikali Rais Felix Tshisekedi na mikakati yake ya kuamiliana na Rwanda kufuatia ripoti iliyotolewa hivi karibuni na wataalamu wa Umoja wa Mataifa inayoeleza kwamba serikali ya Kigali imekuwa ikilisaidia na kuliunga mkono kundi la waasi wa M23 linalopigana na serikali ya Kinshasa.

  • UN yasikitishwa na hatua ya DRC kumtimua msemaji wa MONUSCO

    UN yasikitishwa na hatua ya DRC kumtimua msemaji wa MONUSCO

    Aug 04, 2022 20:44

    Umoja wa Mataifa umekosoa vikali hatua ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ya kumfukuza nchini humo msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa MONUSCO.

  • Waliouawa katika maandamano dhidi ya walinda amani wa UN Kongo wafikia 15

    Waliouawa katika maandamano dhidi ya walinda amani wa UN Kongo wafikia 15

    Jul 27, 2022 07:30

    Idadi ya watu waliouawa katika maandamano ya Jumanne hii kupinga uwepo wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa (MONUSCO) huko mashariki mwa Kongo DR imeongezeka na kufikia 15.

  • Waandamanaji DRC wavamia ofisi za UN, wataka kuondoka askari wa MONUSCO

    Waandamanaji DRC wavamia ofisi za UN, wataka kuondoka askari wa MONUSCO

    Jul 25, 2022 23:05

    Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameshambulia makao makuu ya kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO katika mji wa Goma, makao makuu ya mkoa uliogubikwa na machafuko wa Kivu Kaskazini ambao unapakana na Rwanda na Uganda.

  • UN yalaani wimbi la hujuma dhidi ya raia mashariki mwa Kongo DR

    UN yalaani wimbi la hujuma dhidi ya raia mashariki mwa Kongo DR

    Jul 14, 2022 21:59

    Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amelaani wimbi la mashambulio yanayofanywa na wanamgambo wa Allied Democratic Forces (ADF) dhidi ya raia katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS