-
DRC yafunga radio iliyokosoa mauaji ya wakimbizi wa Burundi
Sep 30, 2017 04:43Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesimamisha matangazo ya radio moja inayomilikiwa na Chama cha Wafanyabiashara wa Burundi, kwa kukosoa mauaji ya wakimbizi Warundi waliouawa hivi karibuni na wanajeshi wa DRC.
-
Wakazi wa Bukavu, Kongo DR waandamana kulalamikia ukosefu wa usalama
Sep 25, 2017 11:47Wakazi wa mji wa Bukavu, katikati ya mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano makubwa kulalamikia machafuko yanayoendelea katika mkoa huo.
-
Kambi ya Upinzani Congo yapinga matamshi ya Kabila katika UN
Sep 25, 2017 03:19Wapinzani wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekosoa matamshi yaliyotolewa na Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
Thuluthi nzima ya kesi za askari wa UN za kuwabaka wanawake zimeripotiwa DRC
Sep 24, 2017 10:18Ripoti mpya imeonyesha kuwa, thuluthi nzima ya vitendo vya ubakaji na dhulma za kijinsia dhidi ya wanawake vinavyofanywa na askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa vimeripotiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Askari wa serikali ya Kongo DR watuhumiwa kuhusika na mauaji ya raia
Sep 24, 2017 00:01Wakimbizi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewatuhumu maafisa usalama wa serikali kuwa wamehusika katika mauaji ya raia.
-
Taasisi ya Haki za Binadamu: Kongo inapasa kutekeleza majukumu yake kuhusu wakimbizi
Sep 22, 2017 12:50Mratibu wa Kitaifa wa Taasisi Zisizo za Kiserikali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameitaka serikali ya nchi hiyo kutekeleza majukumu yake kuhusu suala la haki za wakimbizi na raia wanaotafuta hifadhi nchini humo.
-
Mafuriko yaua watu 10 Kongo DR, 90 watoweka
Sep 20, 2017 09:20Watu wasiopungua 10 wamepoteza maisha baada ya kusombwa na mafuriko mashariki mwa Jamhuri mwa Kidemokrasia ya Kongo.
-
Serikali ya Kongo DR yaanza uchunguzi kuhusu mauaji ya wakimbizi wa Burundi
Sep 18, 2017 09:39Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kuwa imeanza kuchunguza mauaji ya makumi ya wakimbizi wa Burundi waliouliwa nchini humo.
-
Umoja wa Mataifa walaani jeshi la DRC kwa kuwaua wakimbizi kutoka Burundi
Sep 17, 2017 09:32Umoja wa Mataifa umelaani vikali mauaji ya wakimbizi wasiopungua 36 kutoka Burundi huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Askari wa Kongo washambuliana na wakimbizi wa Burundi, makumi ya wakimbizi wauawa
Sep 16, 2017 09:26Mapigano yamejiri kati ya wakimbizi wa Burundi na askari wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mashariki mwa nchi hiyo na kusababisha maafa ya makumi ya wakimbizi na wengine kujeruhiwa.