Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu machafuko ya Congo DR

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu machafuko ya Congo DR

    Oct 14, 2017 04:01

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ameeleza wasiwasi wake kuhusu ghasia na machafuko ya kisiasa nchini humo.

  • Waasi washambulia kituo cha askari wa Umoja wa Mataifa DRC

    Waasi washambulia kituo cha askari wa Umoja wa Mataifa DRC

    Oct 10, 2017 04:42

    Duru za kuaminika huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimesema kuwa, waasi wa Uganda wameshambulia kituo cha askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa mashariki mwa Kongo.

  • SAUTI, Zaidi ya watu 20 wameuawa katika mashambulizi ya waasi wa ADF-NALU mjini Beni Kong DR

    SAUTI, Zaidi ya watu 20 wameuawa katika mashambulizi ya waasi wa ADF-NALU mjini Beni Kong DR

    Oct 09, 2017 13:07

    Zaidi ya watu 20 wameripotiwa kuuawa na wanamgambo wa kundi la waasi la ADF-NALU wa nchini Uganda huko mjini Beni, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu wasiopungua 40 wauawa DRC katika hujuma ya waasi wa ADF

    Watu wasiopungua 40 wauawa DRC katika hujuma ya waasi wa ADF

    Oct 08, 2017 23:04

    Waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) wameuawa watu zaidi ya 40 katika mji wa Beni jimbo la kaskazini la Kivu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Waasi wateka nyara na kuua makumi ya wasafiri Kongo DR

    Waasi wateka nyara na kuua makumi ya wasafiri Kongo DR

    Oct 08, 2017 10:55

    Makumi ya wasafiri wanahofiwa kuuawa baada ya kutekwa nyara na kundi moja la waasi kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wanamgambo 10 wauawa katika mapigano na jeshi la Kongo DR

    Wanamgambo 10 wauawa katika mapigano na jeshi la Kongo DR

    Oct 05, 2017 10:33

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuuawa wanamgambo 10 katika mapigano na jeshi la nchi hiyo.

  • Maelfu ya raia wa Congo wakimbilia Zambia kutokana na machafuko

    Maelfu ya raia wa Congo wakimbilia Zambia kutokana na machafuko

    Oct 03, 2017 22:53

    Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekimbilia nchi jirani ya Zambia katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita wakikimbia ghasia na machafuko yanayoendelea nchini kwao.

  • Watu 16 wauawa katika mapigano mashariki mwa Kongo DR

    Watu 16 wauawa katika mapigano mashariki mwa Kongo DR

    Oct 03, 2017 04:42

    Kwa akali wanachama 16 wa kundi la waasi wa Mai-Mai wameuawa katika mapigano na maafisa usalama, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wanaharakati 16 wa kisiasa waachiwa huru Congo DR

    Wanaharakati 16 wa kisiasa waachiwa huru Congo DR

    Oct 02, 2017 02:58

    Maafisa wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza kuwa, wamewaachia huru wanaharakati kadhaa wa kisiasa waliokuwa wametiwa nguvuni na vyombo vya usalama.

  • Watu karibu 30 wahofiwa kuaga dunia katika ajali ya ndege Kongo DR

    Watu karibu 30 wahofiwa kuaga dunia katika ajali ya ndege Kongo DR

    Sep 30, 2017 13:10

    Ndege ya usafirishaji inayomilikiwa na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeanguka leo karibu na mji mkuu Kinshasa na kuuwa makumi ya watu. Hayo yameelezwa na duru za kijeshi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS