Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Idadi ya waliofariki dunia kwenye ajali ya ndege DRC yaongezeka + Sauti

    Idadi ya waliofariki dunia kwenye ajali ya ndege DRC yaongezeka + Sauti

    Nov 25, 2019 12:06

    Idadi ya watu waliofariki dunia baada ya kuanguka ndege ndogo ya abiria katika mji wa Goma wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka na kufikia watu 29 wakiwemo watu tisa wa familia moja. Watu wengine 19 wamejeruhiwa. Ndege hiyo iliyokuwa inaelekea Beni kutokea Goma ilianguka juu ya nyumba ya watu na kuua watu waliokuwemo ndani ya nyumba hiyo. Mossi Mwassi na maelezo zaidi

  • SAUTI, Wakazi wa Beni Kongo DR waandamana kuwataka askari wa Monusco kufanya kazi iliyowapeleka

    SAUTI, Wakazi wa Beni Kongo DR waandamana kuwataka askari wa Monusco kufanya kazi iliyowapeleka

    Nov 23, 2019 12:52

    Wakazi wa Beni Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano makubwa wakilishinikiza jeshi la kusimamia amani la Umoja wa Mataifa MONUSCO kutekeleza wajibu wake wa kuwalinda raia wa nchi hiyo.

  • Wakazi wa Beni waandamana wakitaka askari wa MONUSCO waondoke DRC

    Wakazi wa Beni waandamana wakitaka askari wa MONUSCO waondoke DRC

    Nov 22, 2019 23:11

    Wakazi wa mji wa Beni wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia wamefanya maandamano ya kushinikiza kuondoka nchini humo wanajeshi wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO.

  • WHO: Mapigano yanakwamisha mapambano dhidi ya Ebola Kongo DR

    WHO: Mapigano yanakwamisha mapambano dhidi ya Ebola Kongo DR

    Nov 22, 2019 10:01

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa, vita na mapigano huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yanakwamisha jitihada za kutokomeza ugonjwa hatari wa Ebola ambao umeua maelfu ya watu kufikia sasa.

  • Idadi ya waliouawa katika shambulizi la ADF nchini DRC yafika watu 15

    Idadi ya waliouawa katika shambulizi la ADF nchini DRC yafika watu 15

    Nov 17, 2019 04:12

    Idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la kuvizia la kundi la wanamgambo wa ADF usiku wa kuamkia jana Jumamosi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka na kufikia watu 15.

  • Wanamgambo wa ADF washambulia kijiji na kuua watu kadhaa Kongo DR

    Wanamgambo wa ADF washambulia kijiji na kuua watu kadhaa Kongo DR

    Nov 16, 2019 03:04

    Genge moja la wanamgambo limeshambulia kijiji kimoja na kuua watu sita wa familia moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Congo yaanza kutoa chanjo mpya ya Ebola katika mji wa Goma

    Congo yaanza kutoa chanjo mpya ya Ebola katika mji wa Goma

    Nov 14, 2019 21:55

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mpaka (MSF) imetangaza kuwa maafisa wa afya wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameanza kutoa chanjo mpya ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola iliyotengenezwa na kampuni ya Johnson & Johnson.

  • Jeshi la Congo lamuua kiongozi wa tawi la waasi wa FDLR kutoka Rwanda

    Jeshi la Congo lamuua kiongozi wa tawi la waasi wa FDLR kutoka Rwanda

    Nov 11, 2019 00:10

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuwa limemuua kiongozi wa tawi lililojitenga la kundi la waasi wa Kihutu la Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR) mashariki mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 25 wa ADF waangamizwa na jeshi la DRC mjini Beni

    Magaidi 25 wa ADF waangamizwa na jeshi la DRC mjini Beni

    Nov 10, 2019 00:02

    Vikosi vya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimefanikiwa kuwaangamiza wapiganaji 25 wa kundi la wanamgambo wa ADF mashariki mwa nchi.

  • Ntaganda ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kutenda jinai za kivita Congo DR

    Ntaganda ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kutenda jinai za kivita Congo DR

    Nov 07, 2019 10:02

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela mbabe wa zamani wa vita katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Bosco Ntaganda baada ya kumpata na hatia ya kufanya ukatili ikiwa ni pamoja na kuua, kubaka na kuwatumikisha watoto kama askari vitani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS