Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Watu 14 wauawa katika shambulio la waasi kaskazini mashariki mwa DRC

    Watu 14 wauawa katika shambulio la waasi kaskazini mashariki mwa DRC

    Sep 19, 2019 10:04

    Viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema kuwa, watu 14 wameuawa katika shambulio la kundi moja la waasi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Kiongozi wa wasi wa FDLR kutoka Rwanda auawa huko Congo DR

    Kiongozi wa wasi wa FDLR kutoka Rwanda auawa huko Congo DR

    Sep 19, 2019 03:10

    Kiongozi wa waasi wa Kihutu kutoka Rwanda aliyekuwa akisakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kwa tuhuma za kufanya jinai za kivita ameuawa kwa kipigwa risasi na askari wa jeshi la Congo.

  • Makumi wahofiwa kufa maji katika ajali ya kuzama boti Kongo DR

    Makumi wahofiwa kufa maji katika ajali ya kuzama boti Kongo DR

    Sep 16, 2019 07:25

    Makumi ya watu wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya kuzama boti iliyotokea katika kijiji cha Mambutuka, eneo la Maluku huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 50 waaga dunia katika ajali ya treni Kongo DR

    Watu 50 waaga dunia katika ajali ya treni Kongo DR

    Sep 12, 2019 22:08

    Kwa akali watu 50 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya treni iliyotokea mapema jana Alkhamisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Malalamiko dhidi ya vitendo vya kikatili Afrika Kusini yafika hadi Kinshasa na Brazzaville + Sauti

    Malalamiko dhidi ya vitendo vya kikatili Afrika Kusini yafika hadi Kinshasa na Brazzaville + Sauti

    Sep 07, 2019 04:01

    Malalamiko ya kila namna yanaendelea kushuhudiwa katika nchi mbalimbali za Afrika kulalamikia vitendo visivya vya kibinadamu vinavyofanywa na makundi ya watu dhidi ya raia wa nchi za Afrika huko Afrika Kusini. Congo mbali, DRC na Congo Brazzaville, nako kumeshuhudiwa malalamiko ya kila namna. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...

  • Hotuba ya Waziri Mkuu wa DRC yazusha balaa bungeni + Sauti

    Hotuba ya Waziri Mkuu wa DRC yazusha balaa bungeni + Sauti

    Sep 05, 2019 11:34

    Hotuba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Bungeni ya kuomba kupasishwa baraza lake la mawaziri ili lianze kufanya kazi, imezua suitafahamu si tu miongoni mwa wapinzani, lakini pia miongoni mwa wabunge wa mseto tawala nchini humo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka jijini Brazzaville…

  • Elimu bure DRC ni kitendawili + Sauti

    Elimu bure DRC ni kitendawili + Sauti

    Sep 02, 2019 05:05

    Tangazo la Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuhusu kutoa elimu bure kwa wanafunzi wa shule za msingi na miaka miwili ya shule za upili limeibua suutafahamu miongoni mwa walimu na shule binafsi. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka jijini Brazzaville...

  • Katibu Mkuu wa UN awasili Congo DR kujadili njia za kukabiliana na Ebola + Sauti

    Katibu Mkuu wa UN awasili Congo DR kujadili njia za kukabiliana na Ebola + Sauti

    Aug 31, 2019 08:48

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili katika mji wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wa Goma kwa shabaha ya kutathmini na kuchunguza njia za kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola.

  • UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana

    UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana

    Aug 30, 2019 22:17

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa, elimu ya wakimbizi iko hatarini na inaonesha kuwa kadiri watoto wakimbizi wanavyozidi kukua ndivyo vikwazo vya kupata elimu vinavyozidi kuongezeka.

  • Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC

    Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC

    Aug 30, 2019 03:30

    Wizara ya afya ya Uganda imetangaza kesi ya pili ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola katika eneo la Kasese, kilomita 472 kutoka mji mkuu wa Kampala, baada ya mgonjwa mmoja wa Ebola kuingia nchini humo kutoka nchi jirani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS