-
Kesi ya tatu ya Ebola yathibitishwa DRC huku watu 200 wakifuatiliwa
Feb 13, 2021 05:16Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kesi ya tatu ya ugonjwa wa Ebola katika mji wa Butembo jimboni Kivu Kaskazini, eneo ambalo lilikuwa kitovu cha mlipuko wa 10 wa ugonjwa huo uliotangazwa kumalizika mwezi Juni mwaka jana.
-
Waziri Mkuu wa Kongo DR atangaza kujiuzulu na serikali yake
Jan 30, 2021 04:25Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Sylvestre Ilunga Ilunkamba ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo Ijumaa hii, siku moja baada ya Bunge la nchi hiyo kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.
-
Katibu Mkuu wa UN alaani vikali mauaji dhidi ya raia nchini DRC
Jan 07, 2021 08:34Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesisitiza kusitishwa uhasama na makundi yote yenye silaha kuweka silaha hizo chini na kujiunga katika mchakato wa amani, baada ya raia zaidi ya 20 kuuawa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ( DRC).
-
Wanamgambo wa ADF waua raia wengine 22 Kongo DR
Jan 06, 2021 23:07Watu wasiopungua 22 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika mkoa wa Kivu Kaskazini huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kongo DR yatangaza masharti mapya ya kudhibiti msambao wa corona
Dec 17, 2020 01:10Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza maagizo mapya kadhaa ya kudhibiti kuenea kwa ugonjwa wa Covid-19, huku idadi ya kesi za maambukizo ya virusi vya corona ikiongezeka.
-
Bunge DRC lapiga kura ya kumtimua spika aliyekuwa akimuunga mkono Kabila
Dec 11, 2020 03:42Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Jeanine Mabunda ametimuliwa katika nafasi hiyo.
-
Katibu Mkuu wa UN awatolea mwito viongozi Kongo DR wamalize tofauti zao kwa njia ya mazungumzo
Dec 10, 2020 00:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani matukio ya ghasia yaliyofanyika katika siku mbili zilizopita ndani na nje ya jengo la bunge kwenye mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC.
-
Rais Tshisekedi wa DRC avunja muungano na Kabila
Dec 07, 2020 04:31Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) amevunja muungano ambao umekuwa ukitawala nchi hiyo kwa miezi 16.
-
Kongo DR yatangaza kumalizika janga la Ebola nchini humo
Nov 18, 2020 08:28Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kudhibitiwa mlipuko wa 11 wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, ambao umesababisha vifo vya watu 55 tangu mwezi Juni mwaka huu hadi sasa.
-
ADF yaua watu wasiopungua 19 Mashariki mwa Congo DR
Oct 30, 2020 04:50Kundi moja la kutetea haki za binadamu limetangaza kuwa watu wasiopungua 19 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.