Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • SAUTI, Wakazi wa Kinshasa waandamana kuliunga mkono jeshi la Kongo DR, huku wakilitaka liache kuwatesa raia

    SAUTI, Wakazi wa Kinshasa waandamana kuliunga mkono jeshi la Kongo DR, huku wakilitaka liache kuwatesa raia

    Feb 23, 2020 12:26

    Wakazi wa mji wa Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamefanya maandamano makubwa ya kuliunga mkono jeshi la nchi hiyo katika juhudi zake za kukabiliana na wanamgambo wa kigeni na wale wa ndani wanaotekeleza jinai ndani ya ardhi ya taifa hilo.

  • Wanamgambo wa ADF waua raia wengine 15 Kongo DR

    Wanamgambo wa ADF waua raia wengine 15 Kongo DR

    Feb 19, 2020 04:39

    Watu wasiopungua 15 wameuawa huku wengine zaidi ya 10 wakitekwa nyara katika shambulio linalodaiwa kutekelezwa na wanamgambo wa Uganda wa ADF huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wanamgambo waua watu 62 mashariki mwa DRC

    Wanamgambo waua watu 62 mashariki mwa DRC

    Feb 01, 2020 23:13

    Watu wenye silaha wameripotiwa kuua watu wasiopungua 62 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mlolongo wa mashambulizi yaliyolikumba eneo hilo.

  • 30 wauawa Kongo DR katika shambulizi la wanamgambo wa ADF

    30 wauawa Kongo DR katika shambulizi la wanamgambo wa ADF

    Jan 30, 2020 23:12

    Kwa akali watu 30 wameuawa katika shambulizi la wanamgambo wa ADF huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • HRW: Karibu watu 200 wameuawa mashariki mwa Kongo DR

    HRW: Karibu watu 200 wameuawa mashariki mwa Kongo DR

    Jan 28, 2020 08:32

    Karibu raia 200 wameuawa katika mikoa miwili ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika makabiliano baina ya maafisa usalama na magenge ya wanamgambo likiwemo kundi la waasi la ADF la Uganda ndani ya siku 31 za mwezi uliopita wa Disemba 2019.

  • Ripoti ya UN: Mauaji ya kikabila Congo DR ni jinai dhidi ya binadamu na huenda ni mauaji ya kimbari

    Ripoti ya UN: Mauaji ya kikabila Congo DR ni jinai dhidi ya binadamu na huenda ni mauaji ya kimbari

    Jan 11, 2020 23:09

    Ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa imesema kuwa mauaji, ubakaji na vitendo vingine vya kikatili vilivyofanywa na makundi hasimu ya kikaumu huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yumkini vikatambuliwa kuwa ni jinai dhidi ya binadamu au hata mauaji ya kimbari.

  • WHO: Ugonjwa wa surua uliua watu 6000 nchini DRC, 2019

    WHO: Ugonjwa wa surua uliua watu 6000 nchini DRC, 2019

    Jan 08, 2020 04:27

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, watu 6,000 walipoteza maisha kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa surua (measles) nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mwaka uliomalizika 2019.

  • Mapigano yasababisha mamia ya raia wa Kongo DR wakimbilie Uganda

    Mapigano yasababisha mamia ya raia wa Kongo DR wakimbilie Uganda

    Jan 02, 2020 10:41

    Mamia ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchini Uganda ndani ya mwezi mmoja uliopita kutokana na kushtadi mapigano ya kikabila nchini kwao.

  • ADF yafanya shambulizi jingine na kuua watu 23 Kongo DR

    ADF yafanya shambulizi jingine na kuua watu 23 Kongo DR

    Dec 31, 2019 03:59

    Watu wasiopungua 23 wameuawa katika kijiji kimoja kilichoko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia mashambulio ya kundi la waasi la ADF la Uganda.

  • Watu zaidi ya 20 wapoteza maisha katika ajali ya boti DRC

    Watu zaidi ya 20 wapoteza maisha katika ajali ya boti DRC

    Dec 29, 2019 09:42

    Watu wasiopungua 20 wamepoteza maisha kufuatia ajali ya boti huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika Mto Kasai.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS