-
Mgogoro nchini Kongo DR unawafanya watoto wengi zaidi walazimike kuacha masomo
Sep 12, 2017 03:22Asasi moja isiyo ya kiserikali imetangaza kuwa watoto wengi zaidi wanakosa elimu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na mgogoro na mfumo duni wa elimu wa nchi hiyo.
-
Indhari ya WHO kuhusu mlipuko wa kipindupindu DRC
Sep 10, 2017 22:49Shirika la Afya Duniani WHO limetoa tahadhari juu ya mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo ambao hadi sasa umepelekea watu 528 kupoteza maisha na hivyo kufikia kiwango cha kutia hofu.
-
Hizi hapa sababu za kuendelea mgogoro wa kisiasa DRC
Sep 10, 2017 10:07Mtandao wa habari za redio na televisheni za Ubelgiji umesema kuwa, kufariki dunia Étienne Tshisekedi, mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa upinzani huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kumezidisha mgogoro wa kisiasa nchini humo.
-
Tanzania: Tuna mahindi ya ziada, tutaanza kuuza Kongo DR na Sudan Kusini
Sep 10, 2017 03:02Serikali ya Tanzania imesema mazungumzo yanaendelea ili nchi hiyo ya Afrika Mashariki ianze kuuza mahindi kwenye Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na Sudan Kusini.
-
Wakimbizi wa Kongo DR waendelea kukimbilia nchini Zambia
Sep 09, 2017 12:00Umoja wa Mataifa umetangaza ongezeko la wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo nchini Zambia.
-
Wito wa serikali ya DRC kwa wapinzani wa kushiriki katika mazungumzo
Sep 04, 2017 08:17Kufuatia kushadidi mgogoro wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Waziri wa Uchumi wa nchi hiyo amewaita wapinzani wa nchi hiyo katika meza ya mazungumzo ili kujaribu kutatua hitilafu zilizoko kati ya pande mbili hizo.
-
Serikali ya DRC yawaita wapinzani katika meza ya mazungumzo
Sep 03, 2017 23:50Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imewaita wapinzani wa nchi hiyo katika meza ya mazungumzo ili kujaribu kutatua hitilafu zilizoko kati ya pande mbili hizo.
-
Tume ya Uchaguzi DRC kutangaza ratiba ya uchaguzi
Sep 01, 2017 10:54Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Corneille Nangaa amesema ratiba ya Uchaguzi mkuu itatangazwa hivi karibuni.
-
UN: Watu milioni 3.8 wamefurushwa makwao kutokana na machafuko DRC
Aug 27, 2017 03:06Umoja wa Mataifa umesema idadi ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliolazimika kuwa wakimbizi kutokana na machafuko na mapigano nchini humo imeongezeka maradufu.
-
Wanasiasa Congo DR wamkosoa Zuma kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao
Aug 26, 2017 10:56Wanasiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamepinga na kukosoa matamshi yaliyotolewa na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini wakisema ameingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.