Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • WHO na Congo DR zataka kuwekwa sheria kali kuhusu wahudumu wa wagonjwa wa Ebola

    WHO na Congo DR zataka kuwekwa sheria kali kuhusu wahudumu wa wagonjwa wa Ebola

    Oct 31, 2019 09:22

    Shirika la Afya Dunia na maafisa wa serikali ya Congo DR wametoa mapendekezo ya kufanyika mabadiliko kuhusu jinsi ya kuwahudumia waathira wa ugonjwa wa Ebola.

  • Ripoti: Saudia, DRC na Sudan Kusini zaongoza kwa kuwakandamiza wanawake

    Ripoti: Saudia, DRC na Sudan Kusini zaongoza kwa kuwakandamiza wanawake

    Oct 29, 2019 03:26

    Utafiti mpya unaonesha kuwa Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Mali na Libya ni katika nchi zinazoongoza barani Afrika na duniani kwa ujumla katika kuwakandamiza wanawake.

  • SAUTI, Dunia yaombwa kusaidia kuzima mauaji ya Banyindu, Bafurero, Wabembe nk Kivu Kusini, Kongo DR

    SAUTI, Dunia yaombwa kusaidia kuzima mauaji ya Banyindu, Bafurero, Wabembe nk Kivu Kusini, Kongo DR

    Oct 22, 2019 13:17

    Jamii ya kimataifa imetakiwa kusaidia kuhitimisha mapigano ya wenyewe kwa wenye yaliyoanza mwanzoni mwa mwaka huu katika maeneo ya nyanda za juu mkoa wa Kivu Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kupelekea kwa akali watu 500 kuuawa.

  • AU: Ebola imeua watu 2,150 kufikia sasa Kongo DR

    AU: Ebola imeua watu 2,150 kufikia sasa Kongo DR

    Oct 22, 2019 04:28

    Umoja wa Afrika umesema idadi ya watu walioaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa homa hatari ya Ebola imefikia 2,150 tangu maradhi hayo yaripuke tena katika nchi hiyo Julai mwaka jana.

  • Ajali ya basi nchini DRC yaua watu 30

    Ajali ya basi nchini DRC yaua watu 30

    Oct 21, 2019 04:28

    Watu wasiopungua 30 wamefariki dunia huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya basi walimokuwa wakisafiria kuteketea moto.

  • SAUTI, Rais Félix Tshisekedi aanzisha mchakato shirikishi wa kurejesha usalama mashariki mwa Kongo DR

    SAUTI, Rais Félix Tshisekedi aanzisha mchakato shirikishi wa kurejesha usalama mashariki mwa Kongo DR

    Oct 19, 2019 10:51

    Rais Félix Antoine Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameanzisha mazungumzo na marais wa Rwanda na Uganda kwa lengo la kuwarejesha nchini waazi wa M23 waliokimbilia nchi hizo hapo mwaka 2013.

  • UN kusaidia kutafuta ndege iliyoanguka DRC

    UN kusaidia kutafuta ndege iliyoanguka DRC

    Oct 13, 2019 23:25

    Umoja wa Mataifa umejiunga na oparesheni ya kusaidia kutafuta ndege ya mizigo ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iliyopotea tangu Alhamisi ikiwa na watu wanane ndani yake.

  • WHO: Ebola imedhibitiwa katika vijiji vya Kongo DR

    WHO: Ebola imedhibitiwa katika vijiji vya Kongo DR

    Oct 12, 2019 04:38

    Afisa wa ngazi za juu wa Shirika la Afya Duniani WHO amesema juhudi za kuvitokomeza kikamilifu virusi vya Ebola katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Kong zinaendelea kuzaa matunda.

  • UNICEF: Surua yaua watu 4000 DRC, ni hatari zaidi ya Ebola

    UNICEF: Surua yaua watu 4000 DRC, ni hatari zaidi ya Ebola

    Oct 10, 2019 00:56

    Watu wasiopungua 4,000 wamepoteza maisha kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Surua (measles) nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC huku hali ikiripotiwa kuendelea kuwa mbaya.

  • 16 waaga dunia baada ya kufukiwa kwenye mgodi wa dhahabu DRC

    16 waaga dunia baada ya kufukiwa kwenye mgodi wa dhahabu DRC

    Oct 03, 2019 10:11

    Wachimba migodi 16 wamefariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi wa dhahabu huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS