-
Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo
Oct 23, 2020 04:19Anwar Gargash Waziri Mshauri wa Mambo ya Nje katika Umoja wa Falme za Kiarabu ametuma ujumbe kupitia ukurasa wake wa Twitter na kudai kuwa, Iran inavuruga uthabiti katika eneo la Asia Magharibi.
-
Malengo ya madai yasiyo na msingi ya Bahrain dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jul 01, 2020 03:19Abdullatif bin Rashid al Zayani, waziri wa mambo ya nje wa utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain amesema katika mkutano na waandishi wa habari alioufanya kwa pamoja na Brian Hook, mjumbe maalumu wa serikali ya Marekani katika masuala ya Iran kwamba eti Iran inaingilia masuala ya ndani ya nchi za eneo hili ikiwemo Bahrain.
-
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama
Feb 21, 2020 06:36Tarehe 21 Februari inasadifiana na Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama.
-
Mousavi: Iran itatoa jibu kali kwa hatua yoyote ya kijinga ya Israel
Feb 13, 2020 01:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utatekeleza uvamizi au hatua yoyote ya kijinga dhidi ya maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria na katika eneo, basi utawala huo utapokea jibu kali ambalo litakuwa la majuto."
-
Kilele cha maadhimisho ya miaka 41 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 10, 2020 05:12Assalamu Alaykum mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Nakukaribisha kutegea sikio mfululizo huu wa vipindi maalumu tulivyokuandalia kwa mnasaba wa kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa
Jan 15, 2020 02:43Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Jumapili iliyopita ya tarehe 12 Januari 2020, alifanya ziara rasmi hapa mjini Tehran. Katika ziara hiyo, Sheikh Tamim alionana na viongozi wa ngazi za juu kabisa wa Iran akiwemo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na Rais Hassan Rouhani.
-
Ushirikiano na nchi za Mashariki ya Kati; stratijia ya Iran ya kulinda usalama wa safari za baharini Ghuba ya Uajemi
Sep 30, 2019 04:07Hossein Dehghani, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika Masuala ya Sheria na Kimataifa amesema katika kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC pambizoni mwa kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York Marekani kwamba, mizozo ya aina yoyote ni hatari kwa eneo hili zima.
-
Jumatatu, Aprili 1, 2019
Mar 31, 2019 22:20Leo ni Jumatatu tarehe 25 Rajab 1440 Hijria sawa na tarehe Mosi Aprili 2019 Milaadia.
-
Vijana, Walinzi Imara na wa Daima wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 03, 2019 08:11Ujana ni kipindi kinachong'aa cha maisha ya mwanadamu ambacho japokuwa si kirefu lakini athari zake zinabakia muda mrefu na huwa na taahira kubwa katika maisha ya kiumbe huyo.
-
Ziyad al-Nakhalah: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio nchi pekee inayoiunga mkono Palestina
Jan 31, 2019 04:18Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio nchi pekee inayoiunga mkono Palestina na imekuwa ikilipa gharama ya uungaji mkono huo kwa kutwishwa vikwazo vya Marekani na mataifa mengine.