Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Idara ya Intelijinsia ya Kongo yaagiza kukaguliwa matumizi ya serikali ya mpito

    Idara ya Intelijinsia ya Kongo yaagiza kukaguliwa matumizi ya serikali ya mpito

    Aug 29, 2019 03:32

    Idara ya Intelijinsia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeagiza kufanyika uchunguzi kuhusu matumizi ya serikali ya mpito ya nchi hiyo ambayo imeiongoza nchi kwa muda wa miezi saba sasa tangu kuapishwa Rais wa nchi hiyo, Felix Tshisekedi.

  • Ugonjwa wa surua waua maelfu ya watu Congo DR

    Ugonjwa wa surua waua maelfu ya watu Congo DR

    Aug 18, 2019 03:21

    Shirika la Madatari Wasio na Mpaka (MSF) limeripoti kuwa zaidi ya watu 2700 wameaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ugonjwa wa surua.

  • Kesi mbili za kwanza za Ebola zathibitishwa katika mkoa wa Kivu Kusini nchini Kongo

    Kesi mbili za kwanza za Ebola zathibitishwa katika mkoa wa Kivu Kusini nchini Kongo

    Aug 16, 2019 10:24

    Serikali ya mkoa wa Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kusajiliwa kesi mbili za maambukizo ya homa hatari ya Ebola mkoani humo huku mgonjwa mmoja akiwa katika hali mbaya.

  • WHO: Dawa mbili zilizoko kwenye majaribio zimeonyesha uwezekano mkubwa kutibu Ebola

    WHO: Dawa mbili zilizoko kwenye majaribio zimeonyesha uwezekano mkubwa kutibu Ebola

    Aug 14, 2019 03:40

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kkuwa, Dawa mbili mpya zinazojaribiwa kwa wagonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimeonyesha kuwa, zina uwezo mkubwa wa kutibu maradhi hayo.

  • Viongozi wa dini kushirikiana na serikali ya DRC katika vita dhidi ya Ebola

    Viongozi wa dini kushirikiana na serikali ya DRC katika vita dhidi ya Ebola

    Aug 12, 2019 22:02

    Viongozi wa dini mbalimbali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza utayari wao wa kushirikiana na serikali ya nchi hiyo katika vita dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola.

  • WHO: Hakuna kesi mpya za Ebola katika mji wa Goma

    WHO: Hakuna kesi mpya za Ebola katika mji wa Goma

    Aug 12, 2019 02:33

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa limetoa chanjo ya Ebola kwa watu zaidi ya 1,300 ambao waliambukizwa virusi vya ugonjwa huo katika mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN: Watu 86 wanaambukizwa Ebola kila wiki DRC

    UN: Watu 86 wanaambukizwa Ebola kila wiki DRC

    Aug 10, 2019 03:05

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Dunaini (WHO) limetangaza kuwa kwa wastani watu 86 wanaambukizwa ugonjwa wa Ebola kila wiki nchini Jamhuri ya Kdemokrasia ya Congo, DRC katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri.

  • Ajali ya boti yaua watu 12 nchini DRC, 50 hawajulikani waliko

    Ajali ya boti yaua watu 12 nchini DRC, 50 hawajulikani waliko

    Aug 07, 2019 08:08

    Watu wasiopungua 12 wamepoteza maisha kufuatia ajali ya boti huko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

  • Congo DR yazidisha jitihada za kudhibiti Ebola mashariki mwa nchi hiyo

    Congo DR yazidisha jitihada za kudhibiti Ebola mashariki mwa nchi hiyo

    Aug 03, 2019 07:14

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeanzisha juhudi kubwa za kudhibiti ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola huko mashariki mwa nchi hiyo baada ya mchimba migodi mmoja aliyekuwa na familia kubwa kuaga dunia kutokana na homa ya ugonjwa huo katika mji wa Goma.

  • Rwanda yafunga mpaka wake na Congo DR kwa kuhofia virusi vya Ebola

    Rwanda yafunga mpaka wake na Congo DR kwa kuhofia virusi vya Ebola

    Aug 01, 2019 08:18

    Serikali ya Rwanda imefunga mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya kugunduliwa kesi ya tatu ya muathirika wa virusi vya ugonjwa wa Ebola katika mji wa mpakani wa Goma.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS