-
Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu, zichukue hatua za kivitendo
Jun 02, 2020 07:01Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani, bali zitekeleze kivitendo majukumu yao.
-
Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran
May 28, 2020 21:52Baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mnamo Mei 8 2018, ilianza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran. Vikwazo hivyo vya upande mmoja ni ukiukwaji wa wazi wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Russia: Wapinzani wa JCPOA wanakusudia kudunisha ushirikiano wa Iran na IAEA
May 25, 2020 21:56Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna nchini Austria amesema wapinzani wa makubaliano ya nyuklia yaliyosainiwa baina ya Iran na madola makubwa duniani mwaka 2015 wanalenga kudunisha na kudhalilisha muamana na ushirikiano baina ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Sisitizo la Russia juu ya kutoweza Marekani kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran
May 19, 2020 02:52Tarehe 8 Mei 2018, Marekani ilijitoa kijeuri katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA, lakini hivi sasa inafanya njama kubwa za kujaribu kuzuia utekelezaji wa makubaliano hayo hasa kipengee cha kuondolewa Iran vikwazo vya silaha kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hapo tarehe 18 Oktoba mwaka huu wa 2020. Hata hivyo wajumbe wa Mashariki wa kundi la 4+1 yaani Russia na China wamepinga vikali njama hizo za Marekani.
-
Zarif: Iran imepiga hatua kubwa katika miradi yake ya nyuklia
May 14, 2020 03:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepiga hatua kubwa katika miradi yake ya nyuklia.
-
Indhari ya Russia kuhusu kibarua kigumu katika mchakato wa kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
May 12, 2020 21:51Marekani imekuwa iking’ang’ania kutekeleza siasa za "mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa" na kuendeleza vikwazo dhidi ya Iran iwe ni vikwazo vya upande mmoja au vikwazo vinavyohusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hususan vikwazo vya silaha.
-
Russia: Katika suala la JCPOA Marekani imetengwa kikamilifu
May 11, 2020 22:10Mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa Russia amesisitiza kwamba nchi zote zina msimamo mmoja dhidi ya Marekani kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kwamba Washington imetengwa kikamilifu.
-
Madai ya kipuuzi ya Mike Pompeo kuhusu mafanikio Marekani baada ya kujitoa katika mapatano ya JCPOA
May 11, 2020 02:31Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuyakosoa vikali mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA, Mei 8 mwaka 2018 alichukua uamuzi wa upande mmoja wa kuiondoa nchi yake katika makubaliano hayo.
-
Biden: Trump hajatimiza ahadi ya kuilazimisha Iran isaini makubaliano bora kwa Marekani kuliko JCPOA
May 09, 2020 03:07Joe Biden, anayetarajiwa kuwa mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrat amekosoa sera za rais wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya Iran huku ukiwa umetimia mwaka wa pili tangu Washington ilipojitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaitaka Marekani ihitimishe hatua zake za upande mmoja
May 08, 2020 07:04Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani inapaswa kuhitimisha hatua zake za upande mmoja na zenye madhila.