-
UN: Raia 1,300 wameuawa DRC, jinai za kivita zimetendeka
Jun 05, 2020 23:27Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imesema takribani watu 1,300 ambao ni raia wameuawa katika matukio tofauti yanayohusisha makundi ya watu wenye silaha na vikosi vya serikali nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC katika kipindi cha miezi minane iliyopita.
-
Wanamgambo wa CODECO waua watu 16 Kongo DR
Jun 04, 2020 03:06Watu wasiopungua 16 wameuawa katika shambulizi jingine la kutisha la wanamgambo wa CODECO huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Ugonjwa wa Ebola waripotiwa tena kaskazini magharibi mwa Congo DR
Jun 01, 2020 21:59Maafisa wa afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza kuwa, maambukizi ya ugonjwa wa Ebola yamerejea tena nchini humo.
-
SAUTI, Raia wa Kongo DR waandamana wakiitaka serikali kuchagua kati ya mambo mawili ima kuendekeza karantini au kusambaratika kwa uchumi
May 28, 2020 12:34Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano kulalamikia kuporomoka thamani ya sarafu ya nchi hiyo mkabala wa dola ya Marekani.
-
UN: Kuna uwezekano kumejiri uhalifu wa kivita DRC
May 28, 2020 07:13Umoja wa Mataifa umetahadahrisha kuwa kuna uwezekano kuwa kumejiri uhalifu wa kivita Kaskazini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, baada ya watu kadhaa kuuawa na makundi ya watu wenye silaha.
-
Watu wengine 40 wauawa kwa kukatwa mapanga Kongo DR
May 28, 2020 03:29Watu wasiopungua 40 wameuawa katika shambulizi jingine la kutisha la wanamgambo wa ADF huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mpakani na Uganda.
-
Wanamgambo wa ADF washambulia Ituri DRC na kuua 17
May 27, 2020 03:29Kwa akali watu 17 wameuawa katika shambulizi la kundi la wanamgambo wa ADF huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
DRC yamuomba rais wa Zimbabwe apatanishe katika mgogoro wa mpaka na Zambia
May 12, 2020 21:53Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC imemuomba Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe apatanishe katika mgogoro wa mpaka baina yake na Zambia.
-
Makumi ya wanamgambo wauawa katika mapigano Ituri, Kongo DR
May 09, 2020 08:00Wanamgambo 23 wameuawa katika mapigano baina yao na Jeshi la Ulinzi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC) katika mkoa wa Ituri, kaskazini mwa nchi.
-
43 wauawa katika makabiliano baina ya askari na wanamgambo DRC
Apr 28, 2020 02:46Kwa akali watu 43 wameuawa katika siku tatu za makabiliano baina ya wanajeshi na magenge ya wabeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.