Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • DRC yawa mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

    DRC yawa mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

    Jul 12, 2022 23:05

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sasa ni mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

  • Genge la ADF laendeleza wimbi la umwagaji damu DRC

    Genge la ADF laendeleza wimbi la umwagaji damu DRC

    Jul 11, 2022 06:52

    Watoto wanne ni miongoni mwa watu watano waliouawa katika shambulizi jipya la waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • ADF yashambulia kliniki na kuua watu 13 mashariki ya DRC

    ADF yashambulia kliniki na kuua watu 13 mashariki ya DRC

    Jul 09, 2022 03:07

    Kwa akali watu 13 wameuawa katika shambulizi jipya la waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Waasi wa M23: Makubaliano ya DRC na Rwanda hayatuhusu

    Waasi wa M23: Makubaliano ya DRC na Rwanda hayatuhusu

    Jul 08, 2022 05:34

    Kundi la waasi wa M23 linaloendesha harakati zake mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limesema halitaheshimu wala kufungamana na makubaliano ya usitishaji vita yaliyoafikiwa Jumatano baina ya viongozi wa DRC na Rwanda.

  • DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza mivutano kwa sababu ya waasi wa M23

    DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza mivutano kwa sababu ya waasi wa M23

    Jul 07, 2022 06:55

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC na Rwanda zimekubaliana kutekeleza "mchakato wa kupunguza mvutano" baina yao kufuatia mazungumzo ya siku moja yaliyofanywa na marais wa nchi hizo mbili kwa upatanishi wa rais wa Angola.

  • Mjumbe wa UN Kongo alitahadharisha Baraza la Usalama kuhusu hali ya usalama Kongo

    Mjumbe wa UN Kongo alitahadharisha Baraza la Usalama kuhusu hali ya usalama Kongo

    Jun 30, 2022 09:02

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Bintou Keita amelitahadharisha Baraza la Usalama la umoja huo kuhusu machafuko ambayo yanaweza kuibuka mashariki mwa nchi hiyo ambako makundi ya wanamgambo wenye silaha yanaongezeka kila siku.

  • Alkhamisi, 30 Juni, mwaka 2022

    Alkhamisi, 30 Juni, mwaka 2022

    Jun 29, 2022 21:46

    Leo ni Alkhamisi tarehe 30 Dhulqaada 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 30 Juni mwaka 2022.

  • Vita vimewatenganisha mamia ya watoto na familia zao DRC

    Vita vimewatenganisha mamia ya watoto na familia zao DRC

    Jun 26, 2022 06:48

    Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Uganda limesema mamia ya watoto wamelazimika kutengana na wazazi na jamaa zao kutokana na mapigano huko mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wakazi wa mashariki ya DRC wakataa kikosi cha EAC kupelekwa eneo hilo

    Wakazi wa mashariki ya DRC wakataa kikosi cha EAC kupelekwa eneo hilo

    Jun 23, 2022 07:51

    Baadhi ya wakazi wa eneo la mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamelikataa pendekezo la kupelekwa katika eneo hilo askari wa kulinda amani kutoka nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki.

  • Wakongo wanasubiri kupokea jino la shujaa wa uhuru, Patrice Lumumba

    Wakongo wanasubiri kupokea jino la shujaa wa uhuru, Patrice Lumumba

    Jun 22, 2022 07:34

    Wakazi wa mji alikozaliwa shujaa wa uhuru wa Kongo, Patrice Lumumba, huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanasubiri kurejeshwa jino la kinara huyo wa uhuru wa nchi yao ambalo ndio mabaki pekee ya mwili wake yaliyosalia baada ya kuuliwa na wakoloni wa Kibelgiji wakishirikiana na shirika la ujasusi la Marekani CIA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS