-
Waasi 27 wa ADF wauawa katika operesheni ya askari wa DRC
Mar 26, 2022 09:08Askari wa Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (FARDC) wamefanikiwa kuwaangamiza makumi ya wanamgamo wa kundi la ADF kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Watu 27 wauawa katika shambulio la waasi wa ADF nchini DRC
Mar 13, 2022 04:24Watu wasiopungua 27 wameuawa huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika shambulio jipya la wanamgambo wa Uganda wa ADF.
-
Watu 60 waaga dunia katika ajali ya treni Kongo DR
Mar 12, 2022 23:55Kwa akali watu 60 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya treni iliyotokea katika mkoa wa Lualaba, kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Treni hiyo ilikuwa ikitokea mji wa Mueneditu ikielekea Lubumbashi.
-
Watu 20 wauawa baada ya boti kuteketea mtoni Kongo DR
Feb 28, 2022 04:02Kwa akali watu 20 wamepoteza maisha baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuteketea kwa moto katika bandari moja iliyoko viungani mwa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.
-
UN yashtushwa na ongezeko la mashambulizi dhidi ya wakimbizi wa ndani Kongo DR
Feb 21, 2022 03:51Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR na washirika wake wameeleza kushtushwa na ripoti za mashambulizi manane makubwa yaliyotokea katika siku 10 za mwanzo wa mwezi huu katika jimbo la Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu 15 wauawa katika shambulio la wabeba silaha DRC
Feb 15, 2022 23:11Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulio la kundi moja la wabeba silaha katika mkoa wa Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watanzania 3 wakamatwa DRC wakituhumiwa kuwa wanachama wa ADF
Feb 08, 2022 04:16Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuwatia mbaroni raia watatu wa Tanzania, kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la wanamgambo wa ADF.
-
Watu 60 wauawa katika shambulio la wabeba silaha DRC
Feb 02, 2022 22:58Kwa akali watu 60 wameuawa katika shambulio la kundi moja la wabeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Mahakama DRC yawahukumu kifo watu 51 kwa mauaji ya wataalamu wa UN
Jan 30, 2022 04:43Mahakama ya kijeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewahukumu kifo watu 51 kwa kupatikana na hatia ya kuhusika na mauaji ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa yaliyojiri katika mkoa wa Kasai nchini humo mwaka 2017.
-
Askari 20 wa DRC wauawa katika mashambulio ya waasi wa M23
Jan 27, 2022 00:07Askari zaidi ya 20 wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameuawa katika mashambulio mapya ya kundi la waasi la M23 mashariki mwa nchi.