Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu, zichukue hatua za kivitendo

    Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu, zichukue hatua za kivitendo

    Jun 02, 2020 07:01

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani, bali zitekeleze kivitendo majukumu yao.

  • Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran

    Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran

    May 28, 2020 21:52

    Baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mnamo Mei 8 2018, ilianza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran. Vikwazo hivyo vya upande mmoja ni ukiukwaji wa wazi wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Russia: Wapinzani wa JCPOA wanakusudia kudunisha ushirikiano wa Iran na IAEA

    Russia: Wapinzani wa JCPOA wanakusudia kudunisha ushirikiano wa Iran na IAEA

    May 25, 2020 21:56

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna nchini Austria amesema wapinzani wa makubaliano ya nyuklia yaliyosainiwa baina ya Iran na madola makubwa duniani mwaka 2015 wanalenga kudunisha na kudhalilisha muamana na ushirikiano baina ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Sisitizo la Russia juu ya kutoweza Marekani kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran

    Sisitizo la Russia juu ya kutoweza Marekani kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran

    May 19, 2020 02:52

    Tarehe 8 Mei 2018, Marekani ilijitoa kijeuri katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA, lakini hivi sasa inafanya njama kubwa za kujaribu kuzuia utekelezaji wa makubaliano hayo hasa kipengee cha kuondolewa Iran vikwazo vya silaha kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hapo tarehe 18 Oktoba mwaka huu wa 2020. Hata hivyo wajumbe wa Mashariki wa kundi la 4+1 yaani Russia na China wamepinga vikali njama hizo za Marekani.

  • Zarif: Iran imepiga hatua kubwa katika miradi yake ya nyuklia

    Zarif: Iran imepiga hatua kubwa katika miradi yake ya nyuklia

    May 14, 2020 03:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepiga hatua kubwa katika miradi yake ya nyuklia.

  • Indhari ya Russia kuhusu kibarua kigumu katika mchakato wa kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Indhari ya Russia kuhusu kibarua kigumu katika mchakato wa kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    May 12, 2020 21:51

    Marekani imekuwa iking’ang’ania kutekeleza siasa za "mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa" na kuendeleza vikwazo dhidi ya Iran iwe ni vikwazo vya upande mmoja au vikwazo vinavyohusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hususan vikwazo vya silaha.

  • Russia: Katika suala la JCPOA Marekani imetengwa kikamilifu

    Russia: Katika suala la JCPOA Marekani imetengwa kikamilifu

    May 11, 2020 22:10

    Mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa Russia amesisitiza kwamba nchi zote zina msimamo mmoja dhidi ya Marekani kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kwamba Washington imetengwa kikamilifu.

  • Madai ya kipuuzi ya Mike Pompeo kuhusu mafanikio Marekani baada ya kujitoa katika mapatano ya JCPOA

    Madai ya kipuuzi ya Mike Pompeo kuhusu mafanikio Marekani baada ya kujitoa katika mapatano ya JCPOA

    May 11, 2020 02:31

    Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuyakosoa vikali mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA, Mei 8 mwaka 2018 alichukua uamuzi wa upande mmoja wa kuiondoa nchi yake katika makubaliano hayo.

  • Biden: Trump hajatimiza ahadi ya kuilazimisha Iran isaini makubaliano bora kwa Marekani kuliko JCPOA

    Biden: Trump hajatimiza ahadi ya kuilazimisha Iran isaini makubaliano bora kwa Marekani kuliko JCPOA

    May 09, 2020 03:07

    Joe Biden, anayetarajiwa kuwa mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrat amekosoa sera za rais wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya Iran huku ukiwa umetimia mwaka wa pili tangu Washington ilipojitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaitaka Marekani ihitimishe hatua zake za upande mmoja

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaitaka Marekani ihitimishe hatua zake za upande mmoja

    May 08, 2020 07:04

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani inapaswa kuhitimisha hatua zake za upande mmoja na zenye madhila.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS