-
Idara ya Intelijinsia ya Kongo yaagiza kukaguliwa matumizi ya serikali ya mpito
Aug 29, 2019 03:32Idara ya Intelijinsia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeagiza kufanyika uchunguzi kuhusu matumizi ya serikali ya mpito ya nchi hiyo ambayo imeiongoza nchi kwa muda wa miezi saba sasa tangu kuapishwa Rais wa nchi hiyo, Felix Tshisekedi.
-
Ugonjwa wa surua waua maelfu ya watu Congo DR
Aug 18, 2019 03:21Shirika la Madatari Wasio na Mpaka (MSF) limeripoti kuwa zaidi ya watu 2700 wameaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ugonjwa wa surua.
-
Kesi mbili za kwanza za Ebola zathibitishwa katika mkoa wa Kivu Kusini nchini Kongo
Aug 16, 2019 10:24Serikali ya mkoa wa Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kusajiliwa kesi mbili za maambukizo ya homa hatari ya Ebola mkoani humo huku mgonjwa mmoja akiwa katika hali mbaya.
-
WHO: Dawa mbili zilizoko kwenye majaribio zimeonyesha uwezekano mkubwa kutibu Ebola
Aug 14, 2019 03:40Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kkuwa, Dawa mbili mpya zinazojaribiwa kwa wagonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimeonyesha kuwa, zina uwezo mkubwa wa kutibu maradhi hayo.
-
Viongozi wa dini kushirikiana na serikali ya DRC katika vita dhidi ya Ebola
Aug 12, 2019 22:02Viongozi wa dini mbalimbali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza utayari wao wa kushirikiana na serikali ya nchi hiyo katika vita dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola.
-
WHO: Hakuna kesi mpya za Ebola katika mji wa Goma
Aug 12, 2019 02:33Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa limetoa chanjo ya Ebola kwa watu zaidi ya 1,300 ambao waliambukizwa virusi vya ugonjwa huo katika mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
UN: Watu 86 wanaambukizwa Ebola kila wiki DRC
Aug 10, 2019 03:05Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Dunaini (WHO) limetangaza kuwa kwa wastani watu 86 wanaambukizwa ugonjwa wa Ebola kila wiki nchini Jamhuri ya Kdemokrasia ya Congo, DRC katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri.
-
Ajali ya boti yaua watu 12 nchini DRC, 50 hawajulikani waliko
Aug 07, 2019 08:08Watu wasiopungua 12 wamepoteza maisha kufuatia ajali ya boti huko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
-
Congo DR yazidisha jitihada za kudhibiti Ebola mashariki mwa nchi hiyo
Aug 03, 2019 07:14Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeanzisha juhudi kubwa za kudhibiti ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola huko mashariki mwa nchi hiyo baada ya mchimba migodi mmoja aliyekuwa na familia kubwa kuaga dunia kutokana na homa ya ugonjwa huo katika mji wa Goma.
-
Rwanda yafunga mpaka wake na Congo DR kwa kuhofia virusi vya Ebola
Aug 01, 2019 08:18Serikali ya Rwanda imefunga mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya kugunduliwa kesi ya tatu ya muathirika wa virusi vya ugonjwa wa Ebola katika mji wa mpakani wa Goma.