Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yasababisha maafa Kenya

    Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yasababisha maafa Kenya

    Apr 21, 2020 03:37

    Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya Kenya.

  • SAUTI, Huku Mkoa wa Kivu Kusini DRC ukiendesha vita dhidi ya virusi vya Corona, wakumbwa na maafa makubwa yanayosababishwa na mvua kali

    SAUTI, Huku Mkoa wa Kivu Kusini DRC ukiendesha vita dhidi ya virusi vya Corona, wakumbwa na maafa makubwa yanayosababishwa na mvua kali

    Apr 20, 2020 11:54

    Uongozi wa mkoa wa Kivu Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, umeendelea kuopoa maiti kutoka katika vifusi vya majengo na ndani ya maji ya mito ya mkoa huo, kufuatia mvua kali zilizonyesha siku ya Ijumaa na Jumamosi zilizopita.

  • Mafuriko yaua watu 25 mashariki mwa Kongo DR

    Mafuriko yaua watu 25 mashariki mwa Kongo DR

    Apr 19, 2020 03:25

    Kwa akali watu 25 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kesi nyingine mpya ya Ebola yaripotiwa DRC kabla ya siku chache za kutangazwa kumalizika kwake

    Kesi nyingine mpya ya Ebola yaripotiwa DRC kabla ya siku chache za kutangazwa kumalizika kwake

    Apr 11, 2020 02:24

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza habari ya kuthibitishwa kesi nyingine moja ya ugonjwa wa Ebola huko Jamhhuri ya Kidemokrasia ya Congo zikiwa zimesalia siku chache tu kabla ya kutangazwa rasmi kumalizika kabisa ugonjwa huo nchini humo.

  • Corona yaua DRC na Mauritius, Algeria yafuta maandamano

    Corona yaua DRC na Mauritius, Algeria yafuta maandamano

    Mar 21, 2020 22:07

    Mgonjwa wa corona ameaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hicho kikiwa ni kifo cha kwanza kilichosababishwa na ugonjwa huo nchini humo, huku kesi za maambukizi ya kirusi hicho barani Afrika zikiendelea kuongezeka.

  • Mtenda jinai za kivita DRC, Lubanga, aachiliwa huru

    Mtenda jinai za kivita DRC, Lubanga, aachiliwa huru

    Mar 16, 2020 22:11

    Aliyekuwa kinara wa waasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Thomas Lubanga ambaye alikuwa mtu wa kwanza kukamatwa kufungwa jela na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ameachiliwa huru baada ya kumaliza kifungo chake cha miaka 14.

  • Kesi ya kwanza ya Corona yaripotiwa DRC huku virusi hivyo vikiua Morocco

    Kesi ya kwanza ya Corona yaripotiwa DRC huku virusi hivyo vikiua Morocco

    Mar 11, 2020 03:42

    Kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Corona (Covid-19) imeripotiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia, huku virusi hivyo hatarishi vikiendelea kusambaa katika maeneo mbali mbali duniani.

  • Watu 20 wauawa katika shambulizi dhidi ya kambi ya jeshi la Uganda

    Watu 20 wauawa katika shambulizi dhidi ya kambi ya jeshi la Uganda

    Mar 11, 2020 00:26

    Kwa akali watu 20 wameuawa katika shambulizi la wanamgambo waliobeba silaha dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini magharibi mwa Uganda, mpakani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Umoja wa Mataifa wakaribisha kusainiwa makubaliano ya amani Kongo DR

    Umoja wa Mataifa wakaribisha kusainiwa makubaliano ya amani Kongo DR

    Mar 01, 2020 04:30

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepongeza hatua ya kusainiwa makubaliano ya amani baina ya makundi ya waasi na serikali ya DRC.

  • SAUTI, Nzige wavamia mkoa wa Ituri Kongo DR, wakazi wake washikwa na butwaa kwa uharibifu

    SAUTI, Nzige wavamia mkoa wa Ituri Kongo DR, wakazi wake washikwa na butwaa kwa uharibifu

    Feb 27, 2020 12:18

    Wakazi wa mkoa wa Ituri, kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamepatwa na hali ya wasi wasi mkubwa kufuatia kuvamiwa na kundi kubwa la nzige ambao wanaonekana kushambulia kila mmea wa eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS