-
Misimamo ya maafisa wa serikali ya Biden kuhusu Iran; kurudiwa misamiati ile ile ya zamani
Jan 20, 2021 23:40Sherehe za kutawazwa Joseph Robinette Biden Jr. kuwa rais wa 46 wa Marekani zimefanyika katika hali ambayo, Jumanne, tarehe 19 Januari 2021, maafisa wa ngazi za juu wa serikali yake walitumia kikao cha Baraza la Sanate la nchi hiyo kutangaza misimamo yao kuhusu Tehran na masuala yanayohusiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Zarif: Nchi za Ulaya katika JCPOA hazijafanya lolote la maana kuyalinda maafikiano hayo ya kimataifa
Jan 18, 2021 01:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: viongozi wa nchi tatu wanachama wa JCPOA (Ujerumani, Uingereza na Ufaranasa) hazifanya lolote la maana kuyalinda maafikiano hayo ya kimataifa.
-
Israel yatishia kuishambulia Iran iwapo Biden atairejesha US katika JCPOA
Jan 15, 2021 10:34Mpambe wa karibu wa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ametishia kuwa huenda Israel ikaishambulia kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iwapo serikali ijayo ya Marekani itarejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; fedheha ya kidemokrasia ya Marekani na mustakabali wa JCPOA
Jan 08, 2021 10:28Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa hotuba muhimu kwa mnasaba wa siku ya leo ya maadhimisho ya mapambano ya Dei 19 ya wananchi wa Qum dhidi ya utawala wa kiimla wa Shah ambapo ameashiria matukio ya hivi karibuni nchini Marekani, sharti la Iran la kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na uwepo wa kieneo na uwezo wa kiulinzi wa Iran.
-
Iran yaanza kurutubisha urani kwa asilimia 20 katika kituo cha Fordow
Jan 04, 2021 12:16Msemaji wa serikali ya Iran ametangaza rasmi habari ya kuanza kurutubishwa tena madini ya urani kwa kiwango cha asilimia 20 katika kituo cha nyuklia cha Fordow, kilichoko kaskazini mashariki mwa mji wa Qum kusini mwa mji mkuu wa nchi hii, Tehran.
-
Ali Shamkhani: Chaguo pekee la Marekani ni kuondoa vikwazo vyote dhidi ya Iran
Jan 04, 2021 00:00Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, chaguo pekee la Marekani ni kuondoa vikwazo vyote dhidi ya Iran na hivyo kuachana na mkakati wake uliofeli wa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Khatibzadeh: Mizozo ya Afghanistan inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa njia za kisiasa
Dec 28, 2020 08:52Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njia ya kuipatia ufumbuzi mizozo na mivutano inayoikabili Afghanistan ni utatuzi wa kisiasa.
-
Wabunge 150 wa Marekani wamtaka Biden airejeshe nchi hiyo katika JCPOA
Dec 24, 2020 04:44Wabunge 150 wa chama cha Democratic nchini Marekani wamemuandikia barua rais mteule wa nchi hiyo, Joe Biden wakiunga mkono azma yake ya kutaka kuirejeshe nchi hiyo kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA pasi na masharti yoyote mapya.
-
Marais wa Russia na Ufaransa wataka kulindwa mapatano ya JCPOA
Dec 23, 2020 08:55Marais Vladimir Putin wa Russia na Emmanuel Macron wa Ufaransa wametoa mwito wa kuweko jitihada za pamoja za kuyalinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
China: Chanzo cha matatizo ni Marekani kujitoa JCPOA na kuanzisha mashinikizo ya juu kabisa
Dec 22, 2020 09:19China imesisitiza kuwa, kurudi Marekani kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuanza tena kutekeleza majukumu yake ndio njia sahihi na ya kimantiki ya kupunguza mivutano.