-
Watu 14 wauawa katika shambulio la waasi kaskazini mashariki mwa DRC
Sep 19, 2019 10:04Viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema kuwa, watu 14 wameuawa katika shambulio la kundi moja la waasi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Kiongozi wa wasi wa FDLR kutoka Rwanda auawa huko Congo DR
Sep 19, 2019 03:10Kiongozi wa waasi wa Kihutu kutoka Rwanda aliyekuwa akisakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kwa tuhuma za kufanya jinai za kivita ameuawa kwa kipigwa risasi na askari wa jeshi la Congo.
-
Makumi wahofiwa kufa maji katika ajali ya kuzama boti Kongo DR
Sep 16, 2019 07:25Makumi ya watu wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya kuzama boti iliyotokea katika kijiji cha Mambutuka, eneo la Maluku huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu 50 waaga dunia katika ajali ya treni Kongo DR
Sep 12, 2019 22:08Kwa akali watu 50 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya treni iliyotokea mapema jana Alkhamisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Malalamiko dhidi ya vitendo vya kikatili Afrika Kusini yafika hadi Kinshasa na Brazzaville + Sauti
Sep 07, 2019 04:01Malalamiko ya kila namna yanaendelea kushuhudiwa katika nchi mbalimbali za Afrika kulalamikia vitendo visivya vya kibinadamu vinavyofanywa na makundi ya watu dhidi ya raia wa nchi za Afrika huko Afrika Kusini. Congo mbali, DRC na Congo Brazzaville, nako kumeshuhudiwa malalamiko ya kila namna. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
-
Hotuba ya Waziri Mkuu wa DRC yazusha balaa bungeni + Sauti
Sep 05, 2019 11:34Hotuba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Bungeni ya kuomba kupasishwa baraza lake la mawaziri ili lianze kufanya kazi, imezua suitafahamu si tu miongoni mwa wapinzani, lakini pia miongoni mwa wabunge wa mseto tawala nchini humo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka jijini Brazzaville…
-
Elimu bure DRC ni kitendawili + Sauti
Sep 02, 2019 05:05Tangazo la Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuhusu kutoa elimu bure kwa wanafunzi wa shule za msingi na miaka miwili ya shule za upili limeibua suutafahamu miongoni mwa walimu na shule binafsi. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka jijini Brazzaville...
-
Katibu Mkuu wa UN awasili Congo DR kujadili njia za kukabiliana na Ebola + Sauti
Aug 31, 2019 08:48Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili katika mji wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wa Goma kwa shabaha ya kutathmini na kuchunguza njia za kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola.
-
UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana
Aug 30, 2019 22:17Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa, elimu ya wakimbizi iko hatarini na inaonesha kuwa kadiri watoto wakimbizi wanavyozidi kukua ndivyo vikwazo vya kupata elimu vinavyozidi kuongezeka.
-
Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC
Aug 30, 2019 03:30Wizara ya afya ya Uganda imetangaza kesi ya pili ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola katika eneo la Kasese, kilomita 472 kutoka mji mkuu wa Kampala, baada ya mgonjwa mmoja wa Ebola kuingia nchini humo kutoka nchi jirani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.