Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • 7 wauawa katika makabiliano baina ya askari na waasi Kongo DR

    7 wauawa katika makabiliano baina ya askari na waasi Kongo DR

    Nov 06, 2017 23:13

    Kwa akali watu saba wameuawa katika makabiliano ya risasi kati ya wanajeshi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kundi moja la waasi, katika mkoa wa Kivu Kusini.

  • Tume ya Uchaguzi DRC yatangaza uchaguzi kufanyika Disemba 2018

    Tume ya Uchaguzi DRC yatangaza uchaguzi kufanyika Disemba 2018

    Nov 06, 2017 05:43

    Tume Huru ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (CENI) imetangaza Jumapili kuwa uchaguzi wa rais atakayechukua nafasi ya Rais Joseph kabila utafanyika Disemba 23, mwaka ujao wa 2018.

  • Angola yawatimua maelfu ya wahamiaji haramu wa Kongo DR

    Angola yawatimua maelfu ya wahamiaji haramu wa Kongo DR

    Nov 05, 2017 23:16

    Serikali ya Angola imewafukuza nchini humo maelfu ya wahamiaji haramu raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kanali aliyeasi jeshi la DRC ajisalimisha baada ya mapigano

    Kanali aliyeasi jeshi la DRC ajisalimisha baada ya mapigano

    Nov 05, 2017 11:20

    Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Jumapili wamepigana na wafuasi wa kanali aliyeasi jeshi katika mji wa Bukavu mashariki mwa nchi hiyo na baada ya hapo kanali huyo akajisalimisha kwa askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa.

  • OCHA: Wakimbizi wa Kongo DR wamekubwa na mgogoro mkubwa wa kibinaadamu

    OCHA: Wakimbizi wa Kongo DR wamekubwa na mgogoro mkubwa wa kibinaadamu

    Nov 03, 2017 01:03

    Msemaji wa Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) ametahadharisha juu ya hali mbaya ya kibinaadamu inayowakabili wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Waandamanaji karibu 30 watiwa mbaroni mashariki mwa Kongo DR

    Waandamanaji karibu 30 watiwa mbaroni mashariki mwa Kongo DR

    Nov 01, 2017 04:32

    Duru za polisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimearifu kuwa watu karibu 30 wametiwa nguvuni katika maandamano dhidi ya serikali katika mji wa Goma makao makuu ya mkoa wa Kivu ya Kaskazini huko mashariki mwa nchi hiyo.

  • UN: Watu milioni 3 wanakabiliwa na njaa Kongo DR

    UN: Watu milioni 3 wanakabiliwa na njaa Kongo DR

    Oct 30, 2017 04:32

    Mpango wa Chakula Duniani WFP umesema watu zaidi ya milioni 3 wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutoka na njaa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • DRC: Tarehe ya uchaguzi inapangwa na tume, sio Marekani

    DRC: Tarehe ya uchaguzi inapangwa na tume, sio Marekani

    Oct 28, 2017 04:33

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo CENI yenye mamlaka na uwezo wa kupanga tarehe ya uchaguzi nchini na wala sio Marekani.

  • Wapinzani nchini Kongo wataka kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa

    Wapinzani nchini Kongo wataka kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa

    Oct 23, 2017 10:34

    Wapizania wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wametangaza kuwa, karibu wafungwa 50 wa kisiasa wa upande wa upinzani, wanaendelea kushikiliwa katika korokoro za nchi hiyo.

  • Uganda yatiwa wasiwasi na mlipuko wa virusi vya Marburg

    Uganda yatiwa wasiwasi na mlipuko wa virusi vya Marburg

    Oct 23, 2017 04:39

    Uganda imekumbwa tena na wasiwasi baada ya watu wawili kuripotiwa kufariki dunia kwa ugonjwa wa Marburg.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS