Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Watu 12 wauawa katika hujuma za wanamgambo wa ADF nchini DRC

    Watu 12 wauawa katika hujuma za wanamgambo wa ADF nchini DRC

    Jan 26, 2022 08:37

    Watu wasiopungua 12 wameuawa katika mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kufuatia mashambulio ya waasi wa Uganda wa ADF.

  • Wakazi wa Beni DRC waandamana wakitaka kuondolewa mzingiro

    Wakazi wa Beni DRC waandamana wakitaka kuondolewa mzingiro

    Jan 25, 2022 04:23

    Mtu mmoja ameuawa huku wengine 30 wakikamatwa na maafisa usalama katika maandamano ya wakazi wa mji wa Beni wanaoshinikiza kuondolewa 'hali ya mzingiro' katika majimbo ya kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yaliyokumbwa na machafuko na mauaji ya mara kwa mara ya magenge ya waasi.

  • DRC yawakamata wanaotuhumiwa kumuua balozi wa Italia

    DRC yawakamata wanaotuhumiwa kumuua balozi wa Italia

    Jan 20, 2022 00:54

    Vyombo vya usalama vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo vimewatia nguvuni watu wawili wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya aliyekuwa balozi wa Italia nchini humo.

  • Maandamano kwa ajili ya kuachiliwa huru mfungwa wa kisiasa wa serikali ya Congo DRC

    Maandamano kwa ajili ya kuachiliwa huru mfungwa wa kisiasa wa serikali ya Congo DRC

    Jan 19, 2022 08:25

    Maandamano yalifanyika jana Jumanne huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa ajili ya kushinikiza kuachiliwa huru mfungwa mashuhuri wa kisiasa wa serikali ya Kinshasa ambapo makumi ya watu walikeruhiwa katika maandamano hayo.

  • Naibu Spika wa Bunge la DRC ajiuzulu kwa 'kudhalilishwa'

    Naibu Spika wa Bunge la DRC ajiuzulu kwa 'kudhalilishwa'

    Jan 15, 2022 08:19

    Naibu Rais wa Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo kutokana na kile alichokitaja kuwa udhalilishaji na ukandamizaji.

  • Wanyarwanda wapatao 100 wakimbilia Kongo DR kukwepa chanjo ya Covid-19

    Wanyarwanda wapatao 100 wakimbilia Kongo DR kukwepa chanjo ya Covid-19

    Jan 13, 2022 00:42

    Raia wa Rwanda wapatao 100 wamevuka mpaka na kuingia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa kile wanachosema, wanakimbia nchi yao kwa sababu ya kushurutishwa kupiga chanjo, ili kupambana na janga la Covid-19.

  • Wanajeshi wa Burundi 'waonekana' mashariki mwa Kongo DR

    Wanajeshi wa Burundi 'waonekana' mashariki mwa Kongo DR

    Jan 05, 2022 23:20

    Wanajeshi wa Burundi wameripotiwa kuingia katika ardhi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • DRC yaangamiza ugonjwa wa meningitis Tshopo

    DRC yaangamiza ugonjwa wa meningitis Tshopo

    Dec 25, 2021 05:12

    Hatimaye Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC imetangaza kuwa mlipuko wa ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo au meningitis katika jimbo la Tshopo kaskazini-mashariki mwa nchi hiyo, umetokomezwa.

  • UN yaiongezea MONUSCO muda wa kuhudumu nchini Kongo DR

    UN yaiongezea MONUSCO muda wa kuhudumu nchini Kongo DR

    Dec 21, 2021 23:13

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeuongezea muda wa mwaka mmoja Ujumbe wake wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO na kuwataka walinda amani wa ujumbe huo kuelekeza nguvu zao Kaskazini-Mashariki mwa nchi, huku likisisitizia kufanyika operesheni za pamoja na vikosi vya nchi hiyo, FARDC.

  • Wakazi wa Goma wapinga kupelekwa polisi wa Rwanda katika mji huo

    Wakazi wa Goma wapinga kupelekwa polisi wa Rwanda katika mji huo

    Dec 20, 2021 23:11

    Mamia ya wakazi wa mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano kupinga kupelekwa askari polisi wa Rwanda katika mji huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS