-
Abbas Mousavi: Mazungumzo ya JCPOA kati ya Iran na Ulaya hayajafikia natija
Aug 19, 2019 03:44Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mwenendo wa mazungumzo ya Iran na madola ya Ulaya kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa, mazungumzo kuhusiana na uwajibikaji wa Ulaya katika JCPOA hadi sasa hayajawa na natija.
-
Sisistizo la anayechukua nafasi ya Mogherini na Troika ya Ulaya kuhusu kulinda JCPOA
Aug 15, 2019 05:44Umoja wa Ulaya na Troika ya umoja huo yaani, Ujerumani, Ufaransa na Uingereza, kama wanachama wa kundi la 4+1 wamekuwa wakidai kuwa wanaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA. Pamoja na hayo, hivi sasa Ulaya inakabiliwa na changamoto kubwa katika kulinda mapatano ya JCPOA. Ni kwa msingi huo ndio wakuu wa Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya wakasisitiza kuhusu kulinda JCPOA.
-
Rais Rouhani: Kudhamini usalama wa Ghuba ya Uajemi hakuhitajii vikosi vya kigeni
Aug 14, 2019 08:21Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, ili kudhamini usalama na utulivu katika Ghuba ya Uajemi hakuna haja ya kuweko vikosi vya kieneo katika eneo hilo.
-
Jahangiri: Marekani inalenga kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi
Aug 13, 2019 02:43Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran Eshaq Jahangiri amesema Marekani inalenga kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la kistratijia la Hormuz na kutumia ukosefu wa usalama kama kisingizo cha kujiimarisha kijeshi katika eneo.
-
Taathira hasi za siasa za serikali ya Marekani dhidi ya Iran kwa uhusiano kati ya Washington na waitifaki wake wa Ulaya
Aug 08, 2019 22:15Mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) amesisitiza kuwa siasa zinazotekelezwa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya Iran zimekuwa na taathira hasi kwa uhusiano kati ya Washington na waitifaki wake wa Ulaya.
-
Rais Rouhani: Taifa la Iran halitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani
Aug 02, 2019 03:38Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili katu halitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya serikali ya Marekani.
-
Zarif: Kwa hali ilivyo hivi sasa, Iran itatekeleza tu hatua ya tatu ya kupunguza uwajibikaji katika JCPOA
Jul 31, 2019 08:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria kuhalifu ahadi kunakofanywa na nchi za Ulaya katika kutekeleza majukumu yao kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kwamba: Kwa hali ilivyo hivi sasa, na kama Ulaya haitachukua hatua za lazima zinazotakikana, Iran itatekeleza tu hatua ya tatu kuhusiana na makubaliano hayo.
-
Russia: Iran imekusudia kupunguza tena utekelezaji wa majukumu yake katika JCPOA
Jul 29, 2019 03:14Mjumbe mwandamizi wa timu ya Russia katika kikao cha kamisheni ya pamoja ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kilichofanyika mjini Vienna amesema, Iran ina mpango wa kuanza awamu mpya ya kupunguza utekelezaji wa ahadi na majukumu yake katika makubaliano hayo.
-
Mousavi: Iran inasubiri hatua za kivitendo za Ulaya katika kulinda makubaliano ya JCPOA
Jul 29, 2019 09:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inasubiri kuona hatua za kivitendo za nchi za Ulaya katika kulinda makubaliano ya nyuklia maarufu kwa kifupi kwa jina la JCPOA.
-
Kikao cha kamisheni ya pamoja ya JCPOA chaanza kufanyika Vienna, Austria
Jul 28, 2019 07:53Kikao cha kamisheni ya pamoja ya makubaliano ya nyuklia JCPOA cha Manaibu Mawaziri na Wakurugenzi wa Kisiasa wa Iran na kundi la 4+1 pamoja na mwakilishi wa Umoja wa Ulaya kimeanza leo huko Vienna mji mkuu wa Austria.