Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Kilele cha maadhimisho ya miaka 41 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Kilele cha maadhimisho ya miaka 41 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 10, 2020 05:12

    Assalamu Alaykum mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Nakukaribisha kutegea sikio mfululizo huu wa vipindi maalumu tulivyokuandalia kwa mnasaba wa kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.

  • Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa

    Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa

    Jan 15, 2020 02:43

    Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Jumapili iliyopita ya tarehe 12 Januari 2020, alifanya ziara rasmi hapa mjini Tehran. Katika ziara hiyo, Sheikh Tamim alionana na viongozi wa ngazi za juu kabisa wa Iran akiwemo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na Rais Hassan Rouhani.

  • Ushirikiano na nchi za Mashariki ya Kati; stratijia ya Iran ya kulinda usalama wa safari za baharini Ghuba ya Uajemi

    Ushirikiano na nchi za Mashariki ya Kati; stratijia ya Iran ya kulinda usalama wa safari za baharini Ghuba ya Uajemi

    Sep 30, 2019 04:07

    Hossein Dehghani, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika Masuala ya Sheria na Kimataifa amesema katika kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC pambizoni mwa kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York Marekani kwamba, mizozo ya aina yoyote ni hatari kwa eneo hili zima.

  • Jumatatu, Aprili 1, 2019

    Jumatatu, Aprili 1, 2019

    Mar 31, 2019 22:20

    Leo ni Jumatatu tarehe 25 Rajab 1440 Hijria sawa na tarehe Mosi Aprili 2019 Milaadia.

  • Vijana, Walinzi Imara na wa Daima wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Vijana, Walinzi Imara na wa Daima wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 03, 2019 08:11

    Ujana ni kipindi kinachong'aa cha maisha ya mwanadamu ambacho japokuwa si kirefu lakini athari zake zinabakia muda mrefu na huwa na taahira kubwa katika maisha ya kiumbe huyo.

  • Ziyad al-Nakhalah: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio nchi pekee inayoiunga mkono Palestina

    Ziyad al-Nakhalah: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio nchi pekee inayoiunga mkono Palestina

    Jan 31, 2019 04:18

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio nchi pekee inayoiunga mkono Palestina na imekuwa ikilipa gharama ya uungaji mkono huo kwa kutwishwa vikwazo vya Marekani na mataifa mengine.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kasi ya harakati ya sayansi na teknolojia Iran

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kasi ya harakati ya sayansi na teknolojia Iran

    Jan 24, 2019 03:47

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatano asubuhi mjini Tehran katika mkutano na wakuu pamoja na watafiti wa Taasisi ya Utambuzi wa Taaluma za Sayansi na Teknolojia (ICSS), Waziri wa Elimu na pia wakuu na wahadhiri wa vyuo vikuu husika alisistiza kuwa, taifa lolote linalobaki nyuma katika taaluma mpya na teknolojia zinazohusiana na taaluma hizo halitakuwa na hatima nyingine ghairi ya kubaki nyuma kimaendeleo, kudhalilishwa na kukoloniwa na madola yenye nguvu.

  • Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo

    Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo

    Aug 24, 2018 21:50

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Ryabkov amesema kuwa nchi yake inaheshimu uwepo wa Iran nchini Syria kwani iko huko kihalali na kwa mwaliko wa serikali halali ya nchi hiyo.

  • Iran yalaani mashambulizi ya muungano wa Saudia katika mji wa al Hudaydah Yemen

    Iran yalaani mashambulizi ya muungano wa Saudia katika mji wa al Hudaydah Yemen

    Jun 14, 2018 10:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulio ya angani na baharini ya muungano vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya mji wa bandari wa al Hudaydah wa nchini Yemen na kusisitiza kuwa, Tehran inasikitishwa mno na hali mbaya ya kibinadamu waliyobebeshwa wananchi Waislamu wa Yemen.

  • Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatoa taarifa rasmi kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatoa taarifa rasmi kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

    May 15, 2018 09:40

    Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa katika kulaani jinai na mauaji ya umati ya Wazayuni dhidi ya raia madhlum wa Palestina na kuitaka jamii ya kimataifa kuvunja ukimwa wake wa muda mrefu, kuhitimisha uvamizi na kudhamini haki za Wapalestina kama wamiliki halisi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS