Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Waziri wa zamani wa DRC ataka Rwanda ivamiwe na kugeuzwa mkoa ili mashariki mwa DRC kuwe salama + Sauti

    Waziri wa zamani wa DRC ataka Rwanda ivamiwe na kugeuzwa mkoa ili mashariki mwa DRC kuwe salama + Sauti

    Dec 25, 2019 07:14

    Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Adolphe Muzito amesema kuwa, njia pekee ya kumaliza uasi mashariki mwa nchi hiyo ni kuivamia nchi jirani ya Rwanda na kuigeuza kuwa mkoa wa DRC. Mossi Mwasi na maelezo zaidi.

  • Mashinikizo ya wananchi yailazimisha serikali DRC kufuta sherehe za kukabidhiwa madaraka Tshisekedi + Sauti

    Mashinikizo ya wananchi yailazimisha serikali DRC kufuta sherehe za kukabidhiwa madaraka Tshisekedi + Sauti

    Dec 23, 2019 06:29

    Serikali ya jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imelazimika kufutilia mbali sherehe za kupokezana madaraka kwa njia ya amani baina ya rais mstaafu wa nchi hiyo Joseph Kabila na rais wa hivi sasa Felix Tshisekedi. Hii in baada ya wananchi na asasi za kiraia kulalamikia gharama kubwa za hafla hizo zilizotazamiwa kufanyika tarehe 24 Januari mwakani. Mwandishi wetu Mossi mwazi na maelezo zaidi.

  • Jeshi la DRC laikabidhi Rwanda waasi 71 wa Kihutu

    Jeshi la DRC laikabidhi Rwanda waasi 71 wa Kihutu

    Dec 22, 2019 10:37

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeikabidhi Rwanda mamia ya Wanyarwanda wanaohusishwa na kundi moja la waasi la Rwanda linaloendesha harakati zake mashariki mwa DRC.

  • Machafuko yawafanya Wakongomani karibu laki 7 kuhama makazi yao

    Machafuko yawafanya Wakongomani karibu laki 7 kuhama makazi yao

    Dec 19, 2019 21:38

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limesema karibu watu laki saba katika maeneo ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamelazimika kuhama makazi yao na kuwa wakimbizi wa ndani kutokana na kushtadi ghasia na mapigano.

  • Watu 22 wauawa katika shambulio la kigaidi la waasi wa ADF mashariki wa DRC

    Watu 22 wauawa katika shambulio la kigaidi la waasi wa ADF mashariki wa DRC

    Dec 16, 2019 23:39

    Watu wasiopungua 22 wameuawa katika mji wa Beni wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya kudi la waasi la ADF la Uganda.

  • Watu elfu 5 wafariki dunia kwa Typhoid Kongo DR

    Watu elfu 5 wafariki dunia kwa Typhoid Kongo DR

    Dec 06, 2019 04:01

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza habari ya kufariki dunia watu elfu tano kutokana na homa ya matumbo (Typhoid) huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Jeshi la Kongo DR lasema limeua makumi ya wanamgambo wa ADF

    Jeshi la Kongo DR lasema limeua makumi ya wanamgambo wa ADF

    Dec 04, 2019 03:50

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuwauwa wanamgambo zaidi ya 80 wa ADF Nalu mjini Beni, mashariki mwa nchi, katika operesheni dhidi ya makundi ya wapiganaji waliojizatiti kwa silaha.

  • Wasiwasi wa UNCHR kuhusu kuenea machafuko mashariki mwa DRC

    Wasiwasi wa UNCHR kuhusu kuenea machafuko mashariki mwa DRC

    Nov 30, 2019 04:14

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limesema lina wasiwasi mkubwa kuhusu maisha ya raia wakiwemo wakimbizi wa ndani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ambako machafuko yanazidi kushika kasi.

  • Mafuriko yaua watu karibu 40 Kongo DR

    Mafuriko yaua watu karibu 40 Kongo DR

    Nov 26, 2019 22:12

    Kwa akali watu 39 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.

  • WHO yawahamisha karibu wafanyakazi 50 wa timu ya kupambana na Ebola huko Kongo kutokana na ukosefu wa usalama

    WHO yawahamisha karibu wafanyakazi 50 wa timu ya kupambana na Ebola huko Kongo kutokana na ukosefu wa usalama

    Nov 26, 2019 09:30

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limewahamisha wafanyakazi 49 miongoni mwa wale 120 waliokuwa katika timu ya kupambana na Ebola katika mji wa Beni nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na kuzorota kwa hali ya usalama. Hayo yamesemwa leo na msemaji wa WHO.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS