-
Kilele cha maadhimisho ya miaka 41 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 10, 2020 05:12Assalamu Alaykum mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Nakukaribisha kutegea sikio mfululizo huu wa vipindi maalumu tulivyokuandalia kwa mnasaba wa kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa
Jan 15, 2020 02:43Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Jumapili iliyopita ya tarehe 12 Januari 2020, alifanya ziara rasmi hapa mjini Tehran. Katika ziara hiyo, Sheikh Tamim alionana na viongozi wa ngazi za juu kabisa wa Iran akiwemo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na Rais Hassan Rouhani.
-
Ushirikiano na nchi za Mashariki ya Kati; stratijia ya Iran ya kulinda usalama wa safari za baharini Ghuba ya Uajemi
Sep 30, 2019 04:07Hossein Dehghani, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika Masuala ya Sheria na Kimataifa amesema katika kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC pambizoni mwa kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York Marekani kwamba, mizozo ya aina yoyote ni hatari kwa eneo hili zima.
-
Jumatatu, Aprili 1, 2019
Mar 31, 2019 22:20Leo ni Jumatatu tarehe 25 Rajab 1440 Hijria sawa na tarehe Mosi Aprili 2019 Milaadia.
-
Vijana, Walinzi Imara na wa Daima wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 03, 2019 08:11Ujana ni kipindi kinachong'aa cha maisha ya mwanadamu ambacho japokuwa si kirefu lakini athari zake zinabakia muda mrefu na huwa na taahira kubwa katika maisha ya kiumbe huyo.
-
Ziyad al-Nakhalah: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio nchi pekee inayoiunga mkono Palestina
Jan 31, 2019 04:18Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio nchi pekee inayoiunga mkono Palestina na imekuwa ikilipa gharama ya uungaji mkono huo kwa kutwishwa vikwazo vya Marekani na mataifa mengine.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kasi ya harakati ya sayansi na teknolojia Iran
Jan 24, 2019 03:47Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatano asubuhi mjini Tehran katika mkutano na wakuu pamoja na watafiti wa Taasisi ya Utambuzi wa Taaluma za Sayansi na Teknolojia (ICSS), Waziri wa Elimu na pia wakuu na wahadhiri wa vyuo vikuu husika alisistiza kuwa, taifa lolote linalobaki nyuma katika taaluma mpya na teknolojia zinazohusiana na taaluma hizo halitakuwa na hatima nyingine ghairi ya kubaki nyuma kimaendeleo, kudhalilishwa na kukoloniwa na madola yenye nguvu.
-
Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo
Aug 24, 2018 21:50Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Ryabkov amesema kuwa nchi yake inaheshimu uwepo wa Iran nchini Syria kwani iko huko kihalali na kwa mwaliko wa serikali halali ya nchi hiyo.
-
Iran yalaani mashambulizi ya muungano wa Saudia katika mji wa al Hudaydah Yemen
Jun 14, 2018 10:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulio ya angani na baharini ya muungano vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya mji wa bandari wa al Hudaydah wa nchini Yemen na kusisitiza kuwa, Tehran inasikitishwa mno na hali mbaya ya kibinadamu waliyobebeshwa wananchi Waislamu wa Yemen.
-
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatoa taarifa rasmi kulaani jinai za utawala wa Kizayuni
May 15, 2018 09:40Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa katika kulaani jinai na mauaji ya umati ya Wazayuni dhidi ya raia madhlum wa Palestina na kuitaka jamii ya kimataifa kuvunja ukimwa wake wa muda mrefu, kuhitimisha uvamizi na kudhamini haki za Wapalestina kama wamiliki halisi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.