Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Mwanamke Mualgeria ateuliwa kuwa mkuu wa kikosi cha MONUSCO DRC

    Mwanamke Mualgeria ateuliwa kuwa mkuu wa kikosi cha MONUSCO DRC

    Dec 28, 2017 12:56

    Bi Leila Zerrougui raia wa Algeria ameteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuwa, mkuu wa kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO.

  • Jeshi la Uganda laua waasi zaidi ya 100 wa ADF Kongo DR

    Jeshi la Uganda laua waasi zaidi ya 100 wa ADF Kongo DR

    Dec 28, 2017 01:11

    Jeshi la Uganda limetangaza habari ya kuua wanachama wasiopungua 100 wa kundi la waasi wa ADF katika makabiliano makali yaliyojiri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Maelfu ya wakimbizi wa Kongo wawasili Uganda

    Maelfu ya wakimbizi wa Kongo wawasili Uganda

    Dec 27, 2017 23:13

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwa kuanzia tarehe 18 mwezi huu hadi hivi sasa zaidi ya wakimbizi 4500 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia Uganda.

  • Makazi ya Rais Kabila wa DRC yateketezwa moto, polisi auawa

    Makazi ya Rais Kabila wa DRC yateketezwa moto, polisi auawa

    Dec 26, 2017 03:56

    Kundi la waasi wa Mai-Mai la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limevamia na kuteketeza moto nyumba ya Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo katika mkoa wa Kivu Kaskazini.

  • Congo Brazaville yasaini muafaka wa amani na kundi la waasi la 'Ninja'

    Congo Brazaville yasaini muafaka wa amani na kundi la waasi la 'Ninja'

    Dec 24, 2017 04:28

    Serikali ya Jamhuri ya Congo imesaini makubaliano ya amani na kundi la waasi la 'Ninja' na hivyo kutamatisha mgogoro wa karibu miaka 15 ambao umesababisha makumi ya watu kuuawa na makumi ya maelfu ya wengine kuwa wakimbizi.

  • UN yaimarisha usalama kambi walikouawa walinda amani wa Tanzania huko DRC

    UN yaimarisha usalama kambi walikouawa walinda amani wa Tanzania huko DRC

    Dec 22, 2017 03:49

    Umoja wa Mataifa umesema kambi ya Semuliki ya Kivu Kaskazini huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambayo ilishambuliwa na waasi tarehe 7 mwezi huu na kusababisha vifo vya walinda amani 14 wa Tanzania na wengine 44 kujeruhiwa sasa inaimarishwa.

  • Uganda na DRC kushirikiana katika kupambana na waasi wa ADF

    Uganda na DRC kushirikiana katika kupambana na waasi wa ADF

    Dec 20, 2017 04:46

    Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimekubaliana kuimarisha utaratibu wa mawasiliano na kupeana taarifa za kiintelijensia kwa ajili ya kupambana na waasi wa ADF kufuatia mashambulizi yao dhidi ya vikosi vya walinzi wa amani wa Umoja wa Mataifa.

  • Mbunge wa Kivu Kaskazini atahadharisha kuhusu vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda

    Mbunge wa Kivu Kaskazini atahadharisha kuhusu vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda

    Dec 11, 2017 04:38

    Juvenal Munubo, mwakilishi wa Kivu Kaskazini katika Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametahadharisha kuhusiana na vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wanaoendesha harakati zao mashariki mwa DRC.

  • Tanzania Haitasitisha Oparesheni za Kulinda amani baada ya askari wake 14 kuuawa DRC

    Tanzania Haitasitisha Oparesheni za Kulinda amani baada ya askari wake 14 kuuawa DRC

    Dec 11, 2017 01:47

    Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema kuuawa kwa askari wake 14 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hakutaifanya Tanzania iache kuunga mkono shughuli za ulinzi wa amani.

  • Jeshi la DRC laahidi kutoa jibu kali kwa waasi wa ADF baada ya kuua wasimamia amani

    Jeshi la DRC laahidi kutoa jibu kali kwa waasi wa ADF baada ya kuua wasimamia amani

    Dec 10, 2017 11:01

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limeatangaza kuwa, litatoa jibu kali kwa mauaji yaliyofanywa na waasi wa ADF-NALU wa Uganda dhidi ya askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Mataifa MONUSCO.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS